Kuna Jamaa anamla Shemeji yangu

Aaah we bwanae... aje asije maisha lazima yasonge. Kwani yeye ni nani sasa mpaka D asipate mkate?

Yeye anakuja kwa raha zake binafsi ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ
 
Aisee umenikumbusha mbali sana. Natamani nikukumbuke... umebadili ID?
 
Sasa kama kaka ako hana bidii shemeji afanyeje#kuchapiwa ni siri ya ndani acha umbea dogo
 
Sasa nini kimekudamsha mapema, wakati nataka upumzike afya ikae sawa?

Mbona sio mapema๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
Nikilala zaidi ya hapa si utaamka na njaa ukose hata breafast jamani! Au unatafuta kisingizio cha kwenda kunywa supu bar๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ