Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
-
- #21
Hili jambo watalipinga......nilipoingia hapa juzi nimekutana na taarifa za kusikitisha kuhusiana na jambo hili.Watoto wa kiume wengi wa kiarusha pia ni Mashoga waliokubuhu.
Hii hii Kaka hali ni mbaya mno.
Asante sana Tuko pamoja yaani unakuta Mwanaume kijana wa Arusha anatamani aolewe na Mwanaume mwenzake ila Mzungu.Vijana haohao wa Arusha wanaotamani kuolewa na wazungu
Vijana wa Arusha wengi sio wababe kama zamani , wanagawa ubingwa kirahisi hadi wamasai wanagawa ubingwa kirahisiAsante sana Tuko pamoja yaani unakuta Mwanaume kijana wa Arusha anatamani aolewe na Mwanaume mwenzake ila Mzungu.
Hali inatisha ndugu zanguni mimi nimewashtua tu wenye mapenzi mema waanze kuweka Intervention
Kwa hiyo hakuna wanawake. Ina maana Wanaume wanaoana wenyewe kwa wenyewe.Arusha hii iliyopo Karibu na Moshi? Kuna mahali unaumwa wewe au unaijua Arusha kupitia kusaga Tv!!!!!!!!
Mji wa wanaume huu!
Ni ngumu mtu kuamini haya unasema ila akienda the hub au aces kwa usiku mmoja atajionea live kabisa kwa picha angavuNdugu zangu Hapa Arusha kuna shida kubwa sana kwa upande wa watoto wa kiume hasa vijana ambao ni nguvu kazi ya Taifa.
Vijana wa kiume hapa Arusha hawapendi kufanya kazi na kujiingizia kipato.
Vijana wa kiume wa Arusha wamekumbwa na Kampeni ya kuolewa na wanawake wenye umri mkubwa maarufu kama mashangazi ila sasa wamevuka mipaka mpaka kwa bibi zao.
Vijana wa kiume wa Arusha wamejiingiza kwenye ulevi wa kupindukia, pombe halali na haramu kwa pamoja.
Vijana wa kiume wa Arusha kwa vitendo vya uharifu, wizi na utapeli wamekubuhu.
Vijana wa kiume wa Arusha wana kampeni maalum, wazazi wao wakifariki wanafurahi ili wauze mali( mirathi) wapate hela za starehe.
Vijana wa kiume wa Arusha hawataki kuoa.
Vijana wa kiume wa Arusha akipata demu anataka alishwe, alipiwe kodi, vocha na hela za bando, ni Marioo wa kutupwa.
Hii inanikumbusha kwanini DogoJanja alifanya vile.
Vijana wa kiume Arusha wamevuka mipaka, wanakodishwa kuwa mabaasha ili wawaingilie mashoga kwa kulipwa.
Serikali, taasisi za dini, taasisi za kiraia na watu mmoja mmoja wenye mapenzi mema tulivalie njuga hili jambo kama halijawa ugonjwa wa kuambukiza kwenda mikoa mingine.
Hapa Arusha hali ni mbaya mno. Wenyeji wameshazoea na wana ona ni kawaida tu. Au wameshakata tamaa na hawana cha kufanya.
Chuga ukiwa na Ile app unawakamua mpaka uchokeWatoto wa kiume wengi wa kiarusha pia ni Mashoga waliokubuhu.
Kila mahali yapo ila hii situation ya hapa imekithiriHayo ni magenge ya vijana wahuni, wanaopatikana kwenye baadhi ya sehemu huko Arusha.
Sio wote, usitujumuishe.
Lafudhi yao ndo imewapa umaarufu mnawaona wao tu wakati vijana wa namna hiyo wanapatikana kila mahali.
App gani tenaChuga ukiwa na Ile app unawakamua mpaka uchoke
Inasikitisha sanaVijana wa Arusha wengi sio wababe kama zamani , wanagawa ubingwa kirahisi hadi wamasai wanagawa ubingwa kirahisi
Grindr. Nimeingia Arusha Jana mchana, nimefikia njiro. Vijana mchelemchele kama wote.App gani tena
Inasikitisha sananVijana wa Arusha wengi sio wababe kama zamani , wanagawa ubingwa kirahisi hadi wamasai wanagawa ubingwa kirahisi
Ndio mtandao mnaotumia kutafutana?Grindr. Nimeingia Arusha Jana mchana, nimefikia njiro. Vijana mchelemchele kama wote.
Asante kwa taarifa aisee.Mkuu ukweli ndo huo kipindi nikiwa manyara vijana waarusha walikuwa wanatambiana kuwa mi shangazi
pia swala la kukodiwa kwenda kufyeka na kuzibua mitaro ni kawaida sana.
wanaopinga jua ni wale wale
Chuga imeozaMkuu ukweli ndo huo kipindi nikiwa manyara vijana waarusha walikuwa wanatambiana kuwa mi shangazi
pia swala la kukodiwa kwenda kufyeka na kuzibua mitaro ni kawaida sana.
wanaopinga jua ni wale wale
Kwa hiyo hakuna wanawake. Ina maana Wanaume wanaoana wenyewe kwa wenyewe.
Hiyo ipo hadi kwa wanafunzi wa chuo. vijana waarusha wana usela mavi sana nawajua nje ndaniAsante kwa taarifa aisee.
Yaani nawashangaa wanaobisha.
Imagine mtu anatika arusha hadi manyara kufanya kazi ya kuzibua ili alipwe.