Kuna jambo zito linawakabili vijana wa kiume wa Arusha. Msaada wa haraka unatakiwa

Asante sana Tuko pamoja yaani unakuta Mwanaume kijana wa Arusha anatamani aolewe na Mwanaume mwenzake ila Mzungu.

Hali inatisha ndugu zanguni mimi nimewashtua tu wenye mapenzi mema waanze kuweka Intervention
Vijana wa Arusha wengi sio wababe kama zamani , wanagawa ubingwa kirahisi hadi wamasai wanagawa ubingwa kirahisi
 
Hayo ni magenge ya vijana wahuni, wanaopatikana kwenye baadhi ya sehemu huko Arusha.

Sio wote, usitujumuishe.

Lafudhi yao ndo imewapa umaarufu mnawaona wao tu wakati vijana wa namna hiyo wanapatikana kila mahali.
 
Ni ngumu mtu kuamini haya unasema ila akienda the hub au aces kwa usiku mmoja atajionea live kabisa kwa picha angavu
 
Mkuu ukweli ndo huo kipindi nikiwa manyara vijana waarusha walikuwa wanatambiana kuwa mi shangazi
pia swala la kukodiwa kwenda kufyeka na kuzibua mitaro ni kawaida sana.

wanaopinga jua ni wale wale
Asante kwa taarifa aisee.
Yaani nawashangaa wanaobisha.

Imagine mtu anatika arusha hadi manyara kufanya kazi ya kuzibua ili alipwe.
 
Kwa hiyo hakuna wanawake. Ina maana Wanaume wanaoana wenyewe kwa wenyewe.

Ulivyo una akili Huwezi elewi, vitabu vyote vya dini vina Amini:

1. Ukiongelea kazi, unaongelea wanaume, wanawake are considered Kama walezi!

2. Wanawake hawajehasahiwa kwenye kazi za uzalishaji Mali……

Huu upumbavu wenu ndo mnafanya mnachapiwa wake zenu kila siku kwa Sababu mmewafanya kama wazalishaji Mali kama nyinyi kinyume na mpango wa Mungu wa asili!

1. Eti Dume kabisa anafanya Mia budget mshahara wa mke, wanaweka hela Mezani.

Nguvu ya mwanaume iko maintained pale ambapo anaonekana provider na kwenye nafasi yake!

Tukisema Arusha kuna wanaume, haina maana Hakuna wanawake, haya maua yetu yapo……

Ila uzalishaji ni kwa Madume, yake madume yenu pale kinondoni yana maana gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…