Kuna jambo zito linawakabili vijana wa kiume wa Arusha. Msaada wa haraka unatakiwa

Hayo ni magenge ya vijana wahuni, wanaopatikana kwenye baadhi ya sehemu huko Arusha.

Sio wote, usitujumuishe.

Lafudhi yao ndo imewapa umaarufu mnawaona wao tu wakati vijana wa namna hiyo wanapatikana kila mahali.
Yani leo shukuru Sina mood ya kuharibu Uzi wa mtu.
Ningekuvuruga Umbwa wewe😁
 
Hiyo Kanda kwa sasa vijana wanaojielewa wamebaki wa Kilimanjaro tu, hao wahuni wa Arusha tunao mpaka huku ni wahovyo hovyo tu, pombe Kali wanaziita visungura na mibange ndo vyakula vyako. Alafu wanajiona wanjanjaaaa!!! Sisi tunawachora tu. Kizazi chenye maadili kinapotea hapo Arusha
 
Hii ni kweli, nina mtoto wa ndugu yangu katelekeza mke na mtoto kakimbia ni AIBU
 
Kuna brother wangu alilowea huko ana miaka kumi yuko huko Arusha. kashaambukizwa tabia za vijana wa huko, jamaa ni mvivu, hataki kazi, utapeli na ujanja ujanja mwingi, mtu wa lawama sanaa, hana shukrani hata kidogo. Kiufupi ni mtu ambae ukipewa kukaa nae hata wiki Moja lazima uombe Pooh!!
 
Uzi
Huu uzi bila picha ni uzushi
 
Huu uzi bila evidence ni ubatili..

Umbea kama wa juma lokole...
 
Wizi,ulevi na utapeli wakisenge umeshamiri, juzi wameuwa mtu hii njia ya Sombetini kisa cm,za ndani kabisa wanafirika
 
Mbona Unajitetea Sana Aisee? Mtu Ambaye Tuhuma hazimuhusu huwa hajibizani
We unawashwa na makalio, hizo ni pigo za huko kwenu siyo ya Arusha, we una chuki na vijana wa Arusha. Kinachokusumbua akili ni kuwa vijana wa Arusha hawana muda na mtu ndio kinakusumbua
 
Acha ujinga aisee,Arusha hamnaga hizo mbanga....kule nigaz wako bize na mishe zao na sio ujinga kama huo unaousema hapaa,
Jarib kufikiria kabla hujasema man
 
Acha ujinga aisee,Arusha hamnaga hizo mbanga....kule nigaz wako bize na mishe zao na sio ujinga kama huo unaousema hapaa,
Jarib kufikiria kabla hujasema man
Umesoma comment za wadau? Unaficha nini ambacho hakiko wazi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…