kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,275
- 3,316
Kwamba nikivaa cheni(nikimvalia) mume wanguheeeeee watu tusivae utembonwetu kwa raha zetu wooi 😀😀😀
Kila mtu ni malaya kwenye angle yake bhana tupumzisheni
Wanakuja kukushukia kama mwewe kuwa hata Mama, Shangazi, Dada, Bibi Wapwa na Binamu zako za kike wote ni Malaya ikiwa wanavaa shanga, nimekaa pale.Habari wakuu
Kuna observation nimekua naifanya,nimegundua wanawake wengi wanaovaa shanga kiuononi ni malaya waliokubuhu.
Asanteni
Si ndo apo au mtoa mada anakereka niniKwamba nikivaa cheni(nikimvalia) mume wangu
Nikiwa Malaya kitandani Kwa mume wangu Kuna shida gani🏃🏃🤣
Ole wako utoe hiyo cheni kiunoni, talaka inaji-download taratibu kusubiria tu kitachokukuta [emoji1]Kwamba nikivaa cheni(nikimvalia) mume wangu
Nikiwa Malaya kitandani Kwa mume wangu Kuna shida gani[emoji125][emoji125][emoji1787]
Mjini hapo hapo Dar ambapo nina zaidi ya miaka 16 nikiwa na rundo la Mademu enzi hizo za ujana na sikuwahi kukutana na Ke aliyevaa cheni kiunoni hata mmoja?Umekuja lini mjini?
ONGEZEA.nimegundua wanawake wengi wanaovaa shanga kiuononi ni malaya
Naomba uje pmKwamba nikivaa cheni(nikimvalia) mume wangu
Nikiwa Malaya kitandani Kwa mume wangu Kuna shida gani🏃🏃🤣
Kuna makabira wanawake kuvaa shanga ni kama utamaduni wao mfano wangoniHabari wakuu
Kuna observation nimekua naifanya,nimegundua wanawake wengi wanaovaa shanga kiuononi ni malaya waliokubuhu.
Asanteni