Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Kwakweli nimeshangaa 🤔😳Heeee kumbe Hadi kuvaa animal prints ya chuichui ni Umalaya?nilidhani nimesikia yote kumbe Mimi bado sana mgeni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli nimeshangaa 🤔😳Heeee kumbe Hadi kuvaa animal prints ya chuichui ni Umalaya?nilidhani nimesikia yote kumbe Mimi bado sana mgeni
ushamba unamsumbua tuAcha ushamba thats african culture na inategemea pia mtu bwana wake kama anapenda
Nashangaa jmnLeo utamaduni wa Muafrika umekuwa umalaya
Mimi chale ndio nazipiga vita kwa ushirikina wenu
Ila shanga mbona ni jadi au hujaona wasichana wa vijijini
Wa mjini mnapitwa na vingi 😄 🤣
Wanaume watanzania Wana matatizo sanaKwakweli nimeshangaa 🤔😳