Kuna kijimstari chembamba sana kinachomtenganisha mwanamke anayevaa shanga kiunoni na tabia za umalaya

Kuna kijimstari chembamba sana kinachomtenganisha mwanamke anayevaa shanga kiunoni na tabia za umalaya

MOSI
Ili umuite mwanamke "malaya " uwe umetembea naye vinginevyo unakosa sifa za kumuita hivyo.

UVAAJI WA SHANGA
Hii ni desturi ya waafrika wengi (of course na show za kiafrika sio za kitoto), bibi zako walivaa kabla ya mkoloni, tuendeleze mila na desturi 😀

PROFESA ANASEMA UTAFITI WAKO HAUJAKAMILIKA
 
Leo utamaduni wa Muafrika umekuwa umalaya
Mimi chale ndio nazipiga vita kwa ushirikina wenu
Ila shanga mbona ni jadi au hujaona wasichana wa vijijini
Wa mjini mnapitwa na vingi 😄 🤣
 
Ole wako utoe hiyo cheni kiunoni, talaka inaji-download taratibu kusubiria tu kitachokukuta [emoji1]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣🏃🏃
Hata Sina , nasubiri mhusika aseme km anapenda
Kama hapendi wala sivai!

Kibiblia hii kitu plus vikuku unatakiwa ununuliwe na mumeo na uvae Kwa ajili yake sio huko barabarani Kila mtu akuone.

Umeona mjakazi aliyetumwa kumposa mke wa Isaka,(,Rebeka) vitu alivyokuwa amebeba😅....kasome kitabu Cha mwanzo 24:1 mpk mwisho
 
ONGEZEA.

Wanawake waliochora Tattoo, wanaovaa nguo zenye Print za wanyama(chuichui), Waliotoboa Pua na Ulimi.

HAKIKA ukiona Mwanamke wa hivi, hakikisha unatumia Condom au kaa nae mbali.

Be a Man.
Makubwa
Hayo mengine,no comment 🙌

Nguo yenye print ya mnyana Ina shida gani?
Yaani nimeenda dukani nimekuta gauni Lina hiyo print,nikanunua na kuvaa ,Kuna shida gani hapo?
 
Sana aise sema hawa masister du wetu sijui unaanzaje kumwambia avae, hawaelewi tu kama inaleta stimu kali sana
Km anakupenda kweli atakusikiliza na atavaa ,mnunulie cheni
Kisasa zaidi ,achana na shanga😜
 
Inategemea na mazingira mkuu, madem wanaotoka Tanga, kwao kuvaa shanga niufahari na wanafundishwa lazima wavae Sasa sijui inahusiana vipi na umalaya.

Kuna mshikaji wangu mmoja yeye ni Ngosha, alivyoenda Tanga alipenda Sana madem wanaovaa shanga, ikabid anunune za size zotafuti, demu akienda Ghetto kwake bila shanga anamvisha zile alizonunua baada ya game anamwambia azirudishe kabatini akiwa na lengo akija mwingine atavaa Tena. Demu bila kuvaa shanga yeye hapigi.
Duh😳🤭
Nomaaa
 
Back
Top Bottom