mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Sisi wanaume wa pwani ndo ugonjwa wetu huo.tena malizia na vikuku miguu yote.ahaaa nakufwaa mie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Condom itumike popote kama sio mke wako au mume wako full stop kosa moja tu unakula dawa maisha yako yote ingawa siku hizi umedhibitiwa haudhalilishi kama zamaniONGEZEA.
Wanawake waliochora Tattoo, wanaovaa nguo zenye Print za wanyama(chuichui), Waliotoboa Pua na Ulimi.
HAKIKA ukiona Mwanamke wa hivi, hakikisha unatumia Condom au kaa nae mbali.
Be a Man.
Ndio maana mnazaliana kama nzige.Sisi wanaume wa pwani ndo ugonjwa wetu huo.tena malizia na vikuku miguu yote.ahaaa nakufwaa mie
Sasa wangoni unawatenganisha vipi na umalayaKuna makabira wanawake kuvaa shanga ni kama utamaduni wao mfano wangoni
NB: usiniulize nimejuaje
Mzuka upi, yani bado sijaelewa hebu nipeni hio elimu... yani wanazitumiaje mzuka unapanda?Zinapandisha mzuka izo wakati wa game ila zisiwe nyingi sana kiunoni
Aisee!! Matumizi yake ni yapi? lete nondo dada!!Wengine kwenye makabila yao huko Wanavaa ni Mila zao...
Ukiacha wale wanaovaa kimalayamalaya!
Kuna wanaovaa km urembo!
Kuna wanaovaa sbb mwanaume wake anataka(Nina rfk angu) mwanaume wake mtu wa singida ye mhaya ,alinunuliwa na mwanaume wake ndo alikuwa anataka,na anajua kuzitumia.
STAREHE YA MITUME NA MANABII WA MUNGU HYO.Ndio maana mnazaliana kama nzige.
Oyoooo
Miss u boss umepotea jmn
Uchoyo dhambi na haipendezi rafiki.Usitafute lawama utapofuka macho
Mi sijui maana wanaume ndo wanajuaAisee!! Matumizi yake ni yapi? lete nondo dada!!
🤣🤣🤣Mke wa mzungu miss u
🤣🤣🤣🙌Wenzio wanafanya tafiti za madini we upo unafanya tafiti za shanga....wakeup child
Huna demu 😀😀😀Uchoyo dhambi na haipendezi rafiki.
Nibariki usiku wangu usingizi uje mnono
Nimtolee wapi na hata pesa ya kununua sina pia,yaan mateso tu na shots za usingizini.😥Huna demu 😀😀😀
Nimtolee wapi na hata pesa ya kununua sina pia,yaan mateso tu na shots za usingizini.[emoji26]