Wakuu
Kwa kweli kwa survey niliyofanya,kati ya wanawake 10 wanaovaa haya mashanga kiunoni basi kati yao 8 ni malaya wa waziwazi au wa kificho.
Nimefanya survey kwenye mikoa kumi ya Dar,Mwanza,Arusha,Kilimanjaro,Tanga,Morogoro,Dodoma,Tabora,Mbeya na Mtwara.
Wakuu kuna uhusiano wowote wa mwanamke kuvaa shanga na umalaya?