Niwatamu sana. Ongezea na hiloMimi nakusahihisha Mkuu.
Wanaovaa Shanga wote ni MALAYA.
Binua kiuno na Kapicha kidogo tuone rafiki mpendwaππheeeeee watu tusivae utembonwetu kwa raha zetu wooi πππ
Kila mtu ni malaya kwenye angle yake bhana tupumzisheni
Kufanyaje Tena huko pm mkuuππNaomba uje pm
WamasaiKuna makabira wanawake kuvaa shanga ni kama utamaduni wao mfano wangoni
NB: usiniulize nimejuaje
Zina tija gani katika mahusianoHabari wakuu
Kuna observation nimekua naifanya,nimegundua wanawake wengi wanaovaa shanga kiuononi ni malaya waliokubuhu.
Asanteni
Kuna kitu nataka nikuambie, hapa naona aibu.Kufanyaje Tena huko pm mkuuππ
Usitafute lawama utapofuka machoBinua kiuno na Kapicha kidogo tuone rafiki mpendwaππ
Zinapandisha mzuka izo wakati wa game ila zisiwe nyingi sana kiunoniHivi huwa zinasaidia nini hizo vitu, ni urembo au kitu gani?
Kama ni urembo bora wasiwe wanavaa mtu anakuwa kama mganga wa kienyeji.
Funguka hapaπ€£π€£πππKuna kitu nataka nikuambie, hapa naona aibu.
Wengine kwenye makabila yao huko Wanavaa ni Mila zao...Hivi huwa zinasaidia nini hizo vitu, ni urembo au kitu gani?
Kama ni urembo bora wasiwe wanavaa mtu anakuwa kama mganga wa kienyeji.
OyooooOhoooo
Acha ushamba thats african culture na inategemea pia mtu bwana wake kama anapendaHabari wakuu
Kuna observation nimekua naifanya,nimegundua wanawake wengi wanaovaa shanga kiuononi ni malaya waliokubuhu.
Asanteni
Kujua kuzitumia vp tena mkuuWengine kwenye makabila yao huko Wanavaa ni Mila zao...
Ukiacha wale wanaovaa kimalayamalaya!
Kuna wanaovaa km urembo!
Kuna wanaovaa sbb mwanaume wake anataka(Nina rfk angu) mwanaume wake mtu wa singida ye mhaya ,alinunuliwa na mwanaume wake ndo alikuwa anataka,na anajua kuzitumia.