Kuna kikundi kinapinga Rais Samia kuongea na upinzani

Kuna kikundi kinapinga Rais Samia kuongea na upinzani

Nimemsikiliza Lissu kwenye mahojiano akasema ikulu inamwambia watampigia simu halafu ikifika wakati kuna njama zinafanyika kuhakikisha Mama anashidwa kuongea naye.

Tujue kuwa kuna wafaidika wakubwa hata ndani ya usalama mfano mitambo ya kudukuwa simu nani katoa budget! Watekaji nani anawalipa, pesa za kununua wapinzani nani anatoa haya ni mabilioni ambayo wanaogopa kuyakosa.

Rais Samia asipokuwa makini hawa jamaa watahakikisha kuna fujo ili waendelee na biashara zao
Mama ana endesha SCANIA lenye gia tano. Gia namba moja inaitwa Financial Approach, Gia namba mbili inaitwa Political Approach, Gia namba tatu inaitwa Diplomatic Approach, Gia namba nne inaitwa Religious Approach na Gia namba tano inaitwa Miltary Approach (Police, Miltary & Court). Gia zote hizi ziko kwenye kirungu kimoja kinachoitwa Urais. Gia zote hizi zinaweza kulipeleka roli mbele, isipokuwa gia moja wapo katika hizo tano. Ni maamuzi yake kikatiba kutumia any of those, hakuna mtu wala kikundi cha kumpangia. Uamuzi ni wake. Sie tu tumtakie kila la kheri.
 
Nimemsikiliza Lissu kwenye mahojiano akasema ikulu inamwambia watampigia simu halafu ikifika wakati kuna njama zinafanyika kuhakikisha Mama anashidwa kuongea naye.

Tujue kuwa kuna wafaidika wakubwa hata ndani ya usalama mfano mitambo ya kudukuwa simu nani katoa budget! Watekaji nani anawalipa, pesa za kununua wapinzani nani anatoa haya ni mabilioni ambayo wanaogopa kuyakosa.

Rais Samia asipokuwa makini hawa jamaa watahakikisha kuna fujo ili waendelee na biashara zao
My few cents
1. Lissu is playing you guys, mwenye source za intelligence hawezi kamwe kusema haya, anajua mnafuata upepo
2. Hakuna wapinzani wenye critical mass ya kufanya fujo, labda wafanye fujo na wenza wao majumbani - they lost their influence a while ago
3. Hakuna utekaji tangu mama aingie madarakani, msijaribu kunajisi enzi ya mama, pambaneni na akina halima mdee walioona mbali

chadomo died in august 2015… rip (miaka sita imepita tangu kifo chao)

baba ndubwi kabaki kula Pesa za sponsor tu
 
Nimecheka kwa nguvu kinoma. Mkapa na JK walikuwa marais, wote hao hatukuona ulinzi wa hivyo. Huyu mama alipoanza hakutaka ulinzi wa hivyo, ila baada ya muda lile genge lililokuwa linapiga kupitia ulinzi wa vitisho, Lakibidi limjengee huyo mama hofu na kumtaka awe na ulinzi wa kufuru. Lengo likiwa ni kuendelea kula kodi za Mabwege, na hasa hasa ni kuficha aibu ya dhalimu kuwa alikuwa na kiburi cha madaraka, na matumizi mabaya ya fedha za umma. Kama genge la dhalimu ndio limebaki washauri wake, unategemea wataacha kutumia mbinu ile ile ili wapige hela za wajinga?

Hakuna mwenye muda wa kuhatarisha maisha yake mpaka ahitaji ulinzi wa hivyo, ila hilo kundi la wapigaji linatengeneza mazingira ya upigaji, na kufunika matumizi ya hovyo ya yule dhalimu.
Ulijuaje kama ulinzi wa BM na Jk ulikuwa wa chini? Una umri gani wee. Ulinzi wa Marais upangwa na Rais au ni Usalama wa taifa? Mimi nijuavyo ni TISS ndio upanga ulinzi. Na kutokana na kasma waliyopewa na bunge. Matishio. Kwa mfano wewe unayeulizia ulinzi huo ni kwanini unaulizia. Lazima wawe makini na wewe unaulizia
 
Ulijuaje kama ulinzi wa BM na Jk ulikuwa wa chini? Una umri gani wee. Ulinzi wa Marais upangwa na Rais au ni Usalama wa taifa? Mimi nijuavyo ni TISS ndio upanga ulinzi. Na kutokana na kasma waliyopewa na bunge. Matishio. Kwa mfano wewe unayeulizia ulinzi huo ni kwanini unaulizia. Lazima wawe makini na wewe unaulizia

Vitisho vya kitoto havikubebi kwenye hoja hii dogo.
 
Back
Top Bottom