Kuna kikundi kinapinga Rais Samia kuongea na upinzani

Kuna kikundi kinapinga Rais Samia kuongea na upinzani

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha uongo wewe!
.
Kuna siku ukafananisha ulinzi wa Samia kwamba hauna mabunduki kama ule wa dhalimu wako, mimi nikawa nakucheka tu ulivyo hujui kwamba ulinzi hajipangii rais! Na Samia alipoanza ziara za mikoani mimi na Nyani Ngabu tukakuonesha picha za mabunduki!

Siku zote ukawa unasema huyu mama anamjua Mungu kwa hiyo siyo dhalimu kama yule dhalimu wako unaemsemaga,

Sasa hivi eti unajifanya kusema anaiga!

Kina Polepole saa hii wanajilia tu mihela ya ubunge, kipindi cha chanel ten ni kitu gani?

Nimecheka kwa nguvu kinoma. Mkapa na JK walikuwa marais, wote hao hatukuona ulinzi wa hivyo. Huyu mama alipoanza hakutaka ulinzi wa hivyo, ila baada ya muda lile genge lililokuwa linapiga kupitia ulinzi wa vitisho, Lakibidi limjengee huyo mama hofu na kumtaka awe na ulinzi wa kufuru. Lengo likiwa ni kuendelea kula kodi za Mabwege, na hasa hasa ni kuficha aibu ya dhalimu kuwa alikuwa na kiburi cha madaraka, na matumizi mabaya ya fedha za umma. Kama genge la dhalimu ndio limebaki washauri wake, unategemea wataacha kutumia mbinu ile ile ili wapige hela za wajinga?

Hakuna mwenye muda wa kuhatarisha maisha yake mpaka ahitaji ulinzi wa hivyo, ila hilo kundi la wapigaji linatengeneza mazingira ya upigaji, na kufunika matumizi ya hovyo ya yule dhalimu.
 
Kikundi kinaitwa Axis of Evil kinaongozwa na gaidi Mwigulu Nchemba na wajumbe ni Ndugulile, Mpango, Majaliwa, Gwajima K, Ndugai, Kabugi na Gwajima KE.


Nimemsikiliza Lissu kwenye mahojiano akasema ikulu inamwambia watampigia simu halafu ikifika wakati kuna njama zinafanyika kuhakikisha Mama anashidwa kuongea naye.

Tujue kuwa kuna wafaidika wakubwa hata ndani ya usalama mfano mitambo ya kudukuwa simu nani katoa budget! Watekaji nani anawalipa, pesa za kununua wapinzani nani anatoa haya ni mabilioni ambayo wanaogopa kuyakosa.

Rais Samia asipokuwa makini hawa jamaa watahakikisha kuna fujo ili waendelee na biashara zao
 
Unamuamini huyo Lissu?
Huhitaji kumwamini au kusikia Lissu kasema juu ya hili...

Circumstantial evidence inaonesha wazi kuwa kuna majambazi na magaidi ndani ya serikali yakitumia advantage ya "Rais mwanamke" kufanya ujambazi wao wa kimfumo/kiserikali...

Nakuhakikishia siku huyu mama atakapoamka na kugundua uasi huu wa wateule wake, atawachinjilia mbali mpaka mtashangaa...!!
 
Huhitaji kumwamini au kusikia Lissu kasema juu ya hili...

Circumstantial evidence inaonesha wazi kuwa kuna majambazi na magaidi ndani ya serikali yakitumia advantage ya "Rais mwanamke" kufanya ujambazi wao wa kimfumo/kiserikali...
“Circumstantial evidence” ipi hiyo?
 
“Circumstantial evidence” ipi hiyo?
Kama mpaka haya yote yanayotokea huoni kuwa there's something wrong somewhere, basi hata ukidadavuliwa kila kitu hakuna awezaye kubadili msimamo wako...!

Kwa kuwa kama nchi tumegawanyika kwa namna hii, twendeni hivyo hivyo mwisho wa siku WENYE HAKI ndio watakaoshinda....
 
Kwani ni lazima mama Samia aongee na wapinzani? Ili iweje? Kwani wapinzani wana nini cha kuongea ambacho mama hakijui?
Wapinzani wapunguze kujiona ni kundi muhimu.
 
Kama hicho kikundi kweli kipo basi kinathibitisha udhaifu wa Samia, kwanini kwa mamlaka aliyonayo anashindwa kikushughulikia?
Urais ni jina tu. mule ndani kuna magenge hatari
 
Ni kweli kabisa, wapo wahafidhina ndani ya chama tawala ambao wana sauti kubwa ndani ya chama, serikali na vyombo vya ulinzi na usalama hapa nchini. Wanatambua fika CCM ilipoteza mvuto na ushawishi wake kwa umma toka mwaka 2010.

Kwa hiyo wanatambua fika ya kwamba ili kuweza kupambana na upinzani, njia pekee iliyobakia kwao ni kwa kupitia tafu wabayoipata katika vyombo vya dola. CCM iliyokuwa na hoja za kiushindani dhidi ya upinzani ilikuwa mwisho wake ni katika nyakati za utawala wa hayati wa hayati Mkapa.
wahafidhina wako kwenye vyombo vya ulinzi na usalama.
 
Nimemsikiliza Lissu kwenye mahojiano akasema ikulu inamwambia watampigia simu halafu ikifika wakati kuna njama zinafanyika kuhakikisha Mama anashidwa kuongea naye.

Tujue kuwa kuna wafaidika wakubwa hata ndani ya usalama mfano mitambo ya kudukuwa simu nani katoa budget! Watekaji nani anawalipa, pesa za kununua wapinzani nani anatoa haya ni mabilioni ambayo wanaogopa kuyakosa.

Rais Samia asipokuwa makini hawa jamaa watahakikisha kuna fujo ili waendelee na biashara zao
Sawa kabisa mkuu. "Opportunists" katika "reform system" yeyote hawakosekani. Ila watayeyuka tu pindi joto litakapozidi na haitachukua mda mrefu.
 
Back
Top Bottom