Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Uongo mweupe huo.....Ni kweli kabisa, wapo wahafidhina ndani ya chama tawala ambao wana sauti kubwa ndani ya chama, serikali na vyombo vya ulinzi na usalama hapa nchini. Wanatambua fika CCM ilipoteza mvuto na ushawishi wake kwa umma toka mwaka 2010.
Kwa hiyo wanatambua fika ya kwamba ili kuweza kupambana na upinzani, njia pekee iliyobakia kwao ni kwa kupitia tafu wabayoipata katika vyombo vya dola. CCM iliyokuwa na hoja za kiushindani dhidi ya upinzani ilikuwa mwisho wake ni katika nyakati za utawala wa hayati wa hayati Mkapa.
CCM ya 2015 ilikuwa na sera ya "hapa kazi tu"....
Hayati JPM alitekeleza kivitendo malalamiko ya watanzania dhidi ya UFISADI/MAFISADI PAPA.....
Cha ajabu baadhi ya waliokuwa watuhumiwa wa ufisadi na ambao walichafuliwa sana na CHADEMA ndio haohao waliokuja KUSAFISHWA KWA DODOKI kupitia "kubadilisha gia angani alikosema mh.Mbowe".....
#SiempreCCM
#KaziIendelee