Kuna kikundi kinapinga Rais Samia kuongea na upinzani

Kuna kikundi kinapinga Rais Samia kuongea na upinzani

Ahaaa Lisu muongo aisee,yani Rais atake kuongea na mtu alafu Ikulu wampotezee,kuna wakati huyu jamaa awe anakaa kimya anazidi kushuka vyeo.
 
Ni kweli!!mama anaendeshwa na TISS kwa maslahi ya wachache!!!
Unayajua majukumu ya TISS kikatiba?
Unayajua majukumu ya Rais kikatiba?
Uliwahi sikia wananchi wakawaida wamepindua nchi?
ELEWA RAIS NI TAASISI KUBWA SANA.
TISS siyo kampuni ya maslahi yao,ni kwa nchi yote.Simu za Lissu kwa Rais direct hana hadhi kiprotocal hivyo atazungushwa tu.Huhitaji elimu,wakiongea kwa simu na lissu kesho lissu ataweka Mitandaoni.Hadhi ya Rais itakuwa wapi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Pole sana mkuu! Shida ni kwamba ulimdemkia mapema mno,!

Sasa ni hivi, mama siyo dhalimu anatupeleka vizuri sana! Mataga na sukuma gang wanakomolewa, sasa tunapumua baada ya dhalimu wetu kufariki.

Bashiru na Polepole wanakiona cha mtema kuni
🤣🤣
 
Ni kweli kabisa, wapo wahafidhina ndani ya chama tawala ambao wana sauti kubwa ndani ya chama, serikali na vyombo vya ulinzi na usalama hapa nchini. Wanatambua fika CCM ilipoteza mvuto na ushawishi wake kwa umma toka mwaka 2010.

Kwa hiyo wanatambua fika ya kwamba ili kuweza kupambana na upinzani, njia pekee iliyobakia kwao ni kwa kupitia tafu wabayoipata katika vyombo vya dola. CCM iliyokuwa na hoja za kiushindani dhidi ya upinzani ilikuwa mwisho wake ni katika nyakati za utawala wa hayati wa hayati Mkapa.
Kila lenye mwanzo halikosi Kuwa na mwisho. Mwisho wao umekaribia.
 
Tundu Lissu hana staha....
Tundu Lissu hana busara....

Ukitaka ulijue hilo.....hebu mtazame katika kampeni za uchaguzi wa 2020.....

Kwa upendo na kujali kwake Mh.Rais SSH alimtembelea kumjulia hali akiwa amelazwa Nairobi...sasa muangalie TUNDU LISSU anavyomshambulia kwa MANENO YA KEDI NA DHIHAKA kipindi hiki.....

Hivi unawezaje kuongea na mtu wa aina hiyo halafu kesho "akivujisha mazungumzo yenu" ama kuongeza/kupotosha mlichokiongea.....

#NchiKwanza
#SiempreJMT
#KaziIendelee
 
Nimemsikiliza Lissu kwenye mahojiano akasema ikulu inamwambia watampigia simu halafu ikifika wakati kuna njama zinafanyika kuhakikisha Mama anashidwa kuongea naye.

Tujue kuwa kuna wafaidika wakubwa hata ndani ya usalama mfano mitambo ya kudukuwa simu nani katoa budget! Watekaji nani anawalipa, pesa za kununua wapinzani nani anatoa haya ni mabilioni ambayo wanaogopa kuyakosa.

Rais Samia asipokuwa makini hawa jamaa watahakikisha kuna fujo ili waendelee na biashara zao
Huyo kichwani ni mtupu ashukuru kifo cha meko,hana uwezo zaidi ya kurembua n kushona suti tu
 
Sina popote nilipochemka na mama wa kambo. Maana sina utaratibu wa kumkubali mwanaccm. Yule muovu aliyeko motoni alikuwa dhalimu kweli kweli. Huyu mama wa kambo yeye anaiga tu tembo kunya. Hao akina Polepole na Bashiru sio zote za kijinga za enzi za dhalimu zimeisha. Mfano Polepole alikuwa na kipindi cha channel 10 cha kusaka kick za kijinga, je kimeenda wapi baada ya dhalimu kuelekea motoni?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha uongo wewe!
.
Kuna siku ukafananisha ulinzi wa Samia kwamba hauna mabunduki kama ule wa dhalimu wako, mimi nikawa nakucheka tu ulivyo hujui kwamba ulinzi hajipangii rais! Na Samia alipoanza ziara za mikoani mimi na Nyani Ngabu tukakuonesha picha za mabunduki!

Siku zote ukawa unasema huyu mama anamjua Mungu kwa hiyo siyo dhalimu kama yule dhalimu wako unaemsemaga,

Sasa hivi eti unajifanya kusema anaiga!

Kina Polepole saa hii wanajilia tu mihela ya ubunge, kipindi cha chanel ten ni kitu gani?
 
Nimemsikiliza Lissu kwenye mahojiano akasema ikulu inamwambia watampigia simu halafu ikifika wakati kuna njama zinafanyika kuhakikisha Mama anashidwa kuongea naye.

Tujue kuwa kuna wafaidika wakubwa hata ndani ya usalama mfano mitambo ya kudukuwa simu nani katoa budget! Watekaji nani anawalipa, pesa za kununua wapinzani nani anatoa haya ni mabilioni ambayo wanaogopa kuyakosa.

Rais Samia asipokuwa makini hawa jamaa watahakikisha kuna fujo ili waendelee na biashara zao
Lissu hana busara kabisa na amekuwa IRRELEVANT. Kwa nini mawasiliano yake na IKULU asiyafanye Personal and confidential??

Sasa anashitaki kwenye Maria Space na Clubhouse ili iweje?? The more anaongea mambo binafsi aliyoongea na IKULU the more anajiweka mbali na kutatuliwa shida zake.
 
Inqkuwaje tiss wanaweza kumpa makavu amiri geshi mkuu hadi anagwaya na kulamba tapishi lake? Ina maqnq hajui system kucheza nayo kila akiqmbiwa yeye hawezi ku question na kuamua tokana na intel ndani ya intel ?
 
Inqkuwaje tiss wanaweza kumpa makavu amiri geshi mkuu hadi anagwaya na kulamba tapishi lake? Ina maqnq hajui system kucheza nayo kila akiqmbiwa yeye hawezi ku question na kuamua tokana na intel ndani ya intel ?
That is sad.
 
Kama hicho kikundi kweli kipo basi kinathibitisha udhaifu wa Samia, kwanini kwa mamlaka aliyonayo anashindwa kikushughulikia?

Mkuu kama unakua mgeni na siasa za CCM? Ndani ya CCM huwezi kuleta mabadiliko katika hii nchi, mimi nilifahamu mapema kuwa mama lazima angelifika sehemu angekwama, Katika watu wa ovyo kabisa kwenye hii nchi ni TISS, tunatakiwa tusimame kama watanzania kulivuruga hili kundi la hawa wahuni
 
Kama hicho kikundi kweli kipo basi kinathibitisha udhaifu wa Samia, kwanini kwa mamlaka aliyonayo anashindwa kikushughulikia?
Uko sahihi 100%. Mwisho wa siku lawama hazitaenda kwa hicho kikundi, zitenda kwake.
The buck stops with her!
 
Wewe wasema...

Nitegemee useme tofauti?!!!😲🤣🤣

Watanzania walio wengi wanakiamini chama hiki kikongwe kuliko "vyama vya matukio"......

#SiempreCCM
Walio wengi kama hivi


 
Back
Top Bottom