Kuna kikundi kinapinga Rais Samia kuongea na upinzani

Kuna kikundi kinapinga Rais Samia kuongea na upinzani

Kuna wana CCM kwenye kamati kuu yao wanataka kumharibia mama kwenye uongozi wake, awe makini sana na watu hao.

Leo mama yupo mtu kati kuhusu kesi ya ugaidi...wao wapo poa tu na wake zao.
Maneno yenu hayo.....

Mh.Rais SSH ni mwenyekiti wa chama bora ,cha mfano na kikongwe AFRIKA....anakijua chama "in and out".....

Mh.Rais SSH amekuwa mjumbe wa kamati kuu kwa muda mrefu sana.......

#SiempreSerikaliMbiliZaJMT
#NchiKwanzaKablaYaYeyoteNaChochote
#KaziIendelee
 
Labda unataka tu kukomalia jambo lililokuwa wazi.....

Kwani mh.Kassim Majaliwa aliitoa hiyo "statement" wiki kadhaa kabla ya mh.Rais kututangazia MSIBA.....

Huna ujualo, alitoa siku 3 kabla ya msiba kutangazwa. Sasa ukae kwa kutulia.
 
Unataka kutuaminisha kuwa mh.Rais na mwenyekiti wa CCM hakijui chama vilivyo?!!

Haijui misimamo ya chama vilivyo?!!

CCM ni imani na itikadi....chama hiki cha kijamaa kamwe hakiwezi kumpitisha mwenyekiti "mwepesi" aliye "bendera fuata upepo".......

#SiempreSerikaliMbiliZaJMT
#KaziIendelee

Ccm sio chama cha siasa bali ni kikundi cha dola kilichojivika koti la chama cha siasa. Na ndio maana kwa sasa, chama cha siasa kinapambana na vyombo vya dola, maana ccm haiko tena.
 
🤣🤣
Kwani mtu hawezi kuumwa akiwa anachapa kazi ofisini na kupelekwa hospitali?!!!

Huko mtaani kila mtu alikuwa anasema kilichotangazwa siku mbili mbele, yeye asiwe anajua lolote? Huyo si atakuwa bonge la kilaza. Nadhani sasa umejua huna hoja bali ni bendera fuata upepo.
 
Ccm sio chama cha siasa bali ni kikundi cha dola kilichojivika koti la chama cha siasa. Na ndio maana kwa sasa, chama cha siasa kinapambana na vyombo vya dola, maana ccm haiko tena.
Wewe wasema...

Nitegemee useme tofauti?!!!😲🤣🤣

Watanzania walio wengi wanakiamini chama hiki kikongwe kuliko "vyama vya matukio"......

#SiempreCCM
 
Wewe wasema...

Nitegemee useme tofauti?!!!😲🤣🤣

Watanzania walio wengi wanakiamini chama hiki kikongwe kuliko "vyama vya matukio"......

#SiempreCCM
Sio kweli kabisa! Najua unaongea hili lakini deep down unaujua kweli. Umesahau hata Kauli ya Diallo?
 
Wewe wasema...

Nitegemee useme tofauti?!!!😲🤣🤣

Watanzania walio wengi wanakiamini chama hiki kikongwe kuliko "vyama vya matukio"......

#SiempreCCM

Kuaminiwa kunapimwa kwa kuheshimu uchaguzi, unaponajisi uchaguzi unatoa wapi nguvu ya kujifanya unaaminiwa?
 
Nimemsikiliza Lissu kwenye mahojiano akasema ikulu inamwambia watampigia simu halafu ikifika wakati kuna njama zinafanyika kuhakikisha Mama anashidwa kuongea naye.

Tujue kuwa kuna wafaudika wakubwa hata ndani ya usalama mfano mitambo ya kudukuwa simu nani katoa budget! Watekaji nani anawalipa, pesa za kununua wapinzani nani anatoa haya ni mabilioni ambayo wanaohopa kuyakosa.

Rais Samia asikokuwa makini hawa jamaa watahakikisha kuna fujo ili waendelee na biashara zao
Upo Sahihi
 
Maneno yenu hayo.....

Mh.Rais SSH ni mwenyekiti wa chama bora ,cha mfano na kikongwe AFRIKA....anakijua chama "in and out".....

Mh.Rais SSH amekuwa mjumbe wa kamati kuu kwa muda mrefu sana.......

#SiempreSerikaliMbiliZaJMT
#NchiKwanzaKablaYaYeyoteNaChochote
#KaziIendelee
Chama kinachojibu hoja kwa risasi, kuteka watu, kubambikizia watu kesi - shame !!
 
Yaani mh.Lissu ni "pathological lier".....

Nilitegemea asafishe hali ya hewa kwa kuomba msamaha kuwa ALIDANGANYA kuhusu yule ndugu....daah mpaka leo amebaki kimya.....

Mh.TL haaminiki......
Kuna mabodigadi wangapi wa mwendakuzimu waliokufa unaowajua!!??
Mimi najua watatu.
Wewe unawajua mabodigadi wake wote!??
 
Sio dhalimu bali anaiga tembo kunya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Pole sana mkuu! Shida ni kwamba ulimdemkia mapema mno,!

Sasa ni hivi, mama siyo dhalimu anatupeleka vizuri sana! Mataga na sukuma gang wanakomolewa, sasa tunapumua baada ya dhalimu wetu kufariki.

Bashiru na Polepole wanakiona cha mtema kuni
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Pole sana mkuu! Shida ni kwamba ulimdemkia mapema mno,!

Sasa ni hivi, mama siyo dhalimu anatupeleka vizuri sana! Mataga na sukuma gang wanakomolewa, sasa tunapumua baada ya dhalimu wetu kufariki.

Bashiru na Polepole wanakiona cha mtema kuni

Sina popote nilipochemka na mama wa kambo. Maana sina utaratibu wa kumkubali mwanaccm. Yule muovu aliyeko motoni alikuwa dhalimu kweli kweli. Huyu mama wa kambo yeye anaiga tu tembo kunya. Hao akina Polepole na Bashiru sio zote za kijinga za enzi za dhalimu zimeisha. Mfano Polepole alikuwa na kipindi cha channel 10 cha kusaka kick za kijinga, je kimeenda wapi baada ya dhalimu kuelekea motoni?
 
Nimemsikiliza Lissu kwenye mahojiano akasema ikulu inamwambia watampigia simu halafu ikifika wakati kuna njama zinafanyika kuhakikisha Mama anashidwa kuongea naye.

Tujue kuwa kuna wafaidika wakubwa hata ndani ya usalama mfano mitambo ya kudukuwa simu nani katoa budget! Watekaji nani anawalipa, pesa za kununua wapinzani nani anatoa haya ni mabilioni ambayo wanaogopa kuyakosa.

Rais Samia asipokuwa makini hawa jamaa watahakikisha kuna fujo ili waendelee na biashara zao
Mpaka mda huu ,sion na hakuna sababu ya kuongea na ccm na serikali yao,tuongee nini KWa mfano?

Mnabomoa misingi ya chadema
Mnatufunga
Mnatubambikia kesi

Nafikili twende hivyohivyo mpendavyo
 
Back
Top Bottom