neno huru kwako lina maan a tofauti na maana halisi ya watu kuwa huru. Kwetu tuna umeme tangu mwaka juzi, lakini wewe unaongea umeme wa leo. Mpaka sasa hivi kuna vijana wana ajira za "fundi umeme" ambao wanatandika waya za umeme kwenye nyumba kwa malipo laki moja na nusu hadi laki mbili pamoja na gharama za vifaa. Wewe endelea kulala na kuota tu, wengine wameshaamka wako kazini sasa.Hao ndugu zako hawako huru, hawawezi hata kuhoji ni kwanini umeme wa REA unasambazwa kwa kasi kubwawkipindi hiki cha uchaguzi wakati uzalishaji wetu wa umeme haujaongezeka.
Wewe ni Mmalawi?Ninaongea kila wiki na ndugu zangu huko kijijini; hakuna wanaojua chama cha upinzani, wanasema tangu mwaka 2010 wakati CHADEMA ilikuwa imeanza kujikita hapo kijijini, leo hii hakuna chama zaidi ya CCM. Wanashindwa kutofautisha kati ya serikali na CCM; kwao huwezi kuwaambia jambo dhidi ya CCM, ndiyo maana nina uhakika kuwa CHADEMA kinacheza kujifurahisha tu, ila siyo kutafuta ushindi. Ushindi hauji kwa mtindo huu wa CHADEMA.
Una uhuru gani chini ya mkoloni CCM anaekuchagulia mpaka viongozi wa kukuongoza?neno huru kwako lina maan a tofauti na maana halisi ya watu kuwa huru. Kwetu tuna umeme tangu mwaka juzi, lakini wewe unaongea umeme wa leo. Mpaka sasa hivi kuna vijana wana ajira za "fundi umeme" ambao wanatandika waya za umeme kwenye nyumba kwa malipo laki moja na nusu hadi laki mbili pamoja na gharama za vifaa. Wewe endelea kulala na kuota tu, wengine wameshaamka wako kazini sasa.
Wewe upo porini wacha mna njaa sana mnaoneshaKama unafanya project vijijini, basi ndiko kwenye waliolala wanaotegemea projects za NGO. Huwezi kufika kijijini kwetu kwa vile wao hawategemei project hizo bali wanajitegemea wenyewe na wako happy sana na maisha sasa hivi kuliko enzi zozote. Nyumba za nyasi zinafutika haraka sana kwa sababu kila familia inataka umeme nyumbani; nyumba za nyasi zimebaki kama asilimia kumi tu ya kijiji (na kata) chote. Mwendo ni wa aina hiyo hiyo kwenye kiwango cha kata na tarafa pia; sasa hivi vijiji vimekuwa kama vinashindana kufuta nyumba za nyasi.
Kura za porini ni kura pia; wewe tafuta kura za mjini tu. October 28 itaonyesha kura zipi ni nyingi.Wewe upo porini wacha mna njaa sana mnaonesha
Ndugu hebu acha kutuletea stori za alinacha...Ni hivi, Magufuli hawezi kushinda kwenye sanduku la kura period! Acha kujibereuza hapa. Kama Magufuli atashinda basi ni kwa sababu ya msaada wa tume yake na vyombo vya dola bas! Hata kama wewe ni wa mrengo wa watawala labda ni miongoni mwa wafaidika wa utawala, elewa kwamba sasa hivi watanzania wengi wanajielewa, sio wapumbavu tena. Sasa hivi muda wa kutudanganya umepita acha kupoteza muda wako bure!Kujipa matumaini ni jambo zuri sana kwa sababu husaidia katika kutunza sanity yako. Lakini subiri Octiber 28 ambayo ndiyo fainali. Zimebaki siku chache sana
Kujipa matumaini ni jambo zuri sana kwa sababu husaidia katika kutunza sanity yako. Lakini subiri Ocoiber 28 ambayo ndiyo fainali. Zimebaki siku chache sana. Usitafute sababu za kushindwa kwani ni moja tu, kuwa kura hazitatoshaNdugu hebu acha kutuletea stori za alinacha...Ni hivi, Magufuli hawezi kushinda kwenye sanduku la kura period! Acha kujibereuza hapa. Kama Magufuli atashinda basi ni kwa sababu ya msaada wa tume yake na vyombo vya dola bas! Hata kama wewe ni wa mrengo wa watawala labda ni miongoni mwa wafaidika wa utawala, elewa kwamba sasa hivi watanzania wengi wanajielewa, sio wapumbavu tena. Sasa hivi muda wa kutudanganya umepita acha kupoteza muda wako bure!
Hivi mkuu ndege JOHN uliongoka lini?Lissu is my president
Watu wenye mawazo mgando Kama huyu ni hatari kwa ustawi wa nchiWako developed sana siku hizi; hawana vibatari wala taa za chemli, na kidogo kidogo wanaachana na majiko ya kuni na mkaa. Inawezekana wewe unawasiliana na vijiji vinavyoishi maisha ya ujima, na unadhani kuwa Tanzania yote iko hivyo. Kiongozi wa CHADEMA anayesema kuwa ataboresha maisha ya watanzania wakati hajaboresha maisha ya wafanyakazi wa CHEADEMA bado wako hoi, ni wa kuogopwa kama ukoma! Ofisi ya makao makuu ya Chedama ni kama nyumba ya mtu wa kawaida sana kijijini kwetu.
Katikati ya eg weka nKwa uelewa huu Tanzania tuna safari ndefu sana kuufuta ujinga. Hata mfano wa Maalim Seif umeusahau...tangu 2015 hadi leo hakuwahi kuwa raisi.
Ni MhutuTL anasema Hana Cheti Cha kuzaliwa ,means sio mtanzania[emoji849]
Nyie nyie! mmesahau bao la mkono yaani ushindi wa mezaniWasalam,
Pamoja na mazuri yote aliyofanya Mh magufuli bado wingu jeusi limetanda ndani ya ccm kutokana na uasi wa baadhi ya wanaccm.
Kuna kila dalili kwamba ccm inaenda kushindwa kwa fedhea ktk uchaguzi wa Oct 28.
Dalili moja mbaya ni kwamba wananchi ambao ni wapiga kura wamekata tamaa kutokana na ugumu wa Maisha na wengi wameapa kuikataa ccm Oct 28, huenda Tanzania ikaandika historian kwa Rais kuongoza kipindi kimoja cha miaka5.
Dalili zinaonesha Watanzania hawana imani na CCM pamoja na rais magufuli.
Maendeleo yana vyama.
Kijiji gani mkuu??acha kujifariji.huu ndo upinzani Original.ccm oyeeNinaongea kila wiki na ndugu zangu huko kijijini; hakuna wanaojua chama cha upinzani, wanasema tangu mwaka 2010 wakati CHADEMA ilikuwa imeanza kujikita hapo kijijini, leo hii hakuna chama zaidi ya CCM. Wanashindwa kutofautisha kati ya serikali na CCM; kwao huwezi kuwaambia jambo dhidi ya CCM, ndiyo maana nina uhakika kuwa CHADEMA kinacheza kujifurahisha tu, ila siyo kutafuta ushindi. Ushindi hauji kwa mtindo huu wa CHADEMA.
Ukitaka PUMBAVU zaidi unaongezewa hakuna hiyanaUchumi wa kati wana enjoy wale walio karibu na mwenyekiti wa chama huku wakipewa PUMBAVU za hapa na pale
Nyie nyie! mmesahau bao la mkono yaani ushindi wa mezani
Very much unreliable source.
Nikiwa mwanaCHADEMA na nikiwa bado naruhusiwa kupiga kura kabla ya huu utaratibu wa vitambulisho mwaka 2010 nisafiri kwenda kuipigia kura CHADEMA. Leo hata kama ningekuwa na kitambulisho nisingeipigia CHADEMA; kwani kijiji chetu karibu chote hakuna kura ya CHADEMA tena.Kijiji gani mkuu??acha kujifariji.huu ndo upinzani Original.ccm oyee
Mbowe kaona Lissu anachangamsha genge tuu hawezi kushinda urais kaamua kuachana nae. Huyo atakuwa rais wa miga.Jiandae kisaikolojia, Magufuli atashinda kwa kishindo kikuu hiyo Oct 28.Lissu hawezi kuwa Rais wa tanzania, ukawa walichemsha 2015, ndio basi tena.
Uchumi wa kati wana enjoy wale walio karibu na mwenyekiti wa chama huku wakipewa PUMBAVU za hapa na pale