Kuna Kila Dalili Mbowe akawa Rais wa Tanganyika(TZ) 2025, jela Tu ndo itamzuia

Umemaliza
 
Unahamisha magoli baada ya kupokea knuckles!!

Goli lipi limehama? Unaweza kujilinganisha na Mh. Mbowe wewe?

Hiiiiii bagosha!

Kawapambanie nduguzo wamekaliana makooni huko:

 
Mbowe nani amulchague ?
 
Kama kuwa Rais wa Magaidi Tanganyika sawa.
 
Unakua ni kwa kiasi gani Zanzibar imekosa haki yake kwenye keki ya muungano!?..inajua lipi la muungano lipi siyo!?
 
Uzuri wa kiongozi haupimwi kwa kujengwa hoja jukwaani,Hilo hata polepole anaweza,uzuri wa kiongozi unapimwa kwa unafuu wa maisha kwa watu wake anaowaongoza na utu wao
 
Ndoto yako ikitimia Mbowe ndio atakuwa Rais alieingia madarakani kwa mara ya kwanza akiwa Kikongwe zaid


Julius aliingia akiwa na 40
Ally aliingia akiwa na 60
Benja akiwa na 58

Jakaya akiwa na 55
John akiwa na 56
Samia akiwa na 61
John alikuwa hajui umri wake huyo
 
Uzuri wa kiongozi haupimwi kwa kujengwa hoja jukwaani,Hilo hata polepole anaweza,uzuri wa kiongozi unapimwa kwa unafuu wa maisha kwa watu wake anaowaongoza na utu wao

Uzuri wa kiongozi unapimwa kwa hoja. Tunashindana kwa hoja. Sera ni hoja.

Bila hoja kwenye siasa ndugu zako hawa hapa:





Kama migambo wanaruka na kukanyagana.

Hawafai!
 

Yani unataka kampeni zianzie sasa hivi mpaka 2025? Shughuli za maendeleo zitafanyika sa ngapi! Ndio maana mama kamfungia mbowe gerezani ili apishe kazi iendelee
 
Hatuwezi ONGOZWA na WACHAGA mzee, nendeni mkaambizane this DECEMBER mbwa nyie.
Kauli kama hizi ndio haswa nilizozielezea kwamba zinaleta uhasama bila sababu.

MBWA MWENYEWE..aliyekuambia mimi mchagga ni nani 😳 Na utatawaliwa na mchagga tu..penda usipende
Ungekuwa karibu ningeondoka na hiyo shingo...nyumbu kasoro mkia.
 
Kauli kama hizi ndio haswa nilizozielezea kwamba zinaleta uhasama bila sababu.

MBWA MWENYEWE..aliyekuambia mimi mchagga ni nani [emoji15] Na utatawaliwa na mchagga tu..penda usipende
Ungekuwa karibu ningeondoka na hiyo shingo...nyumbu kasoro mkia.
Mbwa nyie, hatotokea mchaga atawale. Na ww nakuambia NJOO hapa UHASIBU utanikuta.
 
Kama amekosekana kabisa mtu wa kuwa Rais wa JMT ni bora hiyo nafasi iwe wazi tu kuliko huyo jamaa.

Mbowe ana uwezo mdogo mno wa kufikiri,angalia tu hata namna alivyokuwa anatafuta "
walinzi wake binafsi"

Kwa mazingira ya siasa za nchi hii na habari za kupandikizwa watu wa kitengo kwenye vyama vya siasa,unaanzaje kumwamini stranger tu akuunganishe na strangers wenzake wa kukulinda?

Kisa ni HOMEBOY tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…