KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
There you have it!"Sijiungi upinzani kutafuta uongozi bali kushirikiana na wapinzani wa kweli kulinda demokrasia na kuleta mabadiliko, haki, utawala bora unaofuata sheria. Tundu Lissu akipitishwa nitashirikiana nae na viongozi wengine katika uchaguzi”
Hivi mkuu'Sky' huoni anavyoumia huyo uliyemjibu hapo? Hebu msome vizuri umwelewe...Tukijifariji wewe unapata maumivu gani?
Huyo ni 'popo', sio ndege wala mnyama.Wewe jamaa nilishashindwa kukuelewa. Hivi uko upande gani ccm au upinzani? CHADEMA walio wengi wanamtaka Lisu ila wewe huishiwi ngojera za kumpinga Lisu.
Mkuu pilika pilika za Nyalandu zinajieleza, vile anavyozunguka mikoani kutafuta wadhamini... anaonekana ni mtu aliepani.Ni vigezo vipi ulivyovitumia kuhitimisha Nyalandu kajipanga kuliko Lissu hasa ukitilia maanani lissu hayuko nchini kwa karibu miaka mitatu!?
Acha ungeseMatamanio ya kijinga kabisa
Wewe hata hujui kinachoendelea!Mkuu pilika pilika za Nyalandu zinajieleza, vile anavyozunguka mikoani kutafuta wadhamini... anaonekana ni mtu aliepani.
Tofauti na Lissu, ambae hajaanza hata moja na hatujui serikali itamchulikuaje atakavyofika.
Sasa angalia mawazo kama haya.Mkuu mimi simpingi Lissu, Ila iko wazi Lissu kupewa Uhuru wa kugombea na huu utawala ni ndoto ya Mchana Lissu mwenyewe anajua.
Vyombo vya dola vina mengi ya kuongea na Lissu kabla ya kupata nafasi kugombe Urais.
Kwa anaejua siasa za visasi za Magufuli na anavyomwogopa Lisu haiwezi kukusumbua kubaini hilo.
Lisu akitua Tanzania huenda asilale hata Nyumbani kwake, Cha kwanza lazima wachukue passport yake halafu kwa hii miaka mitano ya Magufuli huenda amalizia kuwa mwenyeji kwenye viunga vya mahakama.
Muda utaongea,Wewe hata hujui kinachoendelea!
Lakini ni mwanachama halali wa Chadema na amechukua fomu ya kuomba kugombea Urais, Sijui utafanyaje akiteuliwa na Chama kupeperusha bendera ya Chadema.Nyalandu huyu huyu aliyekuwa akivinjari na akina anti Ezekieli Ulaya wakati akiwa Waziri wa maliasili??
Tunawafahamu na tunazifahamu siasa za Tanzania.Sasa angalia mawazo kama haya.
Tanzania inaingia kwenye uchaguzi kwa utashi wa Magufuli?
Mkuu pilika pilika za Nyalandu zinajieleza, vile anavyozunguka mikoani kutafuta wadhamini... anaonekana ni mtu aliepani.
Tofauti na Lissu, ambae hajaanza hata moja na hatujui serikali itamchulikuaje atakavyofika.
Itapendeza na kutia moyo iwapo TL atapata Sapoti ya ACT na Vyama vingine. Mwaka huu Ccm inatakiwa aisirudi madarakaniHii ni kutokana na tweet ya Mdau mmoja huko twitter, huku Zitto akii-retweet twitter hiyo.
Tweet husika ni hii:
"Sijiungi upinzani kutafuta uongozi bali kushirikiana na wapinzani wa kweli kulinda demokrasia na kuleta mabadiliko, haki, utawala bora unaofuata sheria. Tundu Lissu akipitishwa nitashirikiana nae na viongozi wengine katika uchaguzi”
Mhusika kaandika Maneno hayo na kuweka picha ya Membe.
Tweet nyingine ni hii:
CHADEMA watamsimamisha
@TunduALissu
mgombea Urais 2020 & mgombea mwenza wa Lissu atatoka Zanzibar.
@ACTwazalendo
hawatasimamisha mgombea lakini
@BenMembe
atakuwa mshauri & strategist kumsaidia Lissu; CCM watamsimamisha JPM & Samia SULUHU
Hata kama Wananchi wanamtaka?Huu Utawala ndiyo huamua na ni agombee kwenye vyama vyote hapa Tanzania? Wanatumia sheria IPI ya JMT?Mgombea wa uhakika na aliejipanga ni Nyalandu lakini bado mnahangaika na Lissu wakati inajulikana Kuna asilimia ndogo Sana kwa Lisu kusimama jukwaani na kuomba kura.
Huu utawala hautaruhusu kitu kama hicho kamwe.
Bila shaka....na uonevu siku zote ndio mtaji wa CCM uliobakiKwa hiyo haikuwa sawa kuonyesha kwamba Nyalandu kajipanga kuliko Lissu huku ukijua lissu hayuko nchini.
Ndiyo akirudi anaweza kukamatwa kwa UONEVU na UDIKTETA tu lakini hastahili kukamatwa kwa lolote lile hana kosa zaidi ya makosa FAKE wanayotaka kumbambikia.
Bila shaka....na uonevu siku zote ndio mtaji wa CCM uliobaki
Kwani ni watu wangapi wamebambikiwa makosa nchini na mpaka Sasa wengine wapo mahabusu hadi tusitabiri kitakachomtokea Lissu.
Mgombea wa uhakika na aliejipanga ni Nyalandu lakini bado mnahangaika na Lissu wakati inajulikana Kuna asilimia ndogo Sana kwa Lisu kusimama jukwaani na kuomba kura.
Huu utawala hautaruhusu kitu kama hicho kamwe.
Kwani wewe ni mjinga?Acha ungese