Kuna kitu cha kujifunza kwa Zelensky

Kuna kitu cha kujifunza kwa Zelensky

Miaka miwili iliyopipa jiji la Kyyiv lilizingirwa na majeshi ya Russia.

Wote tulishuhudia msafara mrefu wa magari ya kijeshi yakiwa ndani ya Ukraine.

Uvamizi ule ulitisha kwa kweli. Mimi binafsi niliona kabisa mwisho wa utawala wa Zelensky.

Wote tuliona majeshi ya Urusi yakiwa kila Kona ya Ukraine.

Cha ajabu, wote tulishuhudia unasiri wa Zelensky Aki mobilise raia wa Ukraine kwamba wasikubali. Wapigane. Kweli kama utani wote tuliona ule msafara ulivyoyayuka kama barafu.

Wiki iliyopita nimemuona waziri mkuu wa UK, Rishi Sunak akilihutubia bunge la Ukraine. Nilishangaa

Kwenye hotuba yake alisema miaka miwiri iliyopita, majeshi ya Urusi yalikuwa kilometer chache toka hapo bungeni.

Ndugu zangu, kweli tusiogope ukubwa wa jambo lolote kwenye maisha. Hata kama tunazingirwa na maadui pande zote, tukiwa na unajasiri, tutashinda tu. Ujasiri ni silaha tosha.
Sahihi
 
mnapenda propaganda , kipi alihaidiwa Urusi kwenye hayo makubaliano mpk akarudi nyuma ? wkt siku 2 kabla ya Uvamiz aliambiwa na viongoz wa Ulaya asifanye hivyo ila alikaidi
Mdusi 94 wewe hujui kitu chochote kuhusu URUSI kunywa gahawa tulia mwache mwanaume urusi afanye Vita vyake
 
Hizi picha ulipiga wewe? Kama jibu ni hapana,wewe na mada yako, 🚮 .
Wengine huku wanahangaishwa na vyuma,wengine maji,wengine umeme, na nyie mmekalia stori za vijiweni.
Ukraine au Russia wanawapa ripoti za vita yao kama kina nani? Ili muwasaidie nini labda! Mpo tu kama nyani,leo mnajibebisha msikojulikana.
Huna hela, huna helimu, huna akili ila unanipangia mimi cha kujadili. Uko unafanya nini kwenye huu uzi, si utafute nyuzi za mwanamke kulinda ndoa ukajadili na kinamama wenzio.
 
mnapenda propaganda , kipi alihaidiwa Urusi kwenye hayo makubaliano mpk akarudi nyuma ? wkt siku 2 kabla ya Uvamiz aliambiwa na viongoz wa Ulaya asifanye hivyo ila alikaidi
Hayo ni madai ya uwongo, Javelin zilikaanga vifaru vya Urusi mpaka aibu, tena vingine walikimbia wakaviacha.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Huna hela, huna helimu, huna akili ila unanipangia mimi cha kujadili. Uko unafanya nini kwenye huu uzi, si utafute nyuzi za mwanamke kulinda ndoa ukajadili na kinamama wenzio.
Sawa mtoto wa kiume. Mchambuzi mbobevu wa maswala ya kivita. Wenye hivyo vyote ulivyotaja,wapo kwenye mambo mengine hawajakalia kujadili pumba hapa. Daadeki. Kwa hiyo,unajiona umeitawala JF kwa mada za kijinga tuu. Kamwe.
Hata za kwako lazima nizitafute nijadili na wajinga wenzangu kama wewe.
 
Hizi picha ulipiga wewe? Kama jibu ni hapana,wewe na mada yako, 🚮 .
Wengine huku wanahangaishwa na vyuma,wengine maji,wengine umeme, na nyie mmekalia stori za vijiweni.
Ukraine au Russia wanawapa ripoti za vita yao kama kina nani? Ili muwasaidie nini labda! Mpo tu kama nyani,leo mnajibebisha msikojulikana.
Punguza hasira dogo...

Uzi upo kwenye jukwaa husika.
 
utakua hufuatilii habari, ule msafara ulirudi urusi baada ya germany, turkey, france, kuweka kufanikisha makubaliano ya kusitisha mapigano......

zele alikubali pia......

siku 3 baadae Boris akaenda kiev kumwambia Zele wao (west/nato) hawatasaini hayo makubaliano, inatakiwa waendelee kupigana.....ndii ukaona vita inaendelea........
Wanaelewaje wakati hawana muda wa Kufuatilia habari, wanapenda Kusoma vichwa vya habari.
 
Marekani na washirika wake baada ya KUSHINDWA Vita Ukraine wameogopa fedheha, hivyo ktk BAROZI zake wamefungua kitengo Cha propagandah, Vijana wanakweda kupatiwa Simu janja na Gb za kutosha kupotosha uhalisia wa Vita ya Urusi na NATO.
Kila Mwezi kila kijana anapokea USD 65 na simu ya bure yenye Gb za kutosha.
Hivyo wasiwapotezee muda Kusoma habari za propagandah sababu wao wapo kazini, tena ni Dunia nzima wamefungua Dirisha la propagandah.
 
Marekani na washirika wake baada ya KUSHINDWA Vita Ukraine wameogopa fedheha, hivyo ktk BAROZI zake wamefungua kitengo Cha propagandah, Vijana wanakweda kupatiwa Simu janja na Gb za kutosha kupotosha uhalisia wa Vita ya Urusi na NATO.
Kila Mwezi kila kijana anapokea USD 65 na simu ya bure yenye Gb za kutosha.
Hivyo wasiwapotezee muda Kusoma habari za propagandah sababu wao wapo kazini, tena ni Dunia nzima wamefungua Dirisha la propagandah.
Kwa hiyo na ww umepewa Gb na simu na putin au vipi
 
utakua hufuatilii habari, ule msafara ulirudi urusi baada ya germany, turkey, france, kuweka kufanikisha makubaliano ya kusitisha mapigano......

zele alikubali pia......

siku 3 baadae Boris akaenda kiev kumwambia Zele wao (west/nato) hawatasaini hayo makubaliano, inatakiwa waendelee kupigana.....ndii ukaona vita inaendelea........
Kwamba zile picha na video ni feki
 
utakua hufuatilii habari, ule msafara ulirudi urusi baada ya germany, turkey, france, kuweka kufanikisha makubaliano ya kusitisha mapigano......

zele alikubali pia......

siku 3 baadae Boris akaenda kiev kumwambia Zele wao (west/nato) hawatasaini hayo makubaliano, inatakiwa waendelee kupigana.....ndii ukaona vita inaendelea........
Na vipi kuhusu maiti za wanajeshi wa russia waliouliwa kama kuku pale Kyiv?
 
Back
Top Bottom