Kuna kitu gani special katika hii pombe ya Hennessy?

Kuna kitu gani special katika hii pombe ya Hennessy?

Tangu nimeiona ile Clip ya yule ni Mpakistan kama sikosei, jamaa alikuwa anazijaza kwenye chupa halafu anapack! Ana madumu na madumu ya mzigo, ana chupa za kutosha tu za Johny Mtembezi, Mwalimu nk. Nikakoma kunywa Whisky na Brandy
Iko wapi iyo clip mkuu maana mbona hatari mtu unajua wanywa cognac kumbe utopolo.
 
Pombe wanazosifia wanamuziki wa marekani ndio wabongo nao wanashoboka.

-Cris ,belaree,ciroc,barcadi na henesi.

=====
After the show it's the after party then
After the party it's the hotel lobby and
After the Belve' then it's probably Cris'.

You see V-I-P; me, Kelly, Gotti, and Hov'
Drinkin Cris' like its H-2-O
======

Fresh Prince of Bel-Aire, all they do is stare.
Henessy ni ya enzi hizoooo...........
 
Tunachosema ni pombe tu ya kawaida hamna chochote cha kushobokea
Ni ushamba wa kibongo
Si kwamba ukinywa una hela
Na Henessy za huko bongo ni za kuchakachua za kichina hizo
😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Tunachosema ni pombe tu ya kawaida hamna chochote cha kushobokea
Ni ushamba wa kibongo
Si kwamba ukinywa una hela
Na Henessy za huko bongo ni za kuchakachua za kichina hizo

Kama huna hela unaanzaje nunua hennessy??, na anaekunywa hio kitu ofcoz anahela mzee. Hennessy ni bonge la kiburudisho acha mawazo ya kimaskin
 
Back
Top Bottom