Kusaidiwa siyo tatizo tstizo ni mtu anaye kuja kama msaidizi kumbe ni adui ndiyo hao wakina WORLD BANK NA MABEBERU NA WAARABU NKHakuna ANAYEPENDA kusaidiwa Mkûu. NI kwamba mpaka kufikia Sasa hivi Waafrika tumeonyesha n kuthibitisha uwezo wetu wa Kufikiri NI Mdogo.
Zîpo nchi kibao hazifungamani na USA Maisha Yao yakoje?
Pia wavaa kobasi ndani ya US wana haki zao na wanaishi kwa amani mno😁Waulize hao wasiotaka USA kama Bila USA wengi waô wangekuwa washauawa Kwa sababu walivyokuwa Watoto walianza Kuota Meno ya juu àmbapo adhabu yake ilikuwa Kifo
Wewe unadhani madini yetu ya sfrica yanaibiwa au ni sera za kimataifa kutoka kwa mabeberu ...sisi tupo kwenye uteja wa mabeberu na sera zao na miongozo yso waliyo tutungia kwa manufaa yao ...
Sio kwamba wanaichukulia poa ila ni kwamba zama zimebadilika. Vita ikianza si kwamba atapiga hizo nchi kwenye ardhi yake tu kama ambavyo alizoea kufanya huko nyuma bali ni kwamba hata yeye atapigika kwenye ardhi yake pia na hilo asingependa litokee.Katika vitu vinavyochekesha na kuuzunisha ni kuona kundi la watu fulani wakichukulia usa poa sana
Wengine kwa akili zao wanafikiri ni taifa dhaifu sana
Any way tuombe tu Mungu amani iwepo duniani
Kusaidiwa soyo tatizo tstizo ni mtu anaye kuja kama msaidizi kumbe ni adui ndiyo hso wakina WORLD BANK NA MABEBERU NA WAARABU NK
Mbona amerika kaua kisa babu ysko kskataa kuwa mtumwa na kuwakata mikono na kuwanyonga watu wasio na hatia wewe akili yako imekua anithi kwa hii hoja yako ni kituko ..Waulize hao wasiotaka USA kama Bila USA wengi waô wangekuwa washauawa Kwa sababu walivyokuwa Watoto walianza Kuota Meno ya juu àmbapo adhabu yake ilikuwa Kifo
Yaani kuolewa na mwanaume mwenzako wewe unaona ni sawa !? Bila Shaka utakuwa ni upinde weweEndeleeni kukopa China sasa kwa mashariti ya kampuni zao kujenga huku 10% zikitembea vizuri kisa unaogopa kuolewa na mwanaume mwenzako.
Ujinga mtupu, ningeshangaa kama ushoga usingefika hapa.
Ndiyo maana nikasema amerika siyo mwema kwetu pia ...kama angekuwa mwema awezi kutumia upungufu wetu wa kiakili kutufanyi dhurumaWewe ûkienda kuingia Mkataba na Mtu Mjinga utaingia Mkataba Sawasawa na Yule mwenye Akili?
Ila shida yako ni kukataa kwamba ni taifa linalozidi taifa lako kwa mambo mengi, siyo? Kuna takwimu za Marekani kuisaidia Tanzania, lakini sina takwimu za Tanzania kuisaidia Marekani. Labda kwenye post inayofuata kila mtu aje na hizo takwimu. Labda tuanzie hapo.Ndicho ninacho sema mimi... kuwa krashi wanao itukuza marekani for nothing wakidhani ni watu muhimu kwetu ...mimi sikusema kusaidiwa ni kwema wala kubaya ila kutukuza upumbavu ni tatizo....
Unga ulipewa jina la Dona ( Donor) kipindi cha utawala wa Kennedy Jr, ukiwa na maana ya msaada wa watu wa Marekani. Hadi sasa huo unga unaitwa donaHuko barabarani kumejaa mabango ya barabara zilizojengwa kwa msaada wa watu wa Marekani, chanjo nyingi ulizopata ni kwa msaada wa watu wa Marekani, ARVs na condom ni bei rahisi kwa ufadhili wa watu wa Marekani, Hata unga wa Yanga wakati wa njaa ulitoka Marekani.
Kumbe!Unga ulipewa jina la Dona ( Donor) kipindi cha utawala wa Kennedy Jr, ukiwa na maana ya msaada wa watu wa Marekani. Hadi sasa huo unga unaitwa dona
N
Ndiyo maana nikasema amerika siyo mwema kwetu pia ...kama angekuwa mwema awezi kutumia upungufu wetu wa kiakili kutufanyi dhuruma
US haina adui wa kudumu wala haina rafiki wa kudumu ila ina maslai ya kudumu .N
Ndiyo maana nikasema amerika siyo mwema kwetu pia ...kama angekuwa mwema awezi kutumia upungufu wetu wa kiakili kutufanyi dhuruma
Mbona amerika kaua kisa babu ysko kskataa kuwa mtumwa na kuwakata mikono na kuwanyonga watu wasio na hatia wewe akili yako imekua anithi kwa hii hoja yako ni kituko ..
Kwa akili.kama hizi ni bora ukawai chumbani kwa p diddy ukaonyeshwe mafuta ...hata hao wazungu walionyweshwa madini na mtu fulani kati yao hakuna mzungu aliye zaliwa na elimu ya madini pia nchi ya misri ilikuwa ni mali ya waafrica tena weusi walikuwa na elimu kubwa kuliko nchi zote za wazunguNinyi hayo madini mlijuaje ni madini kama hao wazungu hawakuja kuwaonyesha?
Hata namna yanavyopatikana hamjui.
Mwisho, mikataba mnayoingia na hao wazungu hamlazimishwi.
Mbona waarabu wanafaidika na Mafuta Yao na makampuni mengi yanamilikiwa na haohao Wamagharibi
Kwa akili.kama hizi ni bora ukawai chumbani kwa oi diddy ukaonyeshwe mafuta ...hata hao wazungu walionyweshwa madini na mtu furani kati yao hakuna mzungu aliye zaliwa na elimu ya madini pia nchi ya misri ilikuwa ni mali ya waafrica tena weusi walikuwa na rlimu kubwa kuliko nchi zote za wazungu
Sijawai kuona mpumbavu kama wewe siyo lazima kuwa jambazi basi lazima wewe ufanye moja kwa moja ujambazi ...wewe ukitoa pesa mafundi wakakujengea nyumba mbona unasema ninajenga nyumba ...biashara ya watumwa siyo kuuza tu hata kununua mtumwa ni kufanya biashara ...nadhani ujui kuwa biashara ni (kuuza na kununua) kwa akili zako wewe unadhani kufanya biashara ni kuuza tu ...pole sana kwa akili kiduchuAmerika hajawahi kufanya biashara ya utumwa
Itakuwa huijui Historia Vizuri
Au Unazungumzia waingereza, wajerumani, wareno na wafaransa?
Sijawai kuona mpumbavu kama wewe siyo lazima kuwa jambazi basi lazima wewe ufanye moja kwa moja ujambazi ...wewe ukitoa pesa mafundi wakakujengea nyumba mbona unasema ninajenga nyumba ...biashara ya watumwa siyo kuuza tu hata kununua mtumwa ni kufanya biashara ...nadhani ujui kuwa biashara ni (kuuza na kununua) kwa akili zako wewe unadhani kufanya biashara ni kuuza tu ...pole sana kwa akili kiduchu
Bidhaa pekee inayoonekana Kwa macho ni mipira ya kujamiiana na vilainishi na vifaa vya kueneza USHOGA.USA alina faida yoyote kwa dunia nitajie hata mita moja ya reli ambayo USA na utajiri wake wote kajenga africa au hospital moja tu ya maana ambayo kajenga ...nasikitika sana kuona wapumbavu mnashabikia taifa ambalo halina faida yoyote kwa africa na dunia ...pepesa macho yako hapo ulipo nitajie ni bidhaa gani za USA uponazo hapo ulipo au umeziona kwa macho labda simu ya iPhone tu tena kama unayo