Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Sijawai kuona mpumbavu kama wewe siyo lazima kuwa jambazi basi lazima wewe ufanye moja kwa moja ujambazi ...wewe ukitoa pesa mafundi wakakujengea nyumba mbona unasema ninajenga nyumba ...biashara ya watumwa siyo kuuza tu hata kununua mtumwa ni kufanya biashara ...nadhani ujui kuwa biashara ni (kuuza na kununua) kwa akili zako wewe unadhani kufanya biashara ni kuuza tu ...pole sana kwa akili kiduchu
Kwa hiyo black amerika waliopo usa 🇺🇸 walitoka wapi au walikuwa wakina nani huko america ...kuuza kununua au kumiliki mtumwa yote hiyo ni cheni ya biashara ya utumwaUSA haijawahi kuuza Wala kununua watumwa.
Ndîo maana unaonekana unaongea mambo usiyoyajua.
Hata Mtu aliyefika kidato cha nne tuu anajua USA hajawahi kufanya biashara ya utumwa
Kwa hiyo black amerika waliopo usa 🇺🇸 walitoka wapi ana walikuwa wakina nani huko america ...kuuza kununua au kumiliki mtumwa yote hiyo ni cheni ya biashara ya utumwa
Taifa la kibeberu liko kimaslahiUSA alina faida yoyote kwa dunia nitajie hata mita moja ya reli ambayo USA na utajiri wake wote kajenga africa au hospital moja tu ya maana ambayo kajenga ...nasikitika sana kuona wapumbavu mnashabikia taifa ambalo halina faida yoyote kwa africa na dunia ...pepesa macho yako hapo ulipo nitajie ni bidhaa gani za USA uponazo hapo ulipo au umeziona kwa macho labda simu ya iPhone tu tena kama unayo
We jamaa mbona unakuwa mgumu wa kuelewa! We unataka nani akufanyie wema? Mfano, pitia changamoto kidogo nenda kakope pesa kwenye taasisi yoyote ya kifedha mfano OYA, au mtu binafsi mbona huwa unawekewa RIBA, wakati wa kurejesha? Mbona huwa hulalamiki kwamba natozwa RIBA? Ndugu kila mtu ashinde mechi zakeN
Ndiyo maana nikasema amerika siyo mwema kwetu pia ...kama angekuwa mwema awezi kutumia upungufu wetu wa kiakili kutufanyi dhuruma
Kwani ujui mnafiki anavyo fanya mambo yake ....kuna jambazi na tapeli marekani anatumia njia zote mbili ujambazi na utapeli...yaani anaweza kukuujumu moja kwa moja au kwa kifichoHizô ni hadithi na porojo tuu.
Hivi hao wamarekani wanawaogopa kiasi gani mpaka watumie indirect way kuwaangamiza?
Sera za Afya za kimataifa na kitaifa unazijua?
Kabla ya ukoloni na baadhi ya ukoloni life expectancy ya Tanzania na Africa Kwa ujumla imeongezeka au imeshuka?
Vifo vya wajawazito na Watoto wachanga Mpaka Umri wa Miaka mitano vimeongezeka au vimeshuka?
Ubora na Hali nzuri ya Maisha vimeongezeka au vimeshuka?
Au mnaongea mambo msiyoyaelewa?
Daaaah!Hata wewe?Bila uwepo wa USA, dunia ingekuwa uwanja wa vita. USA analeta balance kwenye mambo mengi mno
Wazungu wao wanatutaka sisi tuwatendee wema ila wao awataki kututendea wema tumia sliki acha kutumia kijambio kufikiri America ni adui aliye dhahiri kabisa hana wema wowote hata kwa waafrica waliopo nchini mwake sembuse wewe mmatumbi ambaye Samia kesha kutangaza kuwa wewe ni SISIMIZI TUWe jamaa mbona unakuwa mgumu wa kuelewa! We unataka nani akufanyie wema? Mfano, pitia changamoto kidogo nenda kakope pesa kwenye taasisi yoyote ya kifedha mfano OYA, au mtu binafsi mbona huwa unawekewa RIBA, wakati wa kurejesha? Mbona huwa hulalamiki kwamba natozwa RIBA? Ndugu kila mtu ashinde mechi zake
Kuongezea Taifa la USA ni moja ya mataifa hawana Tabia ya kuonyesha silaha zao. Tofauti na Urusi, Iran, na China. Umewahi kujiuliza sababu za hayo yote? Ktk moja ya speech za marais wa Marekani kwa nyakati tofauti wamekuwa wakisema USA wana silaha ambazo hazijawahi tumika duniani wala kuonwa" swali linabaki je ni silaha ganiKatika vitu vinavyochekesha na kuuzunisha ni kuona kundi la watu fulani wakichukulia usa poa sana
Wengine kwa akili zao wanafikiri ni taifa dhaifu sana
Any way tuombe tu Mungu amani iwepo duniani
We jamaa pumbavu kabisa kwahyo unataka marekani aje akujengee barabara kwani serikali zenu zina kazi gani? Halafu marekani ndo nchi inayotaa misaada karibu katika kila idara kasoro misikitini tuUSA alina faida yoyote kwa dunia nitajie hata mita moja ya reli ambayo USA na utajiri wake wote kajenga africa au hospital moja tu ya maana ambayo kajenga ...nasikitika sana kuona wapumbavu mnashabikia taifa ambalo halina faida yoyote kwa africa na dunia ...pepesa macho yako hapo ulipo nitajie ni bidhaa gani za USA uponazo hapo ulipo au umeziona kwa macho labda simu ya iPhone tu tena kama unayo
Kwani ujui mnafiki anavyo fanya mambo yake ....kuna jambazi na tapeli marekani anatumia njia zote mbili ujambazi na utapeli...yaani anaweza kukuujumu moja kwa moja au kwa kificho
Mkuu baniani mbaya lakini kiatu chake dawaUSA alina faida yoyote kwa dunia nitajie hata mita moja ya reli ambayo USA na utajiri wake wote kajenga africa au hospital moja tu ya maana ambayo kajenga ...nasikitika sana kuona wapumbavu mnashabikia taifa ambalo halina faida yoyote kwa africa na dunia ...pepesa macho yako hapo ulipo nitajie ni bidhaa gani za USA uponazo hapo ulipo au umeziona kwa macho labda simu ya iPhone tu tena kama unayo
Huwezi ukajua kila kitu.Kwani Kabla ya ukoloni Waafrika walitibiwa bure na waganga waô au mnazungumzia mambo msiyoyajua?
Mganga lazima apewe Pesa.
Sasa hizô ARV mlitaka mpewe bure na hao wazalishaji na viwanda watapataje fedha za kuendesha Maisha yao na Kazi Yao?
We jamaa hata walimu wako walikuwa na shida kukuelewesha! We unadhani ni taifa gani la kibeberu au la Mashariki ya mbali au ya kati lina msaada kwako? Kila taifa linapambana kwaajili ya watu wa taifa lake, sasa wewe unataka uletewe vya bure. Hata kwenye ka mtaa kako unakoishi hapo au kwa shemeji yako , naye anapambana kwaajili ya familia yake ( na wewe ukiwemo) Sasa wewe unataka apambane kwaajili ya watu wengine badala ya familia yake kwanza? Siyo USA, China, UK nk wote wanatumia mbinu zilezileWazungu wao wanatutaka sisi tuwatendee wema ila wao awataki kututendea wema tumia sliki acha kutumia kijambio kufikiri America ni adui aliye dhahiri kabisa hana wema wowote hata kwa waafrica waliopo nchini mwake sembuse wewe mmatumbi ambaye Samia kesha kutangaza kuwa wewe ni SISIMIZI TU
Wewe ujaelewa mada unanibebesha jumba bovu ..kwanini ilo swali usimuulize mleta mada maana yeye ndiyo.mmoja wao anaye waona USA kama mungu wake ...mimi sikusema nataka misahada nilichokuwa ninasema ni kutukuzwa kwa marekani kama ndiyo mungu wetu wakati ni.muujumu no 1 wa nchi masikiniWe jamaa hata walimu wako walikuwa na shida kukuelewesha! We unadhani ni taifa gani la kibeberu au la Mashariki ya mbali au ya kati lina msaada kwako? Kila taifa linapambana kwaajili ya watu wa taifa lake, sasa wewe unataka uletewe vya bure. Hata kwenye ka mtaa kako unakoishi hapo au kwa shemeji yako , naye anapambana kwaajili ya familia yake ( na wewe ukiwemo) Sasa wewe unataka apambane kwaajili ya watu wengine badala ya familia yake kwanza? Siyo USA, China, UK nk wote wanatumia mbinu zilezile
Trump is coming back ndipo Wajda Hawajki. Iła naona kabisa islamists kwa ajili ya panic 🫨 kunaweza kuwa na vurugu Nyingi kuanzia hiyo tarehe 6 Nov. baada ya kuwa apparent kuwa Trump ameshindaKatika vitu vinavyochekesha na kuuzunisha ni kuona kundi la watu fulani wakichukulia usa poa sana
Wengine kwa akili zao wanafikiri ni taifa dhaifu sana
Any way tuombe tu Mungu amani iwepo duniani
Hiyo ni chuma ya mjerumani babaDHL?!
Shika haya maneno ....kama hakuna urafiki kati ya tajiri na masikini hiyo ni sawa ila HAKI IZINGATIWE KATI YA TAJIRI NA MASIKINI ...asipewe haki tajiri haki isiyo mstaili.kwa sababu tu nitajiri na masikini asinyime haki inayo mstaili kwa sababu tu ni masikini. Hapo tusinge kuwa na tatizo na USA WALA BEBERU YOYOTEMkuu baniani mbaya lakini kiatu chake dawa
Hakuna urafiki kati ya tajiri na masikini mkuu, matajiri wote wanawatumia masikini kujinufaisha....... NOT ONLY USA
Sio kwasababu ukipita kariako unakuta takataka za mchina zilizo zagaa hadi vijijini ndio ukadhani China ana msaada wa kweli kuliko USA........ NOPE
Wote ni MAJAMBAZI tu
USA utamkuta kwenye migodi yetu anatukamua wakati China anatukamua kwenye mikopo ya ujenzi kwa kampuni zao
China pamoja na kutukopesha mikopo inayosimamiwa na kampuni zao hawarudishi chochote kwa jamii
USA wakiiba kwenye migodi wanarudisha kupiti USAID
USA ni mmoja wa DONER wakubwa wa nchi hii kuliko China.
Doner kwa maana ya grants na sio mikopo
China yeye ni biashara tu
Kama ni mtu wa kusafiri sana basi kila kona ya nchi hii utakutana na miradi ya misaada ya USAID aka kwa msaada wa watu wa marekani ingawaje ina masharti ya haki za kibinadamu ikiwemo ushoga
Ukisema ufanye tathmini kati ya China na USA utagundu USA anamsaada mkubwa sana kwenye hadi ku boost bajeti yetu
So usimchukulie poa mkuu
Kumbe!