Kuna madhara gani mwanaume anapochelewa kuoa?

Kuna madhara gani mwanaume anapochelewa kuoa?

Kama tunavyofahamu mwanaume kuna age ikifika umri wako unaanza kuonekana umeenda haswa kuanzia age of 36,40 na kuendelea at this age bado kuna vijana hawajaoa na hata mpango wa kuoa bado kabisa.

Hebu leo tuweze kushare kuna madhara gani ya mwanaume kuchelewa kuoa.
Ujue maisha yana formula ingawa wengine hulipinga hili.

Kijana anayeoa mapema ana fursa nzuri sana ya kuenjoy maisha yake na mkewe uzeeni mwake.

Kama ni kustaafu, atastaafu akiwa kamaliza majukumu yote ya kulea na kusomesha watoto zake.

Let say, kaoa akiwa na umri wa miaka 25-30.
Miaka 30 mbele yake ni ya kumaliza kabisa majukumu ya lazima ya malezi.

Haya mambo ya kusema kujijenga kwanza, huwa ni dhana ya kufikirika zaidi ya uhalisia ambayo mimi imeniathiri pakubwa.

Mawazo ya kimfumo dume hutuchelewesha sana wanaume kujenga familia zetu mapema.

Ni nani aliyesema ukioa mapema mwanamke mwenye mapenzi ya dhati pamwe uchungu wa maisha huwa anachelewesha maendeleo?

Mchango wa mawazo pamoja na nguvu ya mwanamke kwenye maisha ya ndoa ni muhimu sana kwa maendeleo ya familia.
Ninayasema haya kwa uzoefu.

Nilijipoteza makusudi kwa kujichelewesha kuoa nikijidanganya kwa kufikiria hayo wanayoyafikiria vijana wa sasa, ninaona jinsi wanajipoteza.

Nina watoto wa mwisho wanaoniita 'babu' kwa sababu wanalingana makamo na wajukuu wa wadogo zangu.

Furaha niliyonayo ni kwamba hatutaishi peke yetu na mke wangu hapa nyumbani kwa kuwa nitakuwa nina watoto wangu chipukizi watakaonifariji kwa maisha yangu yote.
 
Si anakuwa kachelewa kupata stress

Ishu kubwa ni watoto tu ila km ukishajijenga vzr kiuchumi chelewa kuoa tu.

Maishaa yamekuwa rahisi na yenye furaha sana bila mke kuliko ukiwa na mke.Ndoa zilikuwa zamani ukioa hata kama unachezea team ya mpira ya taifa lazima kitambi kije.

Tukubali wachache wetu tutapata wake wengine watapata msongo wa mawazo[emoji23][emoji23][emoji23]

Wanawake wa kuoa wameisha sana pamoja na ratio ya 1:6 lakini bado kupata imekuwa bahati na nasibu sana.

All in all km unachelewa kuoa sababu hujapata sahihi ndugu yangu USIOE mpk upate sahihi .

Tafuta mfanyakazi wa ndani mwenye mtoto mlipe hata 200k alinde nyumba,usafi na kupika then wewe focus na kazi,bata then weekend tafuta vitoto vya chuo viwili kimoja IFM&CBE uwe kimoja unakila j/mosi, kimoja j/2.Huitaji kufanya mapenzi zaidi ya mara 2 kwa week km kweli upo busy na vitu vya maana.Bao 3 jumamosi,bao 3 jumapili.
mkuu umefanya nicheke kweli ati nini, wewe
 
Usidanganywe, Wanaume na sisi tunaexpire mapema, mwanaume ukifika miaka 35 hujaoa ni vigumu binti wa miaka 25 shuka chini kukupenda kama ulivyo, wanaume tukifika miaka 35 ni mwanzo wa kupendewa hela na mabinti bcoz twaonekana vibabu financial services

Tafuta pesa kaka. Jay Z anamzidi Beyonce kama miaka 20 hivi. Donald Trump kamzidi mke wake miaka 30. It’s all about Benjamins
 
Kumbe wanaume na nyie mna deadline? Nikajua ni sisi wadada tu🤔
Aaah unakosea banaa,mwanaume hana deadline hata kidogo sema tu ni ile heshima ya yeye kuna mume/na ndoa.....sio kama mwanamke huwa wanachacha wakivuka certain age🤣🤣🤣....sijui ushanfahamu atiii.
 
Umri sahihi wa mwanaume kuoa ni 27-38.Hii imethibitishwa kitaalamu kabisa.Umri huu anakuwa amekomaa akili ipasavyo na kuuacha ujana wote.Ni tofauti na akiwahi lazima ndoa itikisike,japo unaweza wahi na ndoa ikadumu.
umri wangu huu,dah kumbe bado nipo ndani ya muda...hadi mwakaniiiii
 
Dah mimi nakaribia 30 ila sina hata mtoto wa kusingiziwa! Unanishauri vipi[emoji848] niachane na uzazi nishachelewa ama?
The funniest part is.. baba yangu ananambia hv mamii kuna wanaume siku hizi[emoji23] naomba uangalie maisha yako kwanza. Kijana anakuja na suruali matakoni halaf useme ndo mume? Akanambia kwanza kuolewa mateso tu... hebu tufocus na hela[emoji23][emoji23] suala hili kwa kweli kwetu hakun kusakamana. Aliyeolewa kaolewa. Ambaye bado basi bado. Mbali na kwamba having ur own family is a blessing lakini nyumbani nako patamuu... maybe kma kwenu kuwe na tatizo or else unaozea hapo
 
The funniest part is.. baba yangu ananambia hv mamii kuna wanaume siku hizi[emoji23] naomba uangalie maisha yako kwanza. Kijana anakuja na suruali matakoni halaf useme ndo mume? Akanambia kwanza kuolewa mateso tu... hebu tufocus na hela[emoji23][emoji23] suala hili kwa kweli kwetu hakun kusakamana. Aliyeolewa kaolewa. Ambaye bado basi bado. Mbali na kwamba having ur own family is a blessing lakini nyumbani nako patamuu... maybe kma kwenu kuwe na tatizo or else unaozea hapo
njoo kwangu tuunganishe KOO
 
Kumbe wanaume na nyie mna deadline? Nikajua ni sisi wadada tu[emoji848]
Deadline ni ukosefu wa pesa kwa wanaume wa mijini na wale wa kijijini deadline ni ukosefu wa nguvu za kiume na kuwa na watoto wa kiume ambao wakioa wanawachukua mama zao na kuishi nao mjini na kuwaacha baba zao kijijini wanapigika.
 
Back
Top Bottom