Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
napendekeza sanamu lako likajengwe kwenye lango kuu la kuingilia hifazi ya Bhuligi kule chatoSi anakuwa kachelewa kupata stress
Ishu kubwa ni watoto tu ila km ukishajijenga vzr kiuchumi chelewa kuoa tu.
Maishaa yamekuwa rahisi na yenye furaha sana bila mke kuliko ukiwa na mke.Ndoa zilikuwa zamani ukioa hata kama unachezea team ya mpira ya taifa lazima kitambi kije.
Tukubali wachache wetu tutapata wake wengine watapata msongo wa mawazo[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanawake wa kuoa wameisha sana pamoja na ratio ya 1:6 lakini bado kupata imekuwa bahati na nasibu sana.
All in all km unachelewa kuoa sababu hujapata sahihi ndugu yangu USIOE mpk upate sahihi .
Tafuta mfanyakazi wa ndani mwenye mtoto mlipe hata 200k alinde nyumba,usafi na kupika then wewe focus na kazi,bata then weekend tafuta vitoto vya chuo viwili kimoja IFM&CBE uwe kimoja unakila j/mosi, kimoja j/2.Huitaji kufanya mapenzi zaidi ya mara 2 kwa week km kweli upo busy na vitu vya maana.Bao 3 jumamosi,bao 3 jumapili.
Mzee mwenzangu @20 ulikua form 6...ni mkono ulikua haushiki skio la pili ama?Wanasema miaka 20 tuwe tayari tumemaliza uzazi, ila siye wengine ndiyo kwanza tulikua form 6 dah
Dah tunaexpire mapema mno na siyo fair kabisa! Mi nashangaa naanza kuulizwa home "vipi tunakula lini ubwabwa khaa" 😜
Ahadi gani tena na huo ugumu mkuu?🤔
Nitoe kimasomaso mkuu! Nina miaka 30sFainansho una umri gani?
Eeh mzee mwenzangu! Nilichelewa kidogo utundu ulinizidia! Vipi wewe umri huo ulikua ushamaliza?Mzee mwenzangu @20 ulikua form 6...ni mkono ulikua haushiki skio la pili ama?
Aisee on my way coming to pm mkuu! Hadi kinanda church utakua husband material 😍Mkatoliki Safi napiga mpaka kinanda kanisani. 31 years sijaoa na Sina mtoto welcome to the future with me.
Nasubiri sioni PM ikiniiita jamanAisee on my way coming to pm mkuu! Hadi kinanda church utakua husband material [emoji7]
Nitoe kimasomaso mkuu! Nina miaka 30s
Nimalize wapi mzee mwenzangu...enzi zetu tulianza shule vijeba, nlimaiza km ww tu nna ka twente na tumiezi mi5...Eeh mzee mwenzangu! Nilichelewa kidogo utundu ulinizidia! Vipi wewe umri huo ulikua ushamaliza?
Mzee mwenzangu naona unataka kuchepuka kwenye pm ya mtu...wivu sina ila roho inauma...[emoji1787][emoji1787]Aisee on my way coming to pm mkuu! Hadi kinanda church utakua husband material [emoji7]
Umetisha babu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Si anakuwa kachelewa kupata stress
Ishu kubwa ni watoto tu ila km ukishajijenga vzr kiuchumi chelewa kuoa tu.
Maishaa yamekuwa rahisi na yenye furaha sana bila mke kuliko ukiwa na mke.Ndoa zilikuwa zamani ukioa hata kama unachezea team ya mpira ya taifa lazima kitambi kije.
Tukubali wachache wetu tutapata wake wengine watapata msongo wa mawazo[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanawake wa kuoa wameisha sana pamoja na ratio ya 1:6 lakini bado kupata imekuwa bahati na nasibu sana.
All in all km unachelewa kuoa sababu hujapata sahihi ndugu yangu USIOE mpk upate sahihi .
Tafuta mfanyakazi wa ndani mwenye mtoto mlipe hata 200k alinde nyumba,usafi na kupika then wewe focus na kazi,bata then weekend tafuta vitoto vya chuo viwili kimoja IFM&CBE uwe kimoja unakila j/mosi, kimoja j/2.Huitaji kufanya mapenzi zaidi ya mara 2 kwa week km kweli upo busy na vitu vya maana.Bao 3 jumamosi,bao 3 jumapili.
Kwan ww una dead line? [emoji848][emoji848][emoji848]Kumbe wanaume na nyie mna deadline? Nikajua ni sisi wadada tu[emoji848]
Aah imezoeleka wadada tuna deadline, mimi ishapita kabisa mkuuKwan ww una dead line? [emoji848][emoji848][emoji848]
Kweli wewe Ni ngumu🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌Si anakuwa kachelewa kupata stress
Ishu kubwa ni watoto tu ila km ukishajijenga vzr kiuchumi chelewa kuoa tu.
Maishaa yamekuwa rahisi na yenye furaha sana bila mke kuliko ukiwa na mke.Ndoa zilikuwa zamani ukioa hata kama unachezea team ya mpira ya taifa lazima kitambi kije.
Tukubali wachache wetu tutapata wake wengine watapata msongo wa mawazo[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanawake wa kuoa wameisha sana pamoja na ratio ya 1:6 lakini bado kupata imekuwa bahati na nasibu sana.
All in all km unachelewa kuoa sababu hujapata sahihi ndugu yangu USIOE mpk upate sahihi .
Tafuta mfanyakazi wa ndani mwenye mtoto mlipe hata 200k alinde nyumba,usafi na kupika then wewe focus na kazi,bata then weekend tafuta vitoto vya chuo viwili kimoja IFM&CBE uwe kimoja unakila j/mosi, kimoja j/2.Huitaji kufanya mapenzi zaidi ya mara 2 kwa week km kweli upo busy na vitu vya maana.Bao 3 jumamosi,bao 3 jumapili.
Hapana Mzee mwenzangu, siwezi kukuacha mzee mwenzangu nikachepukia kwingine😀, tuko pamojaMzee mwenzangu naona unataka kuchepuka kwenye pm ya mtu...wivu sina ila roho inauma...[emoji1787][emoji1787]
Ooh kumbe tulikua pamoja mzee kwenzangu😂Nimalize wapi mzee mwenzangu...enzi zetu tulianza shule vijeba, nlimaiza km ww tu nna ka twente na tumiezi mi5...