Kuna madhara gani mwanaume anapochelewa kuoa?

Kuna madhara gani mwanaume anapochelewa kuoa?

Shida wanaume wengi wakifika 40 na kitu kwenye sex huwa wachovu balaa yaani ni mwendo wa daily kimoko, Siku akukojoa viwili labda awe hajachoka na kazi, wengi wao wanatumia Viagra, vumbi na konyagi
 
Kama tunavyofahamu mwanaume kuna age ikifika umri wako unaanza kuonekana umeenda haswa kuanzia age of 36,40 na kuendelea at this age bado kuna vijana hawajaoa na hata mpango wa kuoa bado kabisa.

Hebu leo tuweze kushare kuna madhara gani ya mwanaume kuchelewa kuoa.
Madhara ni Yale Yale kama ukiwahi..... Tofauti ni kulea uzeeni
 
Si anakuwa kachelewa kupata stress

Ishu kubwa ni watoto tu ila km ukishajijenga vzr kiuchumi chelewa kuoa tu.

Maishaa yamekuwa rahisi na yenye furaha sana bila mke kuliko ukiwa na mke.Ndoa zilikuwa zamani ukioa hata kama unachezea team ya mpira ya taifa lazima kitambi kije.

Tukubali wachache wetu tutapata wake wengine watapata msongo wa mawazo[emoji23][emoji23][emoji23]

Wanawake wa kuoa wameisha sana pamoja na ratio ya 1:6 lakini bado kupata imekuwa bahati na nasibu sana.

All in all km unachelewa kuoa sababu hujapata sahihi ndugu yangu USIOE mpk upate sahihi .

Tafuta mfanyakazi wa ndani mwenye mtoto mlipe hata 200k alinde nyumba,usafi na kupika then wewe focus na kazi,bata then weekend tafuta vitoto vya chuo viwili kimoja IFM&CBE uwe kimoja unakila j/mosi, kimoja j/2.Huitaji kufanya mapenzi zaidi ya mara 2 kwa week km kweli upo busy na vitu vya maana.Bao 3 jumamosi,bao 3 jumapili.
Kwahiyo hapo umempa ushauri wa kumsaidia au ndo umemuangamiza kabisa??? Unajua madhara ya zinaa au ndo unahisi hakuna kufa?
 
Ukipitia comment humu utagundua bado watu wanaogopa maneno ya watu waliowazunguka kwenye jamii zao binadamu wengi huwa wanaangalia mapungufu tu hivyo ishu utakavyo utakuwa na amani na furaha
 
Kwahiyo hapo umempa ushauri wa kumsaidia au ndo umemuangamiza kabisa??? Unajua madhara ya zinaa au ndo unahisi hakuna kufa?

Kwani usipofanya zinaa hufi?unataka kusema dhambi ni ngono tu??
 
Kama tunavyofahamu mwanaume kuna age ikifika umri wako unaanza kuonekana umeenda haswa kuanzia age of 36,40 na kuendelea at this age bado kuna vijana hawajaoa na hata mpango wa kuoa bado kabisa.

Hebu leo tuweze kushare kuna madhara gani ya mwanaume kuchelewa kuoa.
Anachelewa kuanza kufanya mapenzi[tendo la ndoa] simple like that.
 
Wanaume umri wa kuoa unazidi kwenda juu, watu hawataki kuoa paka wapate pesa sio, pesa zenyewe unazipata around mid 30s na zaidi. Mbona kazi ipo
 
Back
Top Bottom