Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijijin kwetu mtu ukiwa hujiwezi au kua mzembe mzembe unaitwa hilo jinaHahahahaha wapi mkuu?
Deadline yenu miaka mingapiKumbe wanaume na nyie mna deadline? Nikajua ni sisi wadada tu[emoji848]
Ataoshwaje Sasa huyu wakati hana mtoto wa kike?Anavyo viwili,
Kimoja jmosi,bao 3
Kingine J2 bao 3
Muosha huoshwa......
Sent from my V2027 using JamiiForums mobile app
Ni wakwake wanafananaAmepima DNA au ndo wale wale watoto wa kupandikiza hii dunia ina mambo mengi
Kumbuka kuna magonjwa yasiyotibika. Kuoa kuna kuepusha na mengi mkuu
Madhara ni Yale Yale kama ukiwahi..... Tofauti ni kulea uzeeniKama tunavyofahamu mwanaume kuna age ikifika umri wako unaanza kuonekana umeenda haswa kuanzia age of 36,40 na kuendelea at this age bado kuna vijana hawajaoa na hata mpango wa kuoa bado kabisa.
Hebu leo tuweze kushare kuna madhara gani ya mwanaume kuchelewa kuoa.
Wanasema miaka 20 tuwe tayari tumemaliza uzazi, ila siye wengine ndiyo kwanza tulikua form 6 dahDeadline yenu miaka mingapi
Kwahiyo hapo umempa ushauri wa kumsaidia au ndo umemuangamiza kabisa??? Unajua madhara ya zinaa au ndo unahisi hakuna kufa?Si anakuwa kachelewa kupata stress
Ishu kubwa ni watoto tu ila km ukishajijenga vzr kiuchumi chelewa kuoa tu.
Maishaa yamekuwa rahisi na yenye furaha sana bila mke kuliko ukiwa na mke.Ndoa zilikuwa zamani ukioa hata kama unachezea team ya mpira ya taifa lazima kitambi kije.
Tukubali wachache wetu tutapata wake wengine watapata msongo wa mawazo[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanawake wa kuoa wameisha sana pamoja na ratio ya 1:6 lakini bado kupata imekuwa bahati na nasibu sana.
All in all km unachelewa kuoa sababu hujapata sahihi ndugu yangu USIOE mpk upate sahihi .
Tafuta mfanyakazi wa ndani mwenye mtoto mlipe hata 200k alinde nyumba,usafi na kupika then wewe focus na kazi,bata then weekend tafuta vitoto vya chuo viwili kimoja IFM&CBE uwe kimoja unakila j/mosi, kimoja j/2.Huitaji kufanya mapenzi zaidi ya mara 2 kwa week km kweli upo busy na vitu vya maana.Bao 3 jumamosi,bao 3 jumapili.
Nawaona sijakalili, sijui kama una wazo lingine.
😀😀😀Madhara ni kama utafika age hio ukiwa hun a pesa
Ukioa ndio haufi?Kwahiyo hapo umempa ushauri wa kumsaidia au ndo umemuangamiza kabisa??? Unajua madhara ya zinaa au ndo unahisi hakuna kufa?
Ni mtazamo tu...wengine hata late forties wanaolewaWanasema miaka 20 tuwe tayari tumemaliza uzazi, ila siye wengine ndiyo kwanza tulikua form 6 dah
Kwahiyo hapo umempa ushauri wa kumsaidia au ndo umemuangamiza kabisa??? Unajua madhara ya zinaa au ndo unahisi hakuna kufa?
Nadhani haujasoma vizuri nilichoandika,, au wewe ndo unakalili.
Mkatoliki Safi napiga mpaka kinanda kanisani. 31 years sijaoa na Sina mtoto welcome to the future with me.Unang'aa sharubu[emoji3][emoji3] dah dini pia changamoto ningekuja mkuu
Anachelewa kuanza kufanya mapenzi[tendo la ndoa] simple like that.Kama tunavyofahamu mwanaume kuna age ikifika umri wako unaanza kuonekana umeenda haswa kuanzia age of 36,40 na kuendelea at this age bado kuna vijana hawajaoa na hata mpango wa kuoa bado kabisa.
Hebu leo tuweze kushare kuna madhara gani ya mwanaume kuchelewa kuoa.