Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Msingi wa maisha mazuri ni furaha na amani ya nafsi, hayo mengine ni mahangaiko yenu wanadamu,Nina ushahidi na mmoja, anaishi karibu na Mbezi stendi. shem kwakweli anadeka. Ila ndo madhara yake ni kwamba kama ni mwaajiriwa hachelewi kustaafu wakati watoto bado wadogo.
Na Uzuri kifo hakibagui waweza olewa na barobaro nae akastaafishwa kwa lazima