Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Ni form four au two?The law of use and disuse sijui ushawahi isoma hii form two??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni form four au two?The law of use and disuse sijui ushawahi isoma hii form two??
HahahahahaMnawezaje kuwa single!!🤷🤷🤷
Matumizi mabaya ya rasilimali watu.
Hello mr singula🤣Hahahahaha
Ni kama form two hivi??Ni form four au two?
Kwani mapadre wana uhusiano? Mbona wanaishi vizuri, acha kuendekeza ujingaWana JF ningependa tulikunjue hili jamvi pamoja ase!
Kuna madhara gani ya kukaa muda mrefu bila ya kuwa na mahusiano?
Mimi nakumbuka kama ni form four. Ni zamani sana jamaniNi kama form two hivi??
HahahahahahaHello mr singula🤣
Hujajibu maswali yote mawili.Mahusiano kwa maana ya relationship.
Muda mrefu ipe tafsiri binafsi.
KATAA NDOA OKOA UCHUMIndio yapo madhara ya kutokua na mahusiano, mfano ya kimapenzi kwa muda mrefu🐒
mathalani,
kupoteza umakini, kusahausahau mambo, kua mbishi na hasira za haraka, kua mbea na mropokaji, kupenda picha na video ngono, kuzoea punyeto na usagaji, rahisi kupata zinaa n.k kwa uchache tu.....
kutokua na mahusiano ya kibiashara na wenzako pia kuna madhara yake, kaa chonjo 🐒
Haaaah miaka mingapi imepita?Mimi nakumbuka kama ni form four. Ni zamani sana jamani
Kwamba niniUsije ukapata kutu mkuu😀
kataa ndoa family mbona ni maskini kichizi, uchumi gani wanaokoa bana 🐒KATAA NDOA OKOA UCHUMI
kataa ndoa family mbona ni maskini kichizi, si ndio maana wanaogopa kuoa,KATAA NDOA OKOA UCHUMI
Mkuyenge wake hautumiki so usije ukapata kutuKwamba nini
Ni msemo tuu kama ya kwenye daladalakataa ndoa family mbona ni maskini kichizi, uchumi gani wanaokoa bana 🐒
😂 😂 😂 😂 😂 😂KATAA NDOA OKOA UCHUMI
Kama 16 hiviHaaaah miaka mingapi imepita?
utakua tayari umedevelope tabia flani hivi ya kipekee na ya kushangaza sana tofauti na binadamu wengine 🐒Kama 16 hivi