kao la amani
JF-Expert Member
- Mar 23, 2023
- 386
- 580
Hasira za genyeMadhara yapo,mojawapo Ni kuwa na hasira na gubu hata kwa Mambo madogo tu.
Afu pia Kuna upwiru unaokaba Koo[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasira za genyeMadhara yapo,mojawapo Ni kuwa na hasira na gubu hata kwa Mambo madogo tu.
Afu pia Kuna upwiru unaokaba Koo[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] achana na maex na mapenzi, fanya mambo mengineeMa ex wanatufanya tuamini mapenzi mabaya!
Kama nampenzi siwezi hata wiki labda siku tatu tuUnaweza kukaa kwenye mahusiano na mpenzi wako kwa muda gani bila kufanya?
Mahaba niue![emoji23][emoji23][emoji23] achana na maex na mapenzi, fanya mambo menginee
Na yatakuponda na kukuua kweli. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mahaba niue!
Ponde kama nyanya
Sio kwa ubaya!Na yatakuponda na kukuua kweli. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Fact malaya wana mikosiFaida
Utapata ututivu Wa mwili nafsi na roho.
Hasara
Kama utaamua kununua Malaya utaambulia mikosi na kuua nguvu yako ya Asili.
Ushauri
Positive relationship ni muhimu.
Toxic relationship sio muhimu.
Ukiwa na mwanamke hakikisha sio omba omba. Na sio masikini.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] no fap ndo mpangokibunda changu mfukoni
cocacola[emoji23][emoji23][emoji23] achana na maex na mapenzi, fanya mambo menginee
Unawazungumziaje Mapadre Maaskofu, masista na watu wa namna hiyo? labda na hata wao huwa wanapigia Chabo wanakwaya humo Kanisani...Mnawezaje kuwa single!!🤷🤷🤷
Matumizi mabaya ya rasilimali watu.
Bas sawaa.Sio kwa ubaya!