To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo nyonyo
Upwiru kwa watu wanakunywa pombe haukwepekiMadhara yapo,mojawapo Ni kuwa na hasira na gubu hata kwa Mambo madogo tu.
Afu pia Kuna upwiru unaokaba Koo😂
Unajua hata hiyo 16 inahusiana na nini au umekurupukia tu kukomentiutakua tayari umedevelope tabia flani hivi ya kipekee na ya kushangaza sana tofauti na binadamu wengine [emoji205]
Hebu niambieni na mm maana nina stress za kuachwa, anaenda kuolewa. Mpaka ss siamini.Wana JF ningependa tulikunjue hili jamvi pamoja ase!
Kuna madhara gani ya kukaa muda mrefu bila ya kuwa na mahusiano?
Nipo chuchu🤣🤣🤣Upo nyonyo
Aiseee Mingi sana itakuwa 2008 iyo ndo namliza primaryKama 16 hivi
Upwiru damunikibunda changu mfukoni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usije ukapata kutu mkuu[emoji3]
Ma ex wanatufanya tuamini mapenzi mabaya!Kuna maisha nje ya mahusiano. Mahusiano sio lazima.
Wana JF ningependa tulikunjue hili jamvi pamoja ase!
Kuna madhara gani ya kukaa muda mrefu bila ya kuwa na mahusiano?
Unakuwa na kisirani na hali ya kutojiamini.
Unakuwa umejichelewesha kuchungulianaWana JF ningependa tulikunjue hili jamvi pamoja ase!
Kuna madhara gani ya kukaa muda mrefu bila ya kuwa na mahusiano?