Kuna madhara gani ya kukaa muda mrefu bila ya kuwa na mahusiano?

Nina miaka 30 sijawai kuwa kwenye mahusiano tokea nazaliwa Hadi Sasa na nimetomba mademu 150+ mpaka Sasa....kwaiyo kama issue ni kutokuwa kwenye mahusiano basi hamna madhara
 
Hakuna madhara yeyote yale kikubwa piga tizi na kuwa busy na kazi hata faida hata utulivu wa akili utaupata.
 
Ukiwa bila mahusiano kunatunza sana kibunda na uchumi unakua kwa kasi sana , sasa jichanganye uone utakavyo filisika
 
faida ni nyingi hakuna hasara wala

Hakuna stress
pesa yako inatulia

hakuna dhambi na magonjwa

unakuwa na nguvu na kujiamini sana kama hupigi nyeto.

unakuwa na akili na inafanya kazi sana tofauti na wenye mahusiano yaan unaweza kufokas
 
Fact malaya wana mikosi
 
Mnawezaje kuwa single!!🤷🤷🤷
Matumizi mabaya ya rasilimali watu.
Unawazungumziaje Mapadre Maaskofu, masista na watu wa namna hiyo? labda na hata wao huwa wanapigia Chabo wanakwaya humo Kanisani...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…