Kuna mambo hutokea katika Uhusiano ujue mwenzi wako ni mtu wa namna gani. Huyu wangu nimegundua hana akili

Wanawake was hivi tunakutanaga nao Sana tu sema tunajiaminishaga watabadilika
Mfano mama J wako.
allooooooh!
Mimi ni mwanamke , ila siwezi hata urafiki, ujirani wala chochote na yule mwanamke wako!
Ningekuwa namkata vibao kila siku!
Haki siwezi!
Huwa nakushangaa , ila ndo hivo wenyewe mnapendana!
 
Nimecheka kama mazuri
ama kweli mwenye bahati habahatiki.. Dada angu kashindwa kuwa na shukrani hajui hujamzaa/wala sio baba wa mtoto unafanya kwa hisani tu! Mana kama kutumika unaweza ukalalwa mwaka na usipewe kitu!

Yani hapo mama mtu ndo ana trauma/inferiority hoja ni kufiwa kuhalalisha ujinga! Kwa style hio tutaendelea kukuza kizazi cha hovyo mno! Et bibiake mkali
ila mkome na nyie si mnataka beauty with brain yatawakuta mengi mno
 
Hi kulea mtoto kwa social media ndio madhara yake. Kuna familia nilienda eti mtoto amelia tu kidogo nikasikia maza ake anasema dogo apewe simu aangalie katuni funny na video za kuchekesha huko youtb ili anyamaze .Nikasema DAAH! Mungu atusaidie sana. 50 to 100 yrs to come sijui kutakuwa jamii gani.
 
Mmmh kupelekewa pipe...??
 
Wee jamaa mchawi 😅😅😅😅😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅😅
 
Mwishowe mitoto inakuja kuwa mishoga kwa kuendekeza upumbavu wa kuwalealea kizungu... Sijui kwanini nimejikuta natamani huyo mtoto aje aishi kwetu nadhani angenyooka wote na mama yake😬😬🤦
Sasa wewe ungemfanyaje mama yake? Dude lililokubuhu, likashindikana na mwanaume, wewe ungewezaje kumnyoosha?
 
Miaka 50 mbalii..miaka 20 tuu ijayo..ni aibu
 

mkuu tunashukuru kwa huu uzi!!

We unamoyo mi siwez hata moja yaan uyo mwanamke ningeachana nae siku ya pili! tu mtoto wa miaka 7 anajikojolea??? hapana siwezi huu ujinga
 
Sasa wewe ungemfanyaje mama yake? Dude lililokubuhu, likashindikana na mwanaume, wewe ungewezaje kumnyoosha?
Sio Mimi, Namaanisha wazazi wangu wangewanyoosha kweli nakwambia😂😂.. Mzee wangu Mimi Hana lelemama,.. Nadhani angeanza na huyo dogo within a week kujikojolea ingekua historia, hata bila kuambiwa mda wakulala ukifika anaongoza mwenyewe chumbani kwake kulala pekeyake.. Halafu angefata mama yake Kuna lifestyle tu moja hivi ya kijeshi angepitishwa kiburi chote na kujitoa ufahamu angeacha..
 

Nakubali kote ila hapo kwene mtoto wa miaka saba kukojoa et ni sawa !! Bi no

labda n ukoo wenu

sisi miaka 4 nakumbuka nimeacha chekechea
 
Kuna watoto wanapigwa na bado wanajikojolea.

Mimi nimesoma shule za boarding tangu nikiwa mtoto. Kuna wakubwa kabisa wanakojoa mno. Na kila siku asubuhi viranja (walikuwa wakubwa mno, wanapiga zaidi ya Walimu) walikiwa wanapita kitanda baada ya kitanda kutembeza bakora. Wanawadunda balaa, lakini kesho yake tena kaliachia.

Lazima tufahamu kuwa, tunatofautiana. Kuna watoto (wakiwepo wangu) hata miaka miwili haiishi, hakojoi tena kitandani.

Kuna wengine wana vibofu vidogo kujikojolea usiku kutakuwepo tu.

Anaweza kupigwa na kupigwa asiache.
 
Nakubali kote ila hapo kwene mtoto wa miaka saba kukojoa et ni sawa !! Bi no

labda n ukoo wenu

sisi miaka 4 nakumbuka nimeacha chekechea
Wapo watoto wagonjwa, hivyo tunapaswa nao kuwaadhibu kwa sababu wanajikojolea?

Ukoo wetu hakuna, ila haimaanishi iwe universal kuwa hata kwa wengine wasiwepo. Hapana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…