Kuna mambo hutokea katika Uhusiano ujue mwenzi wako ni mtu wa namna gani. Huyu wangu nimegundua hana akili

Ila sometimes bn dada zetu hua wanaona hela za wanaume kama hazina kazi hv....hv Hamna nachonufaika kutoka kwako afu Kila mwezi nikulipie 300k? Bora ww 300k mi nlimkazia wa 150k aliniita majina yote lkn waaaaap
 
Kama anapika ugali na miaka hio mvushe darasa [emoji1787]
 
Hawa wana wake wa kizazi hiki haishangazi wanauza O716 kila siku.

Anaona laki tatu kwa nyumba tu ni hela ndogo wakati yeye mwenyewe hanazo
 
Hawa watoto wa kiafrika ukiwachekea atakojoa hadi miaka 15.

Chapa stick uone kama atarudia.

Lazima ujue chanzo ni nini?
Majority ni watoto wanao cheza sana mchana hivyo usiku wanalala wamechoka mno.

Na anapokojoa sio kwamba anakuwa Usingizini bali anakuwa alert ila anaona uvivu wa kuamka.

Mshua wa kambo hapo alikuwa akishauri mtoto alale mchana asicheze muda woote hadi saa tano usiku.

Wewe unaweza kuona Mtoto anacheza Tangu asubuhi hadi saa tani usiku only kuja kukojoa saa saba usiku kitandani.

Does it make sense?
 
Akishagraduate atanifundisha mimi! Hata saa hii ananifundisha mdogo mdogo...😁

Utasikia kuna paper hapa nataka usome then we'll discuss it later!πŸ˜ƒ
Alafu hizi encounters za discussion zinakuwa tamuu balaaa....ndio zinapovumbilika style mupya kama popo kanyea mbingu 🀣🀣🀣🀣
Enjoy bwana yaani tena sana maana haya mambo ya malove as u said dnt last long before kibao kinageuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…