Kuna mambo hutokea katika Uhusiano ujue mwenzi wako ni mtu wa namna gani. Huyu wangu nimegundua hana akili

Kuna mambo hutokea katika Uhusiano ujue mwenzi wako ni mtu wa namna gani. Huyu wangu nimegundua hana akili

Njoooo
Eishhhhh! Hata mimi fellow single mother nakuunga mkono 💯
Achana nae huyo single mother wako maana utoto umemjaa sana.

Excuses zake zote ni za kipuuzi 100%. Ata/mtaleaje mtoto kwa style hiyo eti kisa baba yake kafariki..?🙄🙄
Njoo nikuoe
 
Njoooo
Eishhhhh! Hata mimi fellow single mother nakuunga mkono 💯
Achana nae huyo single mother wako maana utoto umemjaa sana.

Excuses zake zote ni za kipuuzi 100%. Ata/mtaleaje mtoto kwa style hiyo eti kisa baba yake kafariki..?🙄🙄
Njoo nikuoe
 
Dr Restart mi natofautiana na wewe.

1. Mtoto wa miaka 7 kujikojolea sio sahihi, unless ana tatizo la kiafya. Mimi nilimchapa wakwangu akiwa na 5 ama 6 kama siokosei....na aliacha immediately maana katabia kenyewe kaliibuka out of nowhere. Watoto wana tendency yakujaribu watu kwakufanya makosa kwa makusudi pale wanapoamini they'll get away with it. Kuna mtoto wa dada yangu (12 yrs old), huwa anakojoa kitandani, tena sometimes asubuhi kushakucha. Nimeshasafiri nae mara mbili, biti analopigwa kuhusu kujikojolea ugenini huwa lina matokeo chanya, which proves nyumbani huwa anafanya makusudi maana anaeishia kugombezwa ni dada wa kazi na sio yeye.

2. Kama nimeelewa sahihi Tuta Absoluta Kantangaze alikua na malengo na mpenzi wake, so jambo la kuruhusu/taka mtoto awe sehemu ya muda wao pamoja halina ubaya wowote. Ilikua vizuri ili watengeneze bond, lakini pia imemsaidia kujua huyo dada ni mama wa aina gani. Angekuja kugundua miaka miwili/mitatu baadae wameshaongeza wakwao ingekua mbaya zaidi.

3. Jamaa haonyeshi kutokumpenda mtoto, nnachoona ni kwamba analazimishwa kumkubali na tabia zake hata ambazo sio nzuri pamoja na aina ya malezi anayopewa. Kitu ambacho sio sahihi. If we are being honest, huyo mwanamke anaweza kuona kama anamsaidia mwanae kwakumuendekeza (sio kumpenda) ila anamuharibu.

All in all, the guy is right. Kupitia maongezi yao inaonekana kabisa he's done his best, ila single mother hana shukrani wala hataki hata ku-acknowledge juhudi za jamaa. Amuache akachoshane na mtu mwingine mbele ya safari.
Umezungumza ukweli ambao wengi hawautaki honestly mtoto wa miaka 7 wnakojoa kitandani unless anatatizo
 
Ingawa kujikojolea kwa mtoto wa miaka saba ni kawaida ila kama hana shida ya kiafya mara nyingi ni swala la kisaikolojia zaidi, muda mwingine fimbo zinamuweka vizuri kiakili kuliko kimfanya aone ni kawaida , kuwapenda watoto kupitiliza ni ku waharibu , usimnyime mtoto viboko watu wa biblia watashusha Ni verse ipi
Mtoto wa miaka saba anajikojoleaje! Labda kama kukojoa kitandani. Na kwenyewe,mbona hata usipotumia fimbo kumchapa,ni rahisi?! Kuna kutomzoeza vinywaji mida ya jioni hadi anapoenda kulala, au kumuamsha usiku. Sasa kama amelelewa hivyo,haguswi,hasemwi, huyo ni mtoto hapo? Si yule wageni wakija anawauliza eti kwani mtaondoka saa ngapi?

Japo ni nje ya mada kidogo,lakini ni kiashikia cha malezi ya watoto. Kuna doctor mmoja Mwanza huko,alikuwa na watoto wawili tu. Wa kwanza wa kike akiwa F6, mdogo wake wa kiume akiwa na miaka 4. Siku moja,tulienda duka la nguo,tukiwa na baba yake. Mtoto,hakutaka kuingia ndani,basi nikaona tusimuache mwenyewe. Yeye,macho yake tu yapo kwenye ile midoli ya kike.
Nikavunga nimegeuka simuangalii. Mtoto acha aanze kuchezea nyeti za mdoli,huku akigeuka kuangalia kama hakuna anaemuona. Kwa vile alikuwa anashinda na kulala na wasichana wa kazi,ilionekana huenda wakivua anakuwepo na wanamgusisha kwenye nanili zao. Sasa,huyu unajiuliza,akiendelea mpaka miaka 7 hiyo,atakuwa kitu gani?

Mtoto ukimuendekeza,ukubwani utajuta. Siyo lazima akuogope,kumchapa kwa kosa alilofanya na kumkataza kitu,atazoea tu. Ila inaonekana hata mama yake huyo,hakuwa tayari kuzaa,ni bahati mbaya tu.
 
Huyo ke ni muuzaji aliekubuhu kabisa.
300k x 6 months=1.8m
Hizo sio akili za mwanamke anaekupenda na anaewaza kufanya maisha nawewe. Yupo kimaslahi zaidi.
Ke akishatanguliza maneno kama hayo ya we bahili sio wa kumzingatia tena.
Mdau atakuwa aliokota singomaza retired veteran malaya wa Dar es laam
NB: HUYU MDAU ATAKUWA HALOGEKI COZ PASIPO NA SHAKA HUYO KICHAA ANAMILIKI UCHAWI 🙏🙏🙏🙏🙏
 
Njia sahihi ( applicable for all) ni ipi???
Nilidhani wewe Doctor utakuwa na uelewa zaidi yetu sisi wengine. 🙄🙄

Wataalam watafafanua zaidi. Lakini sababu za kukojoa kitandani zipo nyingi inaweza ikawa makusudi kama huyo wako, tatizo la kisaikolojia, au ugonjwa.
Sasa bila kujua sababu si utapiga hadi uchoke?

Pia Inawezekana mtoto hakuwa trained vizuri tangu akiwa mdogo, tatizo ni lako mzazi kushindwa kumfundisha tangu mapema. Ungeanza kujicharaza mwenyewe viboko kabla hujamcharaza mtoto.
 
Ndiyo, nakubaliana.

Kiutaalam kabisa, mtoto wa miaka saba kujikojolea si ajabu. Ndiyo ukomo haswa wa mtoto kujilojolea kama hana changamoto.

Wapo watoto ambao huwahi sana kuacha kujikojolea. Wanangu wote, kabla hawajafikisha miaka miwili wameshaacha kujikojolea.

Wapo watoto wanaochelewa, hata miaka 10. Na wengine wana changamoto za kiafya na wengine wanaridhi.

Pamoja na hayo, je kipigo ndiyo sahihi? Hapana.

Ikifika jioni usimpe mtoto vitu vya maji na unapaswa kumuamsha usiku akojoe pia. Kuna ambao unaweza kusema wanafanya makusudi, je wale wasioweza na kutojitambua?

Dr Lizzy Beberu MamaSamia2025
Kabla hujanitag kwenye comment yako mpe kwanza yule mwanao wa darasa la 3 aone kama umeandika point ndo unitag. Ukisema watoto wenye changamoto za kiafya inajulikana ni tatizo na huwezi kumchapa. Mimi nilivyokuwa O - level kuna mwenzetu alikuwa anakojoa hadi form IV. Na kulikuwa na ndugu zake wawili wa damu kwenye shule hiyohiyo ambao hawakuwa na hiyo changamoto ila yeye ilikuwa inajulikana kabisa ana matatizo.
 
Ni jambo baya ila naweka pia na wengine wajifunze. Wakati mwingine usitake sana kumridhisha au kumfurahisha mwenzio. Usitake kuvumilia sana tabia ambazo unajua si sawa kwa kigezo cha mapenzi.

Huyu dada nilimkuta na mtoto nikamwambia haina shida nitamlea mtoto. Mumewe alifariki. Lakini kama ambavyo nliandika uzi jana. Sisemi single mothers wote wapo hivi ila huyu wangu ni kilaza. Nlimuamini sababu ana degree alimaliza CBE na ni dada mzuri wa sura , umbo na rangi. Nlidhani pia kwa kufiwa na kuwa na mtoto angekuwa matured. Bado ana upumbavu mwingi kichwani.

View attachment 2866044View attachment 2866046View attachment 2866048View attachment 2866049
Dah mkuu huyo mwanamke ni sikio la kufa😬, umemjibu majibu ya busara sana lakini bado anashikilia misimamo yake ileile kwa malezi ya mtoto wake huku akikuita unaroho mbaya na bado anakuongezea gharama ya kumpangia apartment
Kuna wanawake vichaa aisee
 
Miaka 7 ni mwanangu wa pil huyo yuko darasa la 3 sasa. Anaamka saa 11 na Nusu asubuh kkla siku za shule. Anajiandaa na kumuandaa mdogo ake kwenda shule. Anajipikia ugali wake mwenyewe.
Huyu nafikir mi angeniona ni zaidi ya mnyanyasaji maana mtoto haend shule bila kufanya kaz zinazomuhus nyumbani.
Viboko pia vipo wakizingua.

Huyo single maza angenikimbia siku ya kwanza tuu maana huwa sivungi
Nimependa ulivyo mlea mwanao,ila hapo kwenye kumuanda mdogo wake hapana jaman yy Bado mdogo pia Hilo jukumu lako.
 
Kweli Hawa wanawake wa kuanzia late 80s kuja mpaka early 2000s wanafikiri wanaume wapo kwajiri ya kuwa huduma bila acount ability yoyote.
 
Back
Top Bottom