Kuna mambo hutokea katika Uhusiano ujue mwenzi wako ni mtu wa namna gani. Huyu wangu nimegundua hana akili

Kuna mambo hutokea katika Uhusiano ujue mwenzi wako ni mtu wa namna gani. Huyu wangu nimegundua hana akili

Ukilipa hiyo 300k wewe unafaidika na nini? Maana utelezi hautoshi kwa hiyo pesa

Mshahara wa mwalimu kabisa huo yeye anaona simple tu

Mwambie atafute zake akajipangie hiyo nyumba
Wanawake hawanaga kabisa huruma na hela zetu,

Afu eti anaona kutoa utelezi ni inshu kubwa sana,utazan yeye alikuwa hapati utamu

Sahv nataka nijiwekee kautaratibu kama demu hana kazi ya kumuingizia kipato hata awe na uzuri zaidi ya malaika siwez jaribu kutongoza hata akinishobokea
 
Katika harakati zangu za mahusiano swali la kwanza una mtoto ..,akiwa naye basi shughuli inaishia hapo ..,waweza usinielewe kwanini nafanya ivyo ila fresh tu najua mwenyewe
 
Bro hawa feminists wasikuyumbishe shikilia hapohapo wewe unaakili sana.

Huyo mtoto mwenyewe hata bibi yake hawezi ishi nae sembuse wewe ambaye huna chochote kwa huyo mtoto.

Mzee acha ibaki wewe unaroho mbaya ila kiuhalisia unaroho nzuri sana na ilio jaa upendo kwa huyo mtoto ila ndio hivyo mifeminist ya humu ndani imekukalia kooni.

Hivi huyo mtoto akimchungulia mama yake anapigwa miti ni sahihi kweli....?

Hivi huyo mtoto akiacha kujikojolea ni faida ya nani.....?

Hivi huyo mtoto akitengenezewa ratiba nzuri ya kulala , kuangalia TV, na kuangalia vipindi vya levo yake itakua faida kwa nani.....?

Ifike mahali kama wanaume hawa wanawake tuwaachie hawa mafeminist maana inaonesha wanawapenda sana.

Fu**ck you feminists
 
Tobaaaa 😲😲😲🙆🙆🙆🙆🙆
Inatesa nakumbuka Usiku nilikua nakifunga na kamba za viatu nikiamka kimashika ganzi kama nini

Ule n uginjwa sio kitu mtu anapenda asee nilikua naumiaga sana
 
Inatesa nakumbuka Usiku nilikua nakifunga na kamba za viatu nikiamka kimashika ganzi kama nini

Ule n uginjwa sio kitu mtu anapenda asee nilikua naumiaga sana
Ilikuwaje ukaacha?au ulitumia dawa?
 
Mdau atakuwa aliokota singomaza retired veteran malaya wa Dar es laam
NB: HUYU MDAU ATAKUWA HALOGEKI COZ PASIPO NA SHAKA HUYO KICHAA ANAMILIKI UCHAWI 🙏🙏🙏🙏🙏
Hakika aongeze maombi huyo mwanamke ni shida.
 
Tumekuza na fear hadi tumefika hapa. Tumewakuza mibaba na mibinti karibia na nyie kwa fear na wametoka na kuwa wa maana. Tusidanganyane, fear ni muhimili mkuu wa kumkuza mtoto ambaye ni intelligent. Ukiwa na mtoto kilaza sawa.
Sitawalea watoto wangu kwa fear. Nyie endeleeni
 
Normally akiendelea kujikojolea at the age of 8+ ndiyo tunaweza kusema ni changamoto kiafya.

Currently at his age, bado yupo normal kabisa.

Mama yake tu ajikaze katika kumuamsha.
Nmekudharau ghafla
Hivi umewaza kuna Leo na kesho. Leo huyo singo Maza yupi kesho hayupo nani ataweza kuishi na hilo toto jinga.
7yrs linakojoa kitandani. Ujinga mtupu
 
Back
Top Bottom