Kuna mambo hutokea katika Uhusiano ujue mwenzi wako ni mtu wa namna gani. Huyu wangu nimegundua hana akili

Kuna mambo hutokea katika Uhusiano ujue mwenzi wako ni mtu wa namna gani. Huyu wangu nimegundua hana akili

[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]Jf ata ukiwa na stress zako kikubwa una hema tu humu uta jiona we hauna stress kabsa
 
Ni jambo baya ila naweka pia na wengine wajifunze. Wakati mwingine usitake sana kumridhisha au kumfurahisha mwenzio. Usitake kuvumilia sana tabia ambazo unajua si sawa kwa kigezo cha mapenzi.

Huyu dada nilimkuta na mtoto nikamwambia haina shida nitamlea mtoto. Mumewe alifariki. Lakini kama ambavyo nliandika uzi jana. Sisemi single mothers wote wapo hivi ila huyu wangu ni kilaza. Nlimuamini sababu ana degree alimaliza CBE na ni dada mzuri wa sura , umbo na rangi. Nlidhani pia kwa kufiwa na kuwa na mtoto angekuwa matured. Bado ana upumbavu mwingi kichwani.

View attachment 2866044View attachment 2866046View attachment 2866048View attachment 2866049
Binafsi sijaona tofauti ya uandishi wa hizo msg ulizopost hapo, wanawake wanajulikana vyema miandiko Yao hasa wakivurugwa ndio kabisaa wanavuruga na uandishi mazima.
 
Ni jambo baya ila naweka pia na wengine wajifunze. Wakati mwingine usitake sana kumridhisha au kumfurahisha mwenzio. Usitake kuvumilia sana tabia ambazo unajua si sawa kwa kigezo cha mapenzi.

Huyu dada nilimkuta na mtoto nikamwambia haina shida nitamlea mtoto. Mumewe alifariki. Lakini kama ambavyo nliandika uzi jana. Sisemi single mothers wote wapo hivi ila huyu wangu ni kilaza. Nlimuamini sababu ana degree alimaliza CBE na ni dada mzuri wa sura , umbo na rangi. Nlidhani pia kwa kufiwa na kuwa na mtoto angekuwa matured. Bado ana upumbavu mwingi kichwani.

View attachment 2866044View attachment 2866046View attachment 2866048View attachment 2866049
Kwanza huyu manz anaonekana yupo distorted psychologically baada yakufiwa namumewe anahs hatokuja kupata mwenz wa kumkubali yeye na mwanaye na wakaish kwa upendo hapo kifupi kazi unayo
 
Uyo mwanamke wako akili zake na uandishi wake Ni MAMAJ mtupu[emoji3]
 
Hivi wakuu Hii dhana ya kumtumia mwanamke ndo ikoje wakuu, wapiganiaji wa haki za wanaume, hamlioni hili?[emoji848]
 
Dr Restart mi natofautiana na wewe.

1. Mtoto wa miaka 7 kujikojolea sio sahihi, unless ana tatizo la kiafya. Mimi nilimchapa wakwangu akiwa na 5 ama 6 kama siokosei....na aliacha immediately maana katabia kenyewe kaliibuka out of nowhere. Watoto wana tendency yakujaribu watu kwakufanya makosa kwa makusudi pale wanapoamini they'll get away with it. Kuna mtoto wa dada yangu (12 yrs old), huwa anakojoa kitandani, tena sometimes asubuhi kushakucha. Nimeshasafiri nae mara mbili, biti analopigwa kuhusu kujikojolea ugenini huwa lina matokeo chanya, which proves nyumbani huwa anafanya makusudi maana anaeishia kugombezwa ni dada wa kazi na sio yeye.

2. Kama nimeelewa sahihi Tuta Absoluta Kantangaze alikua na malengo na mpenzi wake, so jambo la kuruhusu/taka mtoto awe sehemu ya muda wao pamoja halina ubaya wowote. Ilikua vizuri ili watengeneze bond, lakini pia imemsaidia kujua huyo dada ni mama wa aina gani. Angekuja kugundua miaka miwili/mitatu baadae wameshaongeza wakwao ingekua mbaya zaidi.

3. Jamaa haonyeshi kutokumpenda mtoto, nnachoona ni kwamba analazimishwa kumkubali na tabia zake hata ambazo sio nzuri pamoja na aina ya malezi anayopewa. Kitu ambacho sio sahihi. If we are being honest, huyo mwanamke anaweza kuona kama anamsaidia mwanae kwakumuendekeza (sio kumpenda) ila anamuharibu.

All in all, the guy is right. Kupitia maongezi yao inaonekana kabisa he's done his best, ila single mother hana shukrani wala hataki hata ku-acknowledge juhudi za jamaa. Amuache akachoshane na mtu mwingine mbele ya safari.
Mchango murua kabisa huu[emoji3578]
 
Dr. Unakubaliana mtoto wa miaka Saba kujikojolea?mtoto kuacha kukojoa kitandani wengi kuanzia miaka 3 wenye akili shape ni 2.8....huyo dada analea vibaya mtoto uongo ni dhambi,
Nna watoto 5, ila hamna Mtoto hata mmoja alievuka 4 yrs anajikojolea kitandani.
 
Ila uandishi wa demu wako umefanana na mama J wa DeepPond wao wanajilipua tu liwalo na liwe[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Afu wanatabia flani hivi wanajifanya wanasusa ubembeleze, wakiona umekaza, wanakuja na plan b kujishusha ili Mambo yarudi sawa.
 
Miaka saba kujikojolea alafu achkewe tu ni upuuzii...!! jamaa kaamua kujitwika gunia la mibaaaa acha anyooke si anataka umbo zurii na shapee haya sasa alipe 300k kodi[emoji3][emoji3][emoji3]asimfokeee junior ataliaa sana na kupata dpression

[emoji23][emoji23][emoji23]ety depression
 
Back
Top Bottom