Kuna mambo nilikuwa nafanya wakati wa ujana yananitesa

Binafsi nimeshangaa sana, ni jambo gani hilo kubwa mpaka ashindwe kulisema kwa id feki??

Angelisema angepata msaada murua kabisa.
Wapo wenye roho zao nzuri hata pm wangemfata kumshauri, wapo ambao hata wangeonana nae.

Watu huwa wanatiana moyo humu na kufanikiwa kabisa, kama hawezi kulisema basi litamtesa sana.

Godwin peter kua muwazi, kuna waliocomment vizuri hapa, wafate uwaeleze gagasiko lako.
 
Kama ni mambo uliyoyafanya mwenyewe kwa utashi wako usimsingizie Mungu, kama ni mambo ya kuhusu hisia basi Mungu muweke kando maana hahusiki.

Binafsi siamini kama Mungu anaweza kukushawishi utetende dhambi!! Hiyo sio kazi yake na huchukizwa nalo.

Mkuu kama jambo la kihisia basi waone wanasaikolojia wakusaidie.
Kwa jinsi ulivyohitimisha ni wazi kua maneno ya wanajf yana ukali na ukweli kwa kiasi chake.

Ungekua muwazi ungetukanwa na kushauriwa nini cha kufanya ila umekia kiburi na mkaidi matokeo yake watu wameishia kubeza na kutukana.

Lakini acha nikwambie...

Mkuu hamna kosa/dhambi kubwa kushinda nyingine.
Wewe unafeel guilty kwa hicho, mwenzio hicho anakiona kidogo, mwingine akidanganya anafeel guilty ila wengine uongo ndo kazi yao.

Mwingine akiiba anafeel poa ila mwingine akiiba anajuta maisha yote.

Na wote hao wanaofeel guilty wengi mwisho wa siku hukaa sawa maana kujua kua umekosea ni mwanzo mzuri wa kupatia.

As long as umejua ulikosea, tubu na usirudie only that, amini umesamehewa.
Ila kama unaendelea na kila unachokijutia hapo ni ishu nyingine, ila kama umeacha kabisa sioni sababu ya kujifeel vibaya.
Labda kama matendo yako ya nyuma yanaathiri maisha yako ya sasa moja kwa moja.
 
Kijana wa Dar huyo, unaweza kukuta jambo lenyewe ni kudokoa mboga tu kwa mama yake😄😄😄

Sasa itakuwa nn zaidi maana kama ni utoaji wa tigo ameulizwa na amekataa?!!!
 
Mi niliwahi kuiba spika za kanisani siku nilivyoenda kutubu hawakunisamehe waliniitia polisi kwahiyo mkuu komaa hivyo hivyo usiseme ulifanya nini.
mbona kaburi limefukuliwa design ni mgawa samvu.
 
Huyu ame left tayar ameshapgwa fingers print nying so he can't stand alon

[emoji1625][emoji362][emoji625]


Inaonyesha bado ma X zako wanatak mzgo
[emoji52][emoji52][emoji2][emoji849][emoji24][emoji24][emoji419]

You give the fxxxk
 
Semaq kama uaogopa uda id mpya funguka then potezea akuna akujuae, aibu ulikuwa unakula mashogaau kuliwa sema hakuna kipya chiin ya jua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…