Kuna maombi ulimwenguni kote kuliombea taifa la Israel (pray for Israel)

Wasanaii hao,hawana tofauti na pdidy,hao ni matapeli wa.mifumo ya Benki,ni majitu yanatakatisha pesa kupitia vita yanafanya mambo ya hovyo kupitia vita,ni matapeli kama waxhunagji kichefuchefu wote,hata kutujaza upepoo wa bible pia ni utapeli wao,unawaombea matapeli.
 
Mkuu hawa binadamu wakuitwa wakristo ni special group inabidi wapimwe mkoj,o maana siamini kama wanatumia akili zao aise.

Yaani utakuta hadi makanisani kuna bendera ya Israel unajiuliza hawa viumbe wamerogwa na nani kwa kiwango hiki?
Mateja WA dini hao,
Ubongo wao umekua congested kias kwamba haiwezi Tena kudigest mahubiri wanayolishwa
 

QURAN IMEWAONYA WAISLAM ZAMANI TU
"Enyi mlioamini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa marafiki zenu. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na anaye wafanya kuwa marafiki basi bila ya shaka yeye ni miongoni mwao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongozi watu wenye kudhulumu.

"Aya hii inawahimiza Waislamu kuwa waangalifu na kuchagua urafiki wao kwa kuzingatia maslahi ya dini yao. Tafsiri za aya hii zinaweza kutofautiana kidogo kulingana na maulamaa tofauti, lakini ujumla wake unasisitiza kujiweka mbali na urafiki wa karibu na makundi ambayo yanaweza kuleta athari mbaya katika imani ya Kiislamu.
 
wakristo mnajipendekeza kwa waisraeli na waisrael hawawataki wala kuwatambua nachowashauri acheni kusoma biblia kwani mnalishwa magimbi pori kutoka kwenye kitabu hicho kilichoandikwa na wazungu kimkakati
Kwani wewe unaumia nini ndio tunajipendekeza kwasababu Israel anaua magaidi ya shoga wa kiarabu ya iran
 
Hapo wazichape tu mshindi apatikane utulivu uwepo
Tangu nikiwa kichanga hadi leo nimezeeka Israel na waraabu tuuu aaaaaaah
Hv wangekuja uganda
Siingekuwa balaaa
 
Miafrika mingine UTadhani imerogwa

Unashindwa kuwaombea waafrika wenzio uko Sudan, congo na kwingineko.

Unapoteza Sala zako kuiombea miyahudi migaidi na mikatili iliyomtesa na kumuua kikatili bwana yenu

Waafrika sijui aloturoga nani aisee
 
Miafrika mingine UTadhani imerogwa

Unashindwa kuwaombea waafrika wenzio uko Sudan, congo na kwingineko.

Unapoteza Sala zako kuiombea miyahudi migaidi na mikatili iliyomtesa na kumuua kikatili bwana yenu

Waafrika sijui aloturoga nani aisee
Na bado choko wa Kiarabu wewe mabwana zako lazima wamalizwe na Israel taifa teuleee
 
Huu ujinga mkubwa , waafrika wamelishwa matango pori. Akili zimekuwa na kutu kabisa, kutoka kwenye huo mnyororo wa utumwa kunahitaji nguvu za ziada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…