Kuna Matumizi Mabaya sana ya Fedha za Walipa Kodi nchini Tanzania

Hayo yote unayosema hayatafanikiwa maana Katiba ya Marekani imejenga mifumo imara sana.

Tulia uone Trump anavyopigwa speed governor na mifumo.
Mifumo hiyo hiyo anayolalamikia Donald Trump kuwa imeoza?

Sio Wizara, sio mahakama, sio walimu, amegusa karibia kila nyanja, halafu nyie mnakoromea kuna mifumo mizuri? Mifumo gani hiyo?

Trump amechaguliwa kwasababu za Katiba kufigiswa, kwasababu Uchumi ni mbovu usiotoa haki kwa wote, Kwasababu za ushoga, kwasababu za rushwa, lakini hayo hamyasemi kqamba huko wanakotufundisha haya napo kumeoza


Nani wa kumpiga speed governor, Wajinga waliomchagua?

mnafanya huku shamba la bibi na shamba la utafiti.
 
Kuna mambo yanafanywa katika nchi hii mpaka unajiuliza viongozi wetu wana akili timamu kweli.
Inashangaza sana.
Ukienda uingereza madudu. Ukienda Amerika ndio kabisa unashangazwa haswa hivi wana akili timamu haw Wazungu?

hatahivyo kuna mambo yanayofanyika yasiokuwa na majibu ya papo kwa hapo. Ya ngai Mawe.
 
Trump kagusaje Mahakama?
 
Acha ujinga wewe. Trump kagusaje Mahakama? Unadhani unaongea na ngumbaru wenzako hapa?
Trump amesema Mahakama za Marekani zimeoza, amesema Polisi na vyombo vingine vya Usalama vilimekuwa vinatumika kisiasa. Sio hivo tu, hata yeye mwenyewe amewachagua majaji kwa maelfu wenye kufuata sera zake huko mahakamani, unabisha?
 
Kwa Rais mzalendo ni vigumu kupatikana nchi masikini bali inatakiwa cabinet yote wawe na msimamo mmoja
Wote wakatae Rushwa na kuijenga nchi pamoja
Anaeiba afungwe
 
Trump kachagua Jaji gani? Hao maelfu ni majaji wa Mahakama ipi?

Kusema Mahakama imeoza na inamaanisha nini? Trump anaweza kuifanya nini Mahakama ya Marekani?

Alafu nani kakwambia Trump kachagua Majaji maelfu?

Unaongea na mtu anayejua hadi taratibu za uteuzi wa Majaji zilivyo huko Marekani kwa hiyo acha kupotosha na kujifanya mjuaji kwenye uongo.
 
Kusema Mahakama imeoza na inamaanisha nini? Trump anaweza kuifanya nini Mahakama ya Marekani?
Imeoza ndio maan yake hivyo, imeoza. Trump ameweza kuchagua Majaji wenye itikadi za mrengo wa Kuria. Hujui Trump anafanya nn mahakama marekani? gugu

Wacha Watanzania waamue. Wacha upotoshaji.

Kujua kwako taratibu za uteuzi hazikufanyi uwe mtu wa Kuaminiwa bana.

Ww ndio muongo. Unaleta haya makanjanja yako unadhani Watanzania hawana uwezo wa kupata Taarifa . Unajiondoa Ufahamu kabisa, tena kwa makusudi, kwann? Najifanya mjuaji kwa kuandika Ukweli? Powa tu qacha niwe mjuaji kuliko kua Mpotoshaji kama ww.
 
Kwa mujibu wa Katiba ya Marekani Rais anapendekeza nafasi ya Jaji wa Mahakama ya Juu tu ambayo ina jumla ya majaji wasiozidi 10
 
Kuna nchi rais anawapa wachezaji nyumba na magari sembuse magoli mbona ni kidogo sana pili CCM ina majihela na miradi mbali mbali....lissu anasema tuandamane kuitoa ccm je upo tayari!
Yaani muichague kuiweka CCM madarakani halafu muandamane kuitoa CCM madarakani!
Maajabu!
 
Ngoja nikuoneshe sasa ulivyo mjinga.

Kwa mujibu wa Katiba ya Marekani Rais anapendekeza nafasi ya Jaji wa Mahakama ya Juu tu ambayo ina jumla ya majaji wasiozidi 10

Acha kupotosha Umma, Kwa mujibu wa Taarifa kutoka marekani, mahakama zao zimeoza, wizara ya sheria inatumiwa na wanasiasa kuingilia chaguzi.matumizi mabaya yameongezeka serikalini. UNAMUJUA DOGE . Kama unaijua unajua wanafanya nn wanaenda kusafisha uozo mnaotuficha Watanzania unatokea Marekani.
 
CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu na majuha.
Cc WanaCHADEMA tulishaona hayo na wapi chama chetu kingekwenda iwapo FAM angeendelea. Tungeendelea kuwa na hazina kubwa ya wajinga na majuha kuipita na kuishinda CCM ila kwa sabanu si tunapenda haki na demokrasia wenye akili timamu majuha na wapumbavu tumewaondoa.

Nasikia wamesusa wengine wanahamia CCM. Waondoke tu
 
Uzi umekuzidi sana uwezo bwana mdogo. Hizo stori za vijiweni kaendelee kuwadanganya wajinga wenzako hapo Lumumba.
 

Wamepumbazwa na kauli za kijinga za wanasiasa na watendaji wa serikali ambao kila mradi au jambo wanadai rais amejenga, ametoa , amewezesha kama vile ni hela anatoa mfukoni.
 
Wamepumbazwa na kauli za kijinga za wanasiasa na watendaji wa serikali ambao kila mradi au jambo wanadai rais amejenga, ametoa , amewezesha kama vile ni hela anatoa mfukoni.
Huu ujinga umeota mizizi kiasi cha kutisha.

Na inasikitisha zaidi ujinga huu kuota mizizi kwenye karne hii ambayo unatarajiwa watu wawe na uelewa mkubwa kwenye masuala ya msingi ya kawaida tu!
 
Sio tu kodi za Watanzania hata kodi za Wamarekani tunazitumia vibaya😃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…