Kuna Matumizi Mabaya sana ya Fedha za Walipa Kodi nchini Tanzania

Kuna Matumizi Mabaya sana ya Fedha za Walipa Kodi nchini Tanzania

Nje kidogo ya mada.
Jana nimemuona Maulid Kitenge anatembea pale Jamhuri stadium like that yeye ni biscuit atameguka. Visigino kavibinua . Na anaongea Kwa swaga flani hivi. Ni kama vile jamaa alihisi watu wengi wanamfaham yaani superstar. Duh kumbe nilimuona Mimi tu na nilipowauliza wenzangu wakashangaa ndo nani mtu huyu
 
Msingi Mkuu wa CCM kukataa KATIBA MPYA unatokana na KATIBA ILIYOPO KUWAPA NGUVU Wanasiasa kuliko Watendaji hivyo Wanasiasa kutapanya pesa za wananchi kwa namna wanavyojisikia wao bila hofu ya kufanywa chochote kile. Na fedha hizo wanasiasa wanazitumia kwa maslahi yao binafsi na CCM.

Kusema ukweli TANZANIA sio masikini. Nchi hii ni tajiri sana ila ukweli ni kwamba fedha za walipakodi zimekuwa zikitapanywa na kutumiwa vibaya na Wanasiasa tena hovyo hovyo.

Ujinga wa Watanzania unawafanya pia kushangilia matumizi mabaya ya fedha zao. Na hili ndo linawafanya CCM leo hii kuendelea kung'ang'ania Katiba hii kwa kuwarubuni Watanzania eti Katiba haitawaletea ugali mezani.

Tanzania ndo nchi pekee ambayo Rais anajiamulia tu kununua magoli ya Timu (Club za michezo) bila fedha hizo kuidhinishwa kwenye bajeti yeyote ile alafu watu hawaulizi wala kuhoji chochote kile.

Tanzania ndo nchi ambayo Rais anaweza toa mamilioni ya fedha kununua gari la Askofu au kuchangia ujenzi wa kanisa au msikiti alafu mitanzania ikashangilia au kukaa kimya wakati walipaswa kumuhoji Rais anatumia fedha hizo kutoka kwenye fungu gani lililoidhinishwa kupitia bajeti ipi ya Serikali?

Hawajui kuwa Rais sio mmiliki wa fedha za wananchi. Fedha za wananchi zinapaswa kutumiwa kwa utaratibu ulioidhinishwa na Bunge tu kupitia bajeti iliyopitishwa Bungeni.

Ni ujinga tu wa Watanzania ila kiukweli fedha hizi ndo fedha zinazopaswa kwenda kununulia madawa ya hospitali, kulipa walimu wanaofundisha watoto wetu vizuri ili kuwapa motisha na kurekebisha miundombinu ya barabara ambazo ni mbovu karibia kwenye majiji na vijiji vyote.

Shughuli nyingi za Chama cha Mapinduzi zinazofanyika kwenye Mikoa na Wilaya zinatumia fedha za Serikali kutoka kwenye Ofisi za Halmashauri husika.

Wakurugenzi wa Halmashauri wanatoa mamilioni ya fedha kufadhili shighuli hizo za CCM kwa maelekezo ya Wanasiasa ili kulinda nafasi zao. Fedha hizi zinapaswa kutumiwa kwa shughuli za maendeleo ya wananch kama kuwanunulia madawa hospitali, kuwatengenezea barabara nzuri za lami na zege kwenye mitaa na vijiji vyao na kuwawekea miundombinu mizuri ya maji mpaka majumbani mwao.

Mfano mwingine tumeona jana kwenye sherehe ya miaka 48 ya chama cha Mapinduzi. Idara ya Itifaki ndiyo iliyokuwepo kwenye maadhimisho yale. Kwa maana nyingine fedha za kugharamia maazimisho yale zimetoka Serikalini tena kodi za wananchi.

Kutokana na ujinga wa Watanzania kamwe huwezi kukuta wakiuliza shughuli hizo za CCM zinaghalamiwa kwa fedha zipi zilizotoka wapi ila kila siku wanaona hawana huduma nzuri na kupata mahitaji mazuri ambayo ni haki zao za msingi.

Ila Watanzania hao wakiona Trump kasitisha misaada na ndugu zao wanakosa dawa za ukimwi na kuanza kufubaa huku wengine waliojiriwa kwenye mashirika ya marekani wakikaa nyumbani kwa kukosa kazi bado hawapati akili ya kuanza kudai KATIBA MPYA ili kuwabana vizuri hawa CCM wasitumie fedha zao vibaya na kuwafanya waishi maisha ya kubahatisha.

Hitimisho.
Kama kuna kitu Watanzania wote wanapaswa kukipambanania kwa nguvu zote na namna zote ni KATIBA MPYA.


Lord Denning
Dubai
Wanamalizia fuko la USAID
 
Uzi umekuzidi sana uwezo bwana mdogo. Hizo stori za vijiweni kaendelee kuwadanganya wajinga wenzako hapo Lumumba.
Ha ha ha. Ngangali hii. Kubwa zima unakimbilia ad hominem. Una iyo akili timamu kweli ww. Ulete ww stori za vijiweni unisingizie mm. Tafuta mtyu ingine umu gaslight.

#bigot
#condescendingbafoon
#partyaffiliateunkown
#foreignsanctioned
__________
 
Msingi Mkuu wa CCM kukataa KATIBA MPYA unatokana na KATIBA ILIYOPO KUWAPA NGUVU Wanasiasa kuliko Watendaji hivyo Wanasiasa kutapanya pesa za wananchi kwa namna wanavyojisikia wao bila hofu ya kufanywa chochote kile. Na fedha hizo wanasiasa wanazitumia kwa maslahi yao binafsi na CCM.

Kusema ukweli TANZANIA sio masikini. Nchi hii ni tajiri sana ila ukweli ni kwamba fedha za walipakodi zimekuwa zikitapanywa na kutumiwa vibaya na Wanasiasa tena hovyo hovyo.

Ujinga wa Watanzania unawafanya pia kushangilia matumizi mabaya ya fedha zao. Na hili ndo linawafanya CCM leo hii kuendelea kung'ang'ania Katiba hii kwa kuwarubuni Watanzania eti Katiba haitawaletea ugali mezani.

Tanzania ndo nchi pekee ambayo Rais anajiamulia tu kununua magoli ya Timu (Club za michezo) bila fedha hizo kuidhinishwa kwenye bajeti yeyote ile alafu watu hawaulizi wala kuhoji chochote kile.

Tanzania ndo nchi ambayo Rais anaweza toa mamilioni ya fedha kununua gari la Askofu au kuchangia ujenzi wa kanisa au msikiti alafu mitanzania ikashangilia au kukaa kimya wakati walipaswa kumuhoji Rais anatumia fedha hizo kutoka kwenye fungu gani lililoidhinishwa kupitia bajeti ipi ya Serikali?

Hawajui kuwa Rais sio mmiliki wa fedha za wananchi. Fedha za wananchi zinapaswa kutumiwa kwa utaratibu ulioidhinishwa na Bunge tu kupitia bajeti iliyopitishwa Bungeni.

Ni ujinga tu wa Watanzania ila kiukweli fedha hizi ndo fedha zinazopaswa kwenda kununulia madawa ya hospitali, kulipa walimu wanaofundisha watoto wetu vizuri ili kuwapa motisha na kurekebisha miundombinu ya barabara ambazo ni mbovu karibia kwenye majiji na vijiji vyote.

Shughuli nyingi za Chama cha Mapinduzi zinazofanyika kwenye Mikoa na Wilaya zinatumia fedha za Serikali kutoka kwenye Ofisi za Halmashauri husika.

Wakurugenzi wa Halmashauri wanatoa mamilioni ya fedha kufadhili shighuli hizo za CCM kwa maelekezo ya Wanasiasa ili kulinda nafasi zao. Fedha hizi zinapaswa kutumiwa kwa shughuli za maendeleo ya wananch kama kuwanunulia madawa hospitali, kuwatengenezea barabara nzuri za lami na zege kwenye mitaa na vijiji vyao na kuwawekea miundombinu mizuri ya maji mpaka majumbani mwao.

Mfano mwingine tumeona jana kwenye sherehe ya miaka 48 ya chama cha Mapinduzi. Idara ya Itifaki ndiyo iliyokuwepo kwenye maadhimisho yale. Kwa maana nyingine fedha za kugharamia maazimisho yale zimetoka Serikalini tena kodi za wananchi.

Kutokana na ujinga wa Watanzania kamwe huwezi kukuta wakiuliza shughuli hizo za CCM zinaghalamiwa kwa fedha zipi zilizotoka wapi ila kila siku wanaona hawana huduma nzuri na kupata mahitaji mazuri ambayo ni haki zao za msingi.

Ila Watanzania hao wakiona Trump kasitisha misaada na ndugu zao wanakosa dawa za ukimwi na kuanza kufubaa huku wengine waliojiriwa kwenye mashirika ya marekani wakikaa nyumbani kwa kukosa kazi bado hawapati akili ya kuanza kudai KATIBA MPYA ili kuwabana vizuri hawa CCM wasitumie fedha zao vibaya na kuwafanya waishi maisha ya kubahatisha.

Hitimisho.
Kama kuna kitu Watanzania wote wanapaswa kukipambanania kwa nguvu zote na namna zote ni KATIBA MPYA.


Lord Denning
Dubai
Na kufanikisha hayo kwa makusudi kabisa wanaaiasa wameamua kutengeneza taifa la wajinga.
 
Saivi JWTZ limekuwa Jeshi la Wapiga Picha na kupenda sifa.

Shughuli ya Congo tu inawashinda kazi kujipendekeza wa Wanasiasa ili wapate vyeo.

Hii nchi tumeshakwama
Hayuna jeshi jwtz halina tofauti na la kongo
Taifa lishakuwa la wacheza sebene tu

Ova
 
Na kufanikisha hayo kwa makusudi kabisa wanaaiasa wameamua kutengeneza taifa la wajinga.
Na wakata mauno
Ndomana wanawathmia sana wasana kuwaamibisha wananchi ambao wengi ni wapmbv

Ova
 
Msingi Mkuu wa CCM kukataa KATIBA MPYA unatokana na KATIBA ILIYOPO KUWAPA NGUVU Wanasiasa kuliko Watendaji hivyo Wanasiasa kutapanya pesa za wananchi kwa namna wanavyojisikia wao bila hofu ya kufanywa chochote kile. Na fedha hizo wanasiasa wanazitumia kwa maslahi yao binafsi na CCM.

Kusema ukweli TANZANIA sio masikini. Nchi hii ni tajiri sana ila ukweli ni kwamba fedha za walipakodi zimekuwa zikitapanywa na kutumiwa vibaya na Wanasiasa tena hovyo hovyo.

Ujinga wa Watanzania unawafanya pia kushangilia matumizi mabaya ya fedha zao. Na hili ndo linawafanya CCM leo hii kuendelea kung'ang'ania Katiba hii kwa kuwarubuni Watanzania eti Katiba haitawaletea ugali mezani.

Tanzania ndo nchi pekee ambayo Rais anajiamulia tu kununua magoli ya Timu (Club za michezo) bila fedha hizo kuidhinishwa kwenye bajeti yeyote ile alafu watu hawaulizi wala kuhoji chochote kile.

Tanzania ndo nchi ambayo Rais anaweza toa mamilioni ya fedha kununua gari la Askofu au kuchangia ujenzi wa kanisa au msikiti alafu mitanzania ikashangilia au kukaa kimya wakati walipaswa kumuhoji Rais anatumia fedha hizo kutoka kwenye fungu gani lililoidhinishwa kupitia bajeti ipi ya Serikali?

Hawajui kuwa Rais sio mmiliki wa fedha za wananchi. Fedha za wananchi zinapaswa kutumiwa kwa utaratibu ulioidhinishwa na Bunge tu kupitia bajeti iliyopitishwa Bungeni.

Ni ujinga tu wa Watanzania ila kiukweli fedha hizi ndo fedha zinazopaswa kwenda kununulia madawa ya hospitali, kulipa walimu wanaofundisha watoto wetu vizuri ili kuwapa motisha na kurekebisha miundombinu ya barabara ambazo ni mbovu karibia kwenye majiji na vijiji vyote.

Shughuli nyingi za Chama cha Mapinduzi zinazofanyika kwenye Mikoa na Wilaya zinatumia fedha za Serikali kutoka kwenye Ofisi za Halmashauri husika.

Wakurugenzi wa Halmashauri wanatoa mamilioni ya fedha kufadhili shighuli hizo za CCM kwa maelekezo ya Wanasiasa ili kulinda nafasi zao. Fedha hizi zinapaswa kutumiwa kwa shughuli za maendeleo ya wananch kama kuwanunulia madawa hospitali, kuwatengenezea barabara nzuri za lami na zege kwenye mitaa na vijiji vyao na kuwawekea miundombinu mizuri ya maji mpaka majumbani mwao.

Mfano mwingine tumeona jana kwenye sherehe ya miaka 48 ya chama cha Mapinduzi. Idara ya Itifaki ndiyo iliyokuwepo kwenye maadhimisho yale. Kwa maana nyingine fedha za kugharamia maazimisho yale zimetoka Serikalini tena kodi za wananchi.

Kutokana na ujinga wa Watanzania kamwe huwezi kukuta wakiuliza shughuli hizo za CCM zinaghalamiwa kwa fedha zipi zilizotoka wapi ila kila siku wanaona hawana huduma nzuri na kupata mahitaji mazuri ambayo ni haki zao za msingi.

Ila Watanzania hao wakiona Trump kasitisha misaada na ndugu zao wanakosa dawa za ukimwi na kuanza kufubaa huku wengine waliojiriwa kwenye mashirika ya marekani wakikaa nyumbani kwa kukosa kazi bado hawapati akili ya kuanza kudai KATIBA MPYA ili kuwabana vizuri hawa CCM wasitumie fedha zao vibaya na kuwafanya waishi maisha ya kubahatisha.

Hitimisho.
Kama kuna kitu Watanzania wote wanapaswa kukipambanania kwa nguvu zote na namna zote ni KATIBA MPYA.


Lord Denning
Dubai
Well articulated!
 
Upumbavu ni kulia lia tu bila action lakini hii ya watu kutumia mapato yao ya chama mpumbavu unabaki kuwa mleta uzi!
Ndio maana CCM inapora uchaguzi maana wakiwa na wabunge wengi maana yake ruzuku nyingi. Lakini hizo ruzuku na mapato mengine yanaishia kwa watu wachache. Hata viongozi wa CCM ngazi za chini ni choka mbaya pia hawana chochote. Wanasubiri kipindi cha uchaguzi ili wapate neema. Ukweli ni kuwa Katiba mpya inatakiwa!
 
Kuna nchi rais anawapa wachezaji nyumba na magari sembuse magoli mbona ni kidogo sana pili CCM ina majihela na miradi mbali mbali....lissu anasema tuandamane kuitoa ccm je upo tayari!
Miradi haiingizi pesa kwenye chama ndiyo sababu pesa za serikali inatumika kukarabati viwanja na kulipa mishahara ya wafanyakazi wa CCM!
 
Ndio maana CCM inapora uchaguzi maana wakiwa na wabunge wengi maana yake ruzuku nyingi. Lakini hizo ruzuku na mapato mengine yanaishia kwa watu wachache. Hata viongozi wa CCM ngazi za chini ni choka mbaya pia hawana chochote. Wanasubiri kipindi cha uchaguzi ili wapate neema. Ukweli ni kuwa Katiba mpya inatakiwa!
Katiba mpya inapatikana kwa maandamano je upo tayari!
 
Msingi Mkuu wa CCM kukataa KATIBA MPYA unatokana na KATIBA ILIYOPO KUWAPA NGUVU Wanasiasa kuliko Watendaji hivyo Wanasiasa kutapanya pesa za wananchi kwa namna wanavyojisikia wao bila hofu ya kufanywa chochote kile. Na fedha hizo wanasiasa wanazitumia kwa maslahi yao binafsi na CCM.

Kusema ukweli TANZANIA sio masikini. Nchi hii ni tajiri sana ila ukweli ni kwamba fedha za walipakodi zimekuwa zikitapanywa na kutumiwa vibaya na Wanasiasa tena hovyo hovyo.

Ujinga wa Watanzania unawafanya pia kushangilia matumizi mabaya ya fedha zao. Na hili ndo linawafanya CCM leo hii kuendelea kung'ang'ania Katiba hii kwa kuwarubuni Watanzania eti Katiba haitawaletea ugali mezani.

Tanzania ndo nchi pekee ambayo Rais anajiamulia tu kununua magoli ya Timu (Club za michezo) bila fedha hizo kuidhinishwa kwenye bajeti yeyote ile alafu watu hawaulizi wala kuhoji chochote kile.

Tanzania ndo nchi ambayo Rais anaweza toa mamilioni ya fedha kununua gari la Askofu au kuchangia ujenzi wa kanisa au msikiti alafu mitanzania ikashangilia au kukaa kimya wakati walipaswa kumuhoji Rais anatumia fedha hizo kutoka kwenye fungu gani lililoidhinishwa kupitia bajeti ipi ya Serikali?

Hawajui kuwa Rais sio mmiliki wa fedha za wananchi. Fedha za wananchi zinapaswa kutumiwa kwa utaratibu ulioidhinishwa na Bunge tu kupitia bajeti iliyopitishwa Bungeni.

Ni ujinga tu wa Watanzania ila kiukweli fedha hizi ndo fedha zinazopaswa kwenda kununulia madawa ya hospitali, kulipa walimu wanaofundisha watoto wetu vizuri ili kuwapa motisha na kurekebisha miundombinu ya barabara ambazo ni mbovu karibia kwenye majiji na vijiji vyote.

Shughuli nyingi za Chama cha Mapinduzi zinazofanyika kwenye Mikoa na Wilaya zinatumia fedha za Serikali kutoka kwenye Ofisi za Halmashauri husika.

Wakurugenzi wa Halmashauri wanatoa mamilioni ya fedha kufadhili shighuli hizo za CCM kwa maelekezo ya Wanasiasa ili kulinda nafasi zao. Fedha hizi zinapaswa kutumiwa kwa shughuli za maendeleo ya wananch kama kuwanunulia madawa hospitali, kuwatengenezea barabara nzuri za lami na zege kwenye mitaa na vijiji vyao na kuwawekea miundombinu mizuri ya maji mpaka majumbani mwao.

Mfano mwingine tumeona jana kwenye sherehe ya miaka 48 ya chama cha Mapinduzi. Idara ya Itifaki ndiyo iliyokuwepo kwenye maadhimisho yale. Kwa maana nyingine fedha za kugharamia maazimisho yale zimetoka Serikalini tena kodi za wananchi.

Kutokana na ujinga wa Watanzania kamwe huwezi kukuta wakiuliza shughuli hizo za CCM zinaghalamiwa kwa fedha zipi zilizotoka wapi ila kila siku wanaona hawana huduma nzuri na kupata mahitaji mazuri ambayo ni haki zao za msingi.

Ila Watanzania hao wakiona Trump kasitisha misaada na ndugu zao wanakosa dawa za ukimwi na kuanza kufubaa huku wengine waliojiriwa kwenye mashirika ya marekani wakikaa nyumbani kwa kukosa kazi bado hawapati akili ya kuanza kudai KATIBA MPYA ili kuwabana vizuri hawa CCM wasitumie fedha zao vibaya na kuwafanya waishi maisha ya kubahatisha.

Hitimisho.
Kama kuna kitu Watanzania wote wanapaswa kukipambanania kwa nguvu zote na namna zote ni KATIBA MPYA.


Lord Denning
Dubai
Jambo la muhimu ni mabadiliko ccm must out
 
Kuwa kiongozi kwenye taifa kama Tanzania ni raha sana unajiamulia tu ufanye nn
Msingi Mkuu wa CCM kukataa KATIBA MPYA unatokana na KATIBA ILIYOPO KUWAPA NGUVU Wanasiasa kuliko Watendaji hivyo Wanasiasa kutapanya pesa za wananchi kwa namna wanavyojisikia wao bila hofu ya kufanywa chochote kile. Na fedha hizo wanasiasa wanazitumia kwa maslahi yao binafsi na CCM.

Kusema ukweli TANZANIA sio masikini. Nchi hii ni tajiri sana ila ukweli ni kwamba fedha za walipakodi zimekuwa zikitapanywa na kutumiwa vibaya na Wanasiasa tena hovyo hovyo.

Ujinga wa Watanzania unawafanya pia kushangilia matumizi mabaya ya fedha zao. Na hili ndo linawafanya CCM leo hii kuendelea kung'ang'ania Katiba hii kwa kuwarubuni Watanzania eti Katiba haitawaletea ugali mezani.

Tanzania ndo nchi pekee ambayo Rais anajiamulia tu kununua magoli ya Timu (Club za michezo) bila fedha hizo kuidhinishwa kwenye bajeti yeyote ile alafu watu hawaulizi wala kuhoji chochote kile.

Tanzania ndo nchi ambayo Rais anaweza toa mamilioni ya fedha kununua gari la Askofu au kuchangia ujenzi wa kanisa au msikiti alafu mitanzania ikashangilia au kukaa kimya wakati walipaswa kumuhoji Rais anatumia fedha hizo kutoka kwenye fungu gani lililoidhinishwa kupitia bajeti ipi ya Serikali?

Hawajui kuwa Rais sio mmiliki wa fedha za wananchi. Fedha za wananchi zinapaswa kutumiwa kwa utaratibu ulioidhinishwa na Bunge tu kupitia bajeti iliyopitishwa Bungeni.

Ni ujinga tu wa Watanzania ila kiukweli fedha hizi ndo fedha zinazopaswa kwenda kununulia madawa ya hospitali, kulipa walimu wanaofundisha watoto wetu vizuri ili kuwapa motisha na kurekebisha miundombinu ya barabara ambazo ni mbovu karibia kwenye majiji na vijiji vyote.

Shughuli nyingi za Chama cha Mapinduzi zinazofanyika kwenye Mikoa na Wilaya zinatumia fedha za Serikali kutoka kwenye Ofisi za Halmashauri husika.

Wakurugenzi wa Halmashauri wanatoa mamilioni ya fedha kufadhili shighuli hizo za CCM kwa maelekezo ya Wanasiasa ili kulinda nafasi zao. Fedha hizi zinapaswa kutumiwa kwa shughuli za maendeleo ya wananch kama kuwanunulia madawa hospitali, kuwatengenezea barabara nzuri za lami na zege kwenye mitaa na vijiji vyao na kuwawekea miundombinu mizuri ya maji mpaka majumbani mwao.

Mfano mwingine tumeona jana kwenye sherehe ya miaka 48 ya chama cha Mapinduzi. Idara ya Itifaki ndiyo iliyokuwepo kwenye maadhimisho yale. Kwa maana nyingine fedha za kugharamia maazimisho yale zimetoka Serikalini tena kodi za wananchi.

Kutokana na ujinga wa Watanzania kamwe huwezi kukuta wakiuliza shughuli hizo za CCM zinaghalamiwa kwa fedha zipi zilizotoka wapi ila kila siku wanaona hawana huduma nzuri na kupata mahitaji mazuri ambayo ni haki zao za msingi.

Ila Watanzania hao wakiona Trump kasitisha misaada na ndugu zao wanakosa dawa za ukimwi na kuanza kufubaa huku wengine waliojiriwa kwenye mashirika ya marekani wakikaa nyumbani kwa kukosa kazi bado hawapati akili ya kuanza kudai KATIBA MPYA ili kuwabana vizuri hawa CCM wasitumie fedha zao vibaya na kuwafanya waishi maisha ya kubahatisha.

Hitimisho.
Kama kuna kitu Watanzania wote wanapaswa kukipambanania kwa nguvu zote na namna zote ni KATIBA MPYA.


Lord Denning
Dubai
 
Weka ushahidi!
Ushahidi ni pale Magufuli alipoenda ofisi ya CCM jioni baada ya watumishi wa chama kukas zaidi ya miezi sita bila mishahara, akawaahidi kuwa kesho watalipwa mishahara akienda ofisini kwake na wakalipwa. Mwaka juzi waxiri wa fedha alisema wamechukua pesa za serikali kukarabati viwanja vya mpira, ndiyo unaons vyote viliwekwa taa na nyasi bandia.
Pamoja na miradi yote iliyopora toka serikalini lakini haiingizi pesa zozote na ndicho kilimkasirisha Magufuli na kutaka idhibitiwe.
 
Mapema asubuhi vijana wanafungiwa mziki wanajazana
Wanakatika mauno 😄
Hivi kama mtu una shuguli yako utaacha na kwenda kuwashangaa wasanii wakikatika uno???
Au ndiyo ukosefu wa ajira

Ova
 
Mapema asubuhi vijana wanafungiwa mziki wanajazana
Wanakatika mauno 😄
Hivi kama mtu una shuguli yako utaacha na kwenda kuwashangaa wasanii wakikatika uno???
Au ndiyo ukosefu wa ajira

Ova
Na ww hiyo asubuhi wakati unawaangalia vijana wakifungiwa muziki na kukata viuno ww huwa huna shughuli zingine za kufanya bana?

Unayo ajira ww?
 
Back
Top Bottom