Kuna Matumizi Mabaya sana ya Fedha za Walipa Kodi nchini Tanzania

Kuna Matumizi Mabaya sana ya Fedha za Walipa Kodi nchini Tanzania

Na ww hiyo asubuhi wakati unawaangalia vijana wakifungiwa muziki na kukata viuno ww huwa huna shughuli zingine za kufanya bana?

Unayo ajira ww?
Syo nna ajira nawapa watu ajira mzee ruangwa,kilindi,unyinywe moro

Ova
 
Nje kidogo ya mada.
Jana nimemuona Maulid Kitenge anatembea pale Jamhuri stadium like that yeye ni biscuit atameguka. Visigino kavibinua . Na anaongea Kwa swaga flani hivi. Ni kama vile jamaa alihisi watu wengi wanamfaham yaani superstar. Duh kumbe nilimuona Mimi tu na nilipowauliza wenzangu wakashangaa ndo nani mtu huyu
Ndo upuuzi unaochukua nafasi Tanzania ya sasa. Watu wanatumbua pesa za umma bila wasiwasi wowote
 
Mkuu unahoji matumizi pesa za walipa kodi sirikali hii ya mama, yaani unahoji uji kwa mgonjwa?!
Hapa tumepigwa ila machawa yanavyoimba mapambio hadi huruma.
 
Back
Top Bottom