Kuna Matumizi Mabaya sana ya Fedha za Walipa Kodi nchini Tanzania

Nje kidogo ya mada.
Jana nimemuona Maulid Kitenge anatembea pale Jamhuri stadium like that yeye ni biscuit atameguka. Visigino kavibinua . Na anaongea Kwa swaga flani hivi. Ni kama vile jamaa alihisi watu wengi wanamfaham yaani superstar. Duh kumbe nilimuona Mimi tu na nilipowauliza wenzangu wakashangaa ndo nani mtu huyu
 
Wanamalizia fuko la USAID
 
Uzi umekuzidi sana uwezo bwana mdogo. Hizo stori za vijiweni kaendelee kuwadanganya wajinga wenzako hapo Lumumba.
Ha ha ha. Ngangali hii. Kubwa zima unakimbilia ad hominem. Una iyo akili timamu kweli ww. Ulete ww stori za vijiweni unisingizie mm. Tafuta mtyu ingine umu gaslight.

#bigot
#condescendingbafoon
#partyaffiliateunkown
#foreignsanctioned
__________
 
Na kufanikisha hayo kwa makusudi kabisa wanaaiasa wameamua kutengeneza taifa la wajinga.
 
Saivi JWTZ limekuwa Jeshi la Wapiga Picha na kupenda sifa.

Shughuli ya Congo tu inawashinda kazi kujipendekeza wa Wanasiasa ili wapate vyeo.

Hii nchi tumeshakwama
Hayuna jeshi jwtz halina tofauti na la kongo
Taifa lishakuwa la wacheza sebene tu

Ova
 
Na kufanikisha hayo kwa makusudi kabisa wanaaiasa wameamua kutengeneza taifa la wajinga.
Na wakata mauno
Ndomana wanawathmia sana wasana kuwaamibisha wananchi ambao wengi ni wapmbv

Ova
 
Well articulated!
 
Upumbavu ni kulia lia tu bila action lakini hii ya watu kutumia mapato yao ya chama mpumbavu unabaki kuwa mleta uzi!
Ndio maana CCM inapora uchaguzi maana wakiwa na wabunge wengi maana yake ruzuku nyingi. Lakini hizo ruzuku na mapato mengine yanaishia kwa watu wachache. Hata viongozi wa CCM ngazi za chini ni choka mbaya pia hawana chochote. Wanasubiri kipindi cha uchaguzi ili wapate neema. Ukweli ni kuwa Katiba mpya inatakiwa!
 
Kuna nchi rais anawapa wachezaji nyumba na magari sembuse magoli mbona ni kidogo sana pili CCM ina majihela na miradi mbali mbali....lissu anasema tuandamane kuitoa ccm je upo tayari!
Miradi haiingizi pesa kwenye chama ndiyo sababu pesa za serikali inatumika kukarabati viwanja na kulipa mishahara ya wafanyakazi wa CCM!
 
Katiba mpya inapatikana kwa maandamano je upo tayari!
 
Jambo la muhimu ni mabadiliko ccm must out
 
Kuwa kiongozi kwenye taifa kama Tanzania ni raha sana unajiamulia tu ufanye nn
 
Weka ushahidi!
Ushahidi ni pale Magufuli alipoenda ofisi ya CCM jioni baada ya watumishi wa chama kukas zaidi ya miezi sita bila mishahara, akawaahidi kuwa kesho watalipwa mishahara akienda ofisini kwake na wakalipwa. Mwaka juzi waxiri wa fedha alisema wamechukua pesa za serikali kukarabati viwanja vya mpira, ndiyo unaons vyote viliwekwa taa na nyasi bandia.
Pamoja na miradi yote iliyopora toka serikalini lakini haiingizi pesa zozote na ndicho kilimkasirisha Magufuli na kutaka idhibitiwe.
 
Mapema asubuhi vijana wanafungiwa mziki wanajazana
Wanakatika mauno 😄
Hivi kama mtu una shuguli yako utaacha na kwenda kuwashangaa wasanii wakikatika uno???
Au ndiyo ukosefu wa ajira

Ova
 
Mapema asubuhi vijana wanafungiwa mziki wanajazana
Wanakatika mauno 😄
Hivi kama mtu una shuguli yako utaacha na kwenda kuwashangaa wasanii wakikatika uno???
Au ndiyo ukosefu wa ajira

Ova
Na ww hiyo asubuhi wakati unawaangalia vijana wakifungiwa muziki na kukata viuno ww huwa huna shughuli zingine za kufanya bana?

Unayo ajira ww?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…