Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa design wanambembeleza sana.Makamba jr. Fagio litampeleka wizara kubwa zaidi.😉
Jini kisirani...Kwani yeye malaika au ...!
Walikuwa wanaenda lunch tu na kuuza sura na kusimamia biashara zao lkn sio kwenda kujifunza. Dunia imekuwa kijiji kama vipi wa google tu na kuangalia CNNHivi tunategemea nin kama watu wanafungiwa ndani hawawezi kutoka nje kujifunza nin kinaendelea dunian
Na fikra na maamuzi ya Mwenyekiti wa chama ziendelee kudumu.Tengua teua na iendelee
Mtu wa kutumbua ni Mtukufu mwenyewe...yan ye ndo jipu lililowiva kushinda yote!Sitaki kutaja majina ila tetesi zilizopo ni kuwa
1 : Mkuu wa taasisi nyeti ya Serikali mmoja ataondolewa
2: Mawaziri wa baadhi ya wizara kupanguliwa.
Ni kutokana na mkuu analalamika mambo hayaendi kama anavyotaka yaende.
My take: pole yenu mtakaopatwa na mtikisiko.
Stay tuned
Inaonekana una njaaa vibaya mno ukipatiwa nafasi kama hizi unaweza kugeuza ofisi kuwa nyumbani na ukamleta hadi Mme wako!!Mkuu itakuwa bado hajapata first eleven. Vijana tupo, atuchague tuuu hatutamwangusha
Sawa lakn face to face bado inaushawishi mkubwa sana.Walikuwa wanaenda lunch tu na kuuza sura na kusimamia biashara zao lkn sio kwenda kujifunza. Dunia imekuwa kijiji kama vipi wa google tu na kuangalia CNN
Naona atapangua akipanga kwa sababu walio chaguliwa almost vichwa ngumu, hivi mtu kama nape alie zoeya kuongea sana atafanya nini? Rais amekosa mawaziri na washauri ndio maana serikali inashindwa kufikia malengo.Sitaki kutaja majina ila tetesi zilizopo ni kuwa
1 : Mkuu wa taasisi nyeti ya Serikali mmoja ataondolewa
2: Mawaziri wa baadhi ya wizara kupanguliwa.
Ni kutokana na mkuu analalamika mambo hayaendi kama anavyotaka yaende.
My take: pole yenu mtakaopatwa na mtikisiko.
Stay tuned
Mkuu umesahau tetesi nyingine kuwa Katibu Mkuu wa chama kimoja kikubwa cha upinzani ataondolewa kwa kile kinachodaiwa 'Hana uwezo wa kuendana na siasa za sasa za nchi na za kimataifa'!Sitaki kutaja majina ila tetesi zilizopo ni kuwa
1 : Mkuu wa taasisi nyeti ya Serikali mmoja ataondolewa
2: Mawaziri wa baadhi ya wizara kupanguliwa.
Ni kutokana na mkuu analalamika mambo hayaendi kama anavyotaka yaende.
My take: pole yenu mtakaopatwa na mtikisiko.
Stay tuned
Huyu ni miongoni mwa watakao tumbuliwaHivi radio mbao kumbe bado zipo
Dogo inabidi anyuti tuu,maana haoni kinacho endelea ,unajua yuko vizuri upstares,tatizo mwizi ni mjanja mjanja sana.Maana kanywea sana; haonekani, hasikiki, kulikoni; nini kimemsibu top 5 wa ccm?!
acha ujinga wewe huoni nchi iko hali jojo?Nikuulize mleta mada, je ni mambo gani hayaendi sawa? Usipojibu swali hilo basi utakuwa umechanganyikiwa