Tetesi: Kuna mgawanyiko mkubwa ndani ya CHADEMA kuhusu kuacha kuhudhuria vikao vya Bunge. Kuna fukuto la chini kwa chini

Tetesi: Kuna mgawanyiko mkubwa ndani ya CHADEMA kuhusu kuacha kuhudhuria vikao vya Bunge. Kuna fukuto la chini kwa chini

Kuna fukuto kubwa Ndani ya chadema kuwa uamuzi wa chairman wa Chadema kuamua wabunge wote wa Chadema waingie karantini zimeleta sintofahamu kwa wabunge wengi wa chama hicho

Baadhi ya wabunge wa Chadema wamelalamika kutokushirikishwa katika maamuzi yaliyochukuliwa na chairman Mbowe
Kuna wabunge wa Chadema wanalalamika kuburuzwa kila mara, Wengi wanaona kutokuhudhuria vikao vya bajeti ni kama kuwasaliti wapiga kura wao

Kwa inavyoonekana Chadema ni km bomu linalosubiria kulipuka

My take :chairman kuwa mwanademokrasia acha maamuzi ya kibabe lasivyo chama kitasambaratika
Tuache masihara,ubunge ni ajira na unapoamua ati wabunge wasihudhurie vikao hii si sahihi.Chadema naona Bado hawasomi mambo ya nyakati.walisusia uchaguzi wa madiwani wakati Kuna maeneo tayari walikuwa wanashinda na Sasa wanakuja na agenda ya kutohudhuria vikao vya bunge hii siyo sawa.wabunge ni wawakilishi want wananchi na si chama.Chama ni daraja tu la kuvukia mto.Halafu wabunge wakihama vyama mnasema wananunuliwa si kweli.Chama kinauliwa na Mwenyekiti wao.Waacheni wabunge wakawawakilishe wananchi ikizingatiwa kikao hiki ni muhimu sana kwa mustakabali wa wananchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna fukuto kubwa Ndani ya chadema kuwa uamuzi wa chairman wa Chadema kuamua wabunge wote wa Chadema waingie karantini zimeleta sintofahamu kwa wabunge wengi wa chama hicho

Baadhi ya wabunge wa Chadema wamelalamika kutokushirikishwa katika maamuzi yaliyochukuliwa na chairman Mbowe
Kuna wabunge wa Chadema wanalalamika kuburuzwa kila mara, Wengi wanaona kutokuhudhuria vikao vya bajeti ni kama kuwasaliti wapiga kura wao

Kwa inavyoonekana Chadema ni km bomu linalosubiria kulipuka

My take :chairman kuwa mwanademokrasia acha maamuzi ya kibabe lasivyo chama kitasambaratika
Wewe si ulishasema chama kimeshajifia muda mrefu?Sasa hapa unasema tena Mbowe awe makini kwani chama kitasambaratika!Sasa mbona hueleweki?Chama kilichokufa kinawezaje kusambaratika?😀😀😀😀!
Ila unajitahidi sana kupambana,hivi mnalipwa sawa na wenzako au?
 
Wamelazimishwa kufanya maamuzi ambayo hawajashirikishwa

Tusubiri bomu la linaenda kulipuka
Wabunge wa ccm wanasema pale bungeni kuna corona na wao wenyewe wanahofia afya zao ila tatizo Kuna shinikizo la mwenyekiti wachape kazi, wanasema wanafanya kazi katika mazingira magumu huku wamejaa hofuhofu.
Mie nawaona ni mandezi sana, yaani wanahatarisha maisha yao kwa kumuogopa mwenyekiti!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bia yetu weka vielelezo.
Kwanza ilitakiwa ueleze wazi (declare interest) kuwa wee ni mwana CCM kindakindaki, na ilitakiwa uweke video clip ili tukuamini, kinyume Cha hapo, ni propaganda tu
Ni kweli maana kama ni kweli mbona jana walikuwa wanasema wahofia nani atakufa leo.
Pia hakuna mtu anayependa kufa japo hatujui saa wala dakika pamoja na wao wakiwa Kama wabunge.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mda ni mwalimu mzuri, kuna fukuto kubwa

Wabunge wengi wa Chadema wanaweza kuitisha Press muda wowote
Tokea uje na wiki ya kilele cha Corona,umeonekana mpiga domo tu!
 
Mkuu km umefuatilia taarfa za shirika la afya duniani walitutabiria majanga lkn Mungu ametuepusha
Tokea uje na wiki ya kilele cha Corona,umeonekana mpiga domo tu!
 
Kimeshajifia tunaogopa kitasambaratika kabla ya bunge kuisha Mkuu
Wewe si ulishasema chama kimeshajifia muda mrefu?Sasa hapa unasema tena Mbowe awe makini kwani chama kitasambaratika!Sasa mbona hueleweki?Chama kilichokufa kinawezaje kusambaratika?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!
Ila unajitahidi sana kupambana,hivi mnalipwa sawa na wenzako au?
 
Mkuu km umefuatilia taarfa za shirika la afya duniani walitutabiria majanga lkn Mungu ametuepusha
Amekuepusha wewe,jamii ya CCM wanalia,wananchi wa kawaida wanalia ndugu zao kufukiwa kama mbuzi halafu bado unaleta porojo!Bado unaamini Tz waliokufa kwa Corona ni 16 na wenye maambukizi ni 480 tu?Utakuwa mwendawazimu kuamini hivyo!
Eti wiki ya kilele,ndio kwanza tunaianza safari halafu mnaleta propaganda mfu!
 
Mbowe Yeye ni tajiri, na bado anawakata mshahara wabunge wake
Leo hii amewakataza wasihudhurie vikao huu ni zaidi ya udkteta
Tuache masihara,ubunge ni ajira na unapoamua ati wabunge wasihudhurie vikao hii si sahihi.Chadema naona Bado hawasomi mambo ya nyakati.walisusia uchaguzi wa madiwani wakati Kuna maeneo tayari walikuwa wanashinda na Sasa wanakuja na agenda ya kutohudhuria vikao vya bunge hii siyo sawa.wabunge ni wawakilishi want wananchi na si chama.Chama ni daraja tu la kuvukia mto.Halafu wabunge wakihama vyama mnasema wananunuliwa si kweli.Chama kinauliwa na Mwenyekiti wao.Waacheni wabunge wakawawakilishe wananchi ikizingatiwa kikao hiki ni muhimu sana kwa mustakabali wa wananchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna shinikizo wabunge wa Ccm wanajadili bajeti ya Wananchi

Chadema wamesaliti Wananchi
Wabunge wa ccm wanasema pale bungeni kuna corona na wao wenyewe wanahofia afya zao ila tatizo Kuna shinikizo la mwenyekiti wachape kazi, wanasema wanafanya kazi katika mazingira magumu huku wamejaa hofuhofu.
Mie nawaona ni mandezi sana, yaani wanahatarisha maisha yao kwa kumuogopa mwenyekiti!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini wabunge wa Chadema wakimbie mapambano ? Huu ni usaliti wa Wananchi

Ndio maana wabunge wanaojielewa wanataka kukimbia
Ni kweli maana kama ni kweli mbona jana walikuwa wanasema wahofia nani atakufa leo.
Pia hakuna mtu anayependa kufa japo hatujui saa wala dakika pamoja na wao wakiwa Kama wabunge.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna fukuto kubwa Ndani ya chadema kuwa uamuzi wa chairman wa Chadema kuamua wabunge wote wa Chadema waingie karantini zimeleta sintofahamu kwa wabunge wengi wa chama hicho

Baadhi ya wabunge wa Chadema wamelalamika kutokushirikishwa katika maamuzi yaliyochukuliwa na chairman Mbowe
Kuna wabunge wa Chadema wanalalamika kuburuzwa kila mara, Wengi wanaona kutokuhudhuria vikao vya bajeti ni kama kuwasaliti wapiga kura wao

Kwa inavyoonekana Chadema ni km bomu linalosubiria kulipuka

My take :chairman kuwa mwanademokrasia acha maamuzi ya kibabe lasivyo chama kitasambaratika
Acha umbea. Hili ni jukwaa la wenye akili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ni wasi wasi wako Mkuu, corona inaisha muda si mrefu
Amekuepusha wewe,jamii ya CCM wanalia,wananchi wa kawaida wanalia ndugu zao kufukiwa kama mbuzi halafu bado unaleta porojo!Bado unaamini Tz waliokufa kwa Corona ni 16 na wenye maambukizi ni 480 tu?Utakuwa mwendawazimu kuamini hivyo!
Eti wiki ya kilele,ndio kwanza tunaianza safari halafu mnaleta propaganda mfu!
 
Subiri tuone reaction, watahudhiria au la!
Kuna fukuto kubwa Ndani ya chadema kuwa uamuzi wa chairman wa Chadema kuamua wabunge wote wa Chadema waingie karantini zimeleta sintofahamu kwa wabunge wengi wa chama hicho

Baadhi ya wabunge wa Chadema wamelalamika kutokushirikishwa katika maamuzi yaliyochukuliwa na chairman Mbowe
Kuna wabunge wa Chadema wanalalamika kuburuzwa kila mara, Wengi wanaona kutokuhudhuria vikao vya bajeti ni kama kuwasaliti wapiga kura wao

Kwa inavyoonekana Chadema ni km bomu linalosubiria kulipuka

My take :chairman kuwa mwanademokrasia acha maamuzi ya kibabe lasivyo chama kitasambaratika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom