Kuna mji wenye usafiri mzuri wa daladala na elimu nzuri kuliko Mbeya?

Kuna mji wenye usafiri mzuri wa daladala na elimu nzuri kuliko Mbeya?

Karibu sana Mbeya, Ahsante kwa kuitambua Mbalizi Sec pia.
 
Ukiweka uwiano wa majiji hapa Tanzania Mbeya ni jiji la hovyo sana hasa katika mpangilio wa nyumba yaani kila sehemu ni slum tu vinyumba vya matope vimesongamana sana. Kwa upande wa vyakula Mbeya ni Super 100% unaenjoy sana ukiwa Mbeya
Katikati ya mji (Mwanjelwa,Soweto,Mabatini,Simike,Nzovwe.......)ndiyo zipo nyumba za aina hiyo na zinaharibu muonekano wa mji kwa kweli.
 
Hakika sijaona mji wenye system nzuri ya daladala kama Mbeya. Stendi kubwa zipo tatu kuna ya mjini ambayo ni stendi kuu ya zamani na ni kubwa kiasi kwajili ya mabasi ya mikoani na daladala, kuna stendi kabwe hii ni kwajili ya daladala na bajaji na pia utaikuta stendi kuu ya nane nane.

Nimejaribi kufananisha na miji mingine bado sijaona, kwa mfano pale Arusha hakuna hata stendi moja inayoeleweka kwajili ya daladala yaani hata stand ya mabasi ya mkoani pale town bado sana.

Elimu -

Shule za msingi - zipo shule tatu za serikali za mtaala wa Kiingereza ada laki 3, ipo Shule ya Azimio, Mkapa na Magufuli. Shule za private nazo zipo kuna Umoja, Riverside, Saint Mary, Uwata, n.k. shule za serikali pia zipo kibao kama utitiri, Sisimba ndio kinara na kongwe

sekondari - zipo za umoja wa wazazi kuanzia Sangu, Meta, Ivumwe, Mbalizi, n.k huku niseme tu ya kwamba ufaulu upo ila na njiti zinatembezwa hasa, ukija shule za serikali nazo zipo Samora, Mbeya day, forest, n.k ukija private nazo zipo st marys, uwata, pandahill, Swilla, n.k. shule za kata ni nyingi sana.

Vyuo - M.U.S.T, Udsm - mchas, Udsm - ucc, Mzumbe, Tia, Open, utumishi, cbe, Saut, Adem, Tumaini, Teku, n.k ukija vyuo vya uuguzi na ufundi napo vimejaa si mchezo kuna Mbalizi, k's, moravian, veta, n.k ni vingi sana.

Kwa hali hii wacha niwape pongezi Mbeya
mbeya ni chafu sana mzee, wala usiitaje kabisa. naongea kwa ufahamu mzuri kwasababu mbeya ni mojawapo ya makazi yangu, among others.
 
Mbeya kuna barabara mbaya sijawahi kuona kwanza ni nyembamba sana jiografia yake ni mbaya sana milima mingi yani kwa wale wenzangu na mie wa Daslam wapenda mbio hiku kudanja ni dakika sifuri ukitoka tu barabarani umeingia kwenye miti au korongo biashara imeisha...mfani barabara ya kutoka mbeya kwenda kyela mbaya sana
 
Taka taka. Yaani kibarabara kimoja hicho chenye kusumbua watu, unaona basi wana system nzuri ya public transport?
 
Mbeya kuna barabara mbaya sijawahi kuona kwanza ni nyembamba sana jiografia yake ni mbaya sana milima mingi yani kwa wale wenzangu na mie wa Daslam wapenda mbio hiku kudanja ni dakika sifuri ukitoka tu barabarani umeingia kwenye miti au korongo biashara imeisha...mfani barabara ya kutoka mbeya kwenda kyela mbaya sana
Duu! Kweli mbaya hana sababu yaani mbeya-kyela barabara mbovu?wivu mbaya saaana!
 
Hakika sijaona mji wenye system nzuri ya daladala kama Mbeya. Stendi kubwa zipo tatu kuna ya mjini ambayo ni stendi kuu ya zamani na ni kubwa kiasi kwajili ya mabasi ya mikoani na daladala, kuna stendi kabwe hii ni kwajili ya daladala na bajaji na pia utaikuta stendi kuu ya nane nane.

Nimejaribi kufananisha na miji mingine bado sijaona, kwa mfano pale Arusha hakuna hata stendi moja inayoeleweka kwajili ya daladala yaani hata stand ya mabasi ya mkoani pale town bado sana.

Elimu -

Shule za msingi - zipo shule tatu za serikali za mtaala wa Kiingereza ada laki 3, ipo Shule ya Azimio, Mkapa na Magufuli. Shule za private nazo zipo kuna Umoja, Riverside, Saint Mary, Uwata, n.k. shule za serikali pia zipo kibao kama utitiri, Sisimba ndio kinara na kongwe

sekondari - zipo za umoja wa wazazi kuanzia Sangu, Meta, Ivumwe, Mbalizi, n.k huku niseme tu ya kwamba ufaulu upo ila na njiti zinatembezwa hasa, ukija shule za serikali nazo zipo Samora, Mbeya day, forest, n.k ukija private nazo zipo st marys, uwata, pandahill, Swilla, n.k. shule za kata ni nyingi sana.

Vyuo - M.U.S.T, Udsm - mchas, Udsm - ucc, Mzumbe, Tia, Open, utumishi, cbe, Saut, Adem, Tumaini, Teku, n.k ukija vyuo vya uuguzi na ufundi napo vimejaa si mchezo kuna Mbalizi, k's, moravian, veta, n.k ni vingi sana.

Kwa hali hii wacha niwape pongezi Mbeya
Hili ndilo wengi wasilolijua, Mbeya ndiko mmoja wa marais wa makaburu alipata elimu yake, na hapo si pengine ila ni Mbeya European Boarding School, (Mbeya School au Iyunga).
 
mkuu, labda mbeya ya zamani, siku hizi daladala nyingi ni costa kubwa tu
Vi hiace vipo sana hasa mwanjelwa-uyole.
Costa amsha amsha asubuhi wamama wanyaki wakiamka biashara njia nzima toka kyela hadi tunduma zinakula mzigo.
Usiku mwingi hamna movement watu saa tatu kule wanajifungia.
Kuna wazee wa nondo mtaani.
Yaani kule kaa ndani tu baada ya muda huo ukijifanya mzururaji jiandae kwa lolote usiku.
 
Mbeya barabara ni nzuri acha ujinga
Uzuri sijakataa ila hali ya hewa pia!

Nikikwambia utembee Ubungo flyover unikute External sahizi unaweza ukaamua ukodishe boda boda njiani😂😂😂!

Dar hapafai kutembea kwa mguu mzee unaeza kufia njiani!
 
Ndyo mbeyaView attachment 2021760View attachment 2021761
IMG_20201016_182816_566.jpg
View attachment 2021762
 
Uzuri sijakataa ila hali ya hewa pia!

Nikikwambia utembee Ubungo flyover unikute External sahizi unaweza ukaamua ukodishe boda boda njiani😂😂😂!

Dar hapafai kutembea kwa mguu mzee unaeza kufia njiani!
Hali ya hewa imefanyaje? Huko kwenu Dar masika shida kiangazi tabu kila sehemu harufu..

Dar ndio hakufai kwa kila kitu
 
Back
Top Bottom