Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 4,175
- 2,294
Ukifahamu katiba ilivyo juu ya mamlaka ya urais hata siku moja hakuna wa kukuazima kiti hicho. Ukikabidhiwa urais wa JMT Umekabidhiwa. Kumbuka ya Mkapa na Nyerere.Kwani wakati anakabidhiwa kijiti hakuambiwa kuwa mwisho ni 2025, au aliambiwa tatizo amenogewa na Asali?