Kuna mpasuko unafumwa kisayansi ndani ya CCM na wamefanikiwa kwa 100%. Rais amechelewa kusoma mchezo

Kuna mpasuko unafumwa kisayansi ndani ya CCM na wamefanikiwa kwa 100%. Rais amechelewa kusoma mchezo

Kwani wakati anakabidhiwa kijiti hakuambiwa kuwa mwisho ni 2025, au aliambiwa tatizo amenogewa na Asali?
Ukifahamu katiba ilivyo juu ya mamlaka ya urais hata siku moja hakuna wa kukuazima kiti hicho. Ukikabidhiwa urais wa JMT Umekabidhiwa. Kumbuka ya Mkapa na Nyerere.
 
Mimi niliogopa sana Mheshimiwa Rais aliposema AMETUMIWA CLIP YA KATIBU MKUU WA CCM na kaisikiliza...

Unajua Nani alimtumia na kwanini Amtumie??

Uking’amua hili basi
Mimi niliwaza sana kwanini clip ya Km isikilizwe halafu ifanananishwe na Dr silaa na yule kijana wa chalinze...mama shtukàaa. We love you..hatutaki utoke nje ya reli...Kuna watu piga kushoto. Hao wapo karibu yako lkn hawana uzoefu na haya mambo...hawajui sayansi ya siasa. Mom pleasee, I beg you mama. Huyo kijana aliyepanda mazabauni huko kaskaz asirudie tenaa. Anatuharibia mambo
 
CCM huko ndani wanaogopana na mbaya zaidi ni kutokana na nafasi ya mwenyekiti kuwa na nguvu kubwa sana, kisiasa na kiserikali, kisheria na kitamaduni
Umeuelewa vizuri mfumo ulivyo. Nategemea wengi JF wasome hoja hii, ni ya maana sana, si kuisoma tu bali na kuielewa kinaga ubaga.
Cc: Britanicca.
 
Mimi niliwaza sana kwanini clip ya Km isikilizwe halafu ifanananishwe na Dr silaa na yule kijana wa chalinze...mama shtukàaa. We love you..hatutaki utoke nje ya reli...Kuna watu piga kushoto. Hao wapo karibu yako lkn hawana uzoefu na haya mambo...hawajui sayansi ya siasa. Mom pleasee, I beg you mama. Huyo kijana aliyepanda mazabauni huko kaskaz asirudie tenaa. Anatuharibia mambo
Ukweli Rais wetu anapotoshwa ashauriwe awe makini na wanampa habari ya uongo.
 
Mpango wa kumfanya asigombee unaendelea kufanikiwa siku hadi siku!

Balozi za wakubwa zikianza matamko TU ujue mambo tayari!

Ndio maana yule mzee alilopoka "labda mambo yaharibikie sana"!!!
 
Mpango wa kumfanya asigombee unaendelea kufanikiwa siku hadi siku!

Balozi za wakubwa zikianza matamko TU ujue mambo tayari!

Ndio maana yule mzee alilopoka "labda mambo yaharibikie sana"!!!
Usikiamini kila unachoona kimeandikwa wengine ni maagent wametumwa kwa kazi hio tu kuwapumbaza wajinga wajinga msiojua kitu sio kila unachoona kimeandikwa unaamini hususani fake ID sura haipo hayupo verified Jina la utani unapumbazwa
 
Back
Top Bottom