Kuna mpasuko unafumwa kisayansi ndani ya CCM na wamefanikiwa kwa 100%. Rais amechelewa kusoma mchezo

Kuna mpasuko unafumwa kisayansi ndani ya CCM na wamefanikiwa kwa 100%. Rais amechelewa kusoma mchezo

ccm ni 500 tu na wana v8 na famila zao acha umbulula wewe, wengine wote kondoro, wanavalishwa tshirt na kuswagwa tu! Hamna chochote wanachopata zaidi ya kusindikiza upepo tu
Chadomo wapo wangapi na wangapi wanna magari, wangapi kondoo wanaovishwa tshet?
 
Fix za kijinga indeed.Wanakaa kwenye vijiwe vya konyagi na kuzua uzushi wa kila aina.
Kama huyu aliyesema kuna mpasuko.Akimaliza kuota angalie asijekuta amejinyea.
Fix kabisa siamini chochote anachokiandika amesababisha watu wawe wananiangalia vibaya, kuna mambo yanayoandikwa humu hutakiwi kuyachukua km yalivyo wengi ni wapotoshaji
 
Mpasuko ndani ya CCM usabababishwa na kambi za chaguzi kuu, kwa bahati mbaya 2015 Uchaguzi ule uliiacha CCM ilogawanyika sana na ikashindwa kurejea kuwa moja, na hata kama walirejea ni kwa unafiki wa juu juu tu! Ndo maana hata leo hii haya mnayoyaona anayakoroga Samia ni matokeo ya kambi za ccm
Nashukuru kuwa umelielewa hili la 2015 la mgawanyiko (mpasuko) wa CCM. Kifupi hakuna hata uchaguzi mmoja mkuu toka Nyerere afariki, umepita bila vuguvugu ndani ya CCM muda wa kipindi cha mwaka mmoja na ushehe mpaka uchaguzi. Hata sasa ni hali ya kawaida, wala si kitu cha ajabu. Kumbuka 2020- Magufuli vs kundi Membe.

Alipaswa baada ya kurithi kiti angetaka nguvu asingekimbilia kufanya teuzi muda huo huo, angevunja Baraza la Mawaziri alafu akakaa Kama mwezi bila kufanya teuzi, ili kisaikolojia hawa wabunge wawe attention kuwa na adabu kwa Katiba na President na pia angechukua muda huo kujua nani Anafaa wapi na Nani hafai wapi! Hivo zile dharau walizokuwa wamejenga kwake akili zingewakaa Sawa kwanza hawa wanasiasa kwa kusibiria kwa shahuku Nani anateuliwa Nani hateuliwi
Ingempa heshima sana, na pia angejenga nguvu ya KAULI YA KIMAMLAKA, kwa sasa Rais anategemea na hao watoto pendwa ndo wamwambie sema hiki sema kile
Kuna mtu alidharauliwa kama Mkapa wakati amechaguliwa kuwa mgombea kwa tiketi ya CCM. Lakini akajipanga na heshima ikaja baada ya uchaguzi.
Kuvunja baraza la mawaziri sio uhakika kuwa angeheshimika. Kuna njia nyingi kisiasa unazoweza kuzifanya kama Rais ili uheshimike. Njia aliyopitia Rais Samia ni moja kati ya njia bora sana kama ukifuata nadharia ya uongozi wa kisiasa. Changanya Zee na mpya, halafu Zee zinaweza kubaki au kuondolewa pole pole ama kwa kustaafu au kupumzishwa.
Njia hii inalengo la kutafuta heshima kwa wananchi (wapiga kura) na sio kwa mawaziri. Jambo ambalo Rais Samia kafanikiwa kwa kiasi kikubwa.
Ninamlaumu Mbowe kwa kutoa tarehe ya mbele sana ya maandamano badala ya maandamano kuanza siku hiyo Hiyo !

Watanzania ni watu wa kuvaa suala likiwa hot sana
Sikio la kufa halisikii dawa. Nilisoma Uzi huko nyuma uliowashauri CHADEMA, kuachana na kugombea nafasi ya Urais mpaka 2035. Kwa muda huu wajipange na serikali za mitaa na ubunge. Wapo sahihi, kwani CHADEMA haijajipanga. Silaha waliobakia nayo kwa sasa si hoja bali ni maandamano. Any way hata kuku humkamia mwewe.
Nitaandika Tena sijapangilia vema Bali ntaeleweka
Nashukuru kwa kuliona hili. Ukija tena okota maoni mawili, matatu ya wachangiaji.
 
Nchi hii hivi sasa inayumba ; haiwezi kuyumba zaidi ya hapa. Iliyobaki ni nchi kuanguka!
It’s a country without the rule of law where criminals abduct citizens in broad daylight! It is now a failed state.!😭😭
Do you wanna tell us that we've turned into a "Ndabaningi" sort of Country? It's terrible!
 
Kikwete ndio hamna kitu mle
Mkuu Crimea kumbuka kaongoza miaka 10 na chawa wake wamsifu hakuna Jasusi East Africa kama yeye, ni kiboko ya Paul Kagame, yuko very smart, pia husemwa sehemu nyingi nyeti ana watu wengi asilimia kubwa, Jewii, polish na Twish kwamba ana watu karibu 90% na sifa lukuki,
Halafu useme hamna kitu mkuu?
Huoni kwamba huyu ni Mmoja lkn ni kama Taasisi?
 
Kama unaamini Mchungaji Msigwa alikuwa pandikizi la CCM ndani ya Chadema peke yake wewe ni mjinga!
 
Back
Top Bottom