Kuna mpasuko unafumwa kisayansi ndani ya CCM na wamefanikiwa kwa 100%. Rais amechelewa kusoma mchezo

Kuna mpasuko unafumwa kisayansi ndani ya CCM na wamefanikiwa kwa 100%. Rais amechelewa kusoma mchezo

Mkuu umeandika vyema kabisa ila tatizo ni kwamba kiti kikubwa chura amepwaya sana. Inafika muda unaona kabisa anasikiliza huku na kule bila kuchuja mambo na hili unaliona vizuri kwenye teuzi zake na hotuba zake.

Yaani teuzi za chura ni dhahiri amepwaya anasikiliza tu kila kinachokuja kwa vijana wake bila kuchuja kwa akili yake wala kusoma kwa utulivu profile za viongozi anaowateua na ni wachache sana ila kwasababu anakurupuka anajikuta anadharirika, kwa kuteua na kutengua kila mara just kwasababu walioteuliwa hawana sifa sahihi au ni marehemu.

Pili ni kwenye hotuba zake, mtu anayetumia akili hata wakati unasoma kama jambo halijakaa sawa basi ukishasoma then unajaribu kuelezea kwa namna ya kidiplomasia. Lakini pia hotuba zake zimekuwa za vijembe zaidi kuliko point za msingi.

Mwisho kabisa huyu chura hana sauti ya kimamlaka na wala hawezi kuwa nayo. Ni wanawake wachache sana wanasauti za kimamlaka. Ila pia huwezi kuongea kimamlaka huku unarembua macho sorry kama nitakuwa nimeattach personality.

Na kwa upande wa upinzani kiukweli sasa hivi upinzani wetu wako weak sana hawana ushawishi uliojaa mashiko na kuamsha hisia kwa wananchi ni kama wamezoeleka sana kupiga kelele. Wangefanya kama Marekani ukiona kiongozi anaanza kupwaya kwenye hotuba tafuta mwingine; Biden alianza kuzingua jamaa wakamleta Kamala fasta. Sasa ukiangalia upinzani inahitaji mtu mwenye hekima ambaye anaweza kuzungumza na akatoa sauti za mamlaka na zenye kuamsha hisia kulingana na uelekeo wa nchi.
 
Kama kawaida si kila kitu lazima kiandikwe Ila kuna ya msingi ya kuandikwa ambayo yana toa ushauri na kuwezesha kurekebisha panapotakiwa kurekebishwa.

Wengi tuliamini na kuamini kwamba kuna Mpasuko ndani ya Upinzani, hii ni Kwakuwa tuliamini upande wa Mbowe na Lissu hazipatani, Lakin nikakaa chini hasa kwa wale watu waliosomea intelligence na psychology watanielewa , mpasuko uko CCM.

Mpasuko ndani ya CCM usabababishwa na kambi za chaguzi kuu, kwa bahati mbaya 2015 Uchaguzi ule uliiacha CCM ilogawanyika sana na ikashindwa kurejea kuwa moja, na hata kama walirejea ni kwa unafiki wa juu juu tu! Ndo maana hata leo hii haya mnayoyaona anayakoroga Samia ni matokeo ya kambi za ccm

Naeleza sasa!

Kuna kundi linalosababishwa na kuumizwa Mwaka 2015, na wengine wamerejeshwa kuokoa jahazi muda huu Ila mbaya zaidi nao wameanza kubezwa na toto pendwa!

Balozi alikuwa kambi ya Lowassa na Toto pendwa alikuwa ni mmoja wa watu waliopinga sana Lowassa kwa mgongo wa JK, na sasa hivi wote wako pamoja japo hawapikiki. Mtoto pendwa kapika ushahidi feki wa mambo mbali mbali na kumpelekea Rais kwamba kuna mpango fulan na Fulan na wewe unaondoka muda si mrefu! Na mheshimiwa akapanik sana akaagiza Polisi waingie barabarani.

Wanaomshauri Rais ndo wanafuma vema Mpasuko kisayansi sana ili apuyange kwa wananchi na kwenye chama chao ili kutimiza lengo lake kuwekwa pembeni,

Samia amekosea wapi?
1. Baada ya kurithi kiti hakupaswa kuwa social sana kwa anaowateua na Kama hajui wanaomwangusha soon si mbowe wala lissu bali ni walioko ndani ya CCM ambao walishamdharau akiwa makamu, Alipaswa baada ya kurithi kiti angetaka nguvu asingekimbilia kufanya teuzi muda huo huo, angevunja Baraza la Mawaziri alafu akakaa Kama mwezi bila kufanya teuzi, ili kisaikolojia hawa wabunge wawe attention kuwa na adabu kwa Katiba na President na pia angechukua muda huo kujua nani Anafaa wapi na Nani hafai wapi! Hivo zile dharau walizokuwa wamejenga kwake akili zingewakaa Sawa kwanza hawa wanasiasa kwa kusibiria kwa shahuku Nani anateuliwa Nani hateuliwi. Ingempa heshima sana, na pia angejenga nguvu ya KAULI YA KIMAMLAKA, kwa sasa Rais anategemea na hao watoto pendwa ndo wamwambie sema hiki sema kile.

Nilitegemea kwenye masuala ya mauaji angetoa kauli ya KIMAMLAKA Lakin haikuwa hivo Aliishia kulaani tu!

Pili angetaka atawale vema asingekataza maandamano ya CHADEMA ya leo! Swali la kwanza je wakiandamana wanaelekea wapi? Uoga wa nini? Aliyemshauri jambo hili anausuka mpasuko vema sana ndani ya CCM, maandamano ya CHADEMA yangefanyika yangeimarisha zaidi CCM kuliko CHADEMA, na yangempa credit Samia kuliko mbowe au lissu.

Ninamlaumu Mbowe kwa kutoa tarehe ya mbele sana ya maandamano badala ya maandamano kuanza siku hiyo Hiyo!

Watanzania ni watu wa kuvaa suala likiwa hot sana!

Ushauri kwa CHADEMA NA UPINZANI
1. Maandamano inabidi yawe organized tofauti , fanya Kama akina Nyerere walivyojificha katika shughuli fulan kumbe ndo wanaandamana hivo!

2. Viongozi wasiwe wanatoa location zao wanapojua kesho au keshokutwa kuna jambo la ku organize, wasiwe rahis kukamatwa ili ku destabilize mipango.

3. Maandamano yasitangazwe Kama ya chama Bali ya wanamchi! Ili imguse kila mtu.

Nitaandika Tena sijapangilia vema Bali ntaeleweka.

Britanicca
MOja ya source nazoziamini sana jf
 
Ndani ya CCM wengi wanamwona ni mzanzibari na mwanamke, na wanaamini wana akili na wamekitumikia chama kuliko Samia , kuna story moja huko nyuma JPM alikataa kufanya kazi chini ya mwanamke, ndio akili za CCM
 
Sijui ndo Kama drafti ukiwa nje unaona ila ukiwa ndani huoni njia yoyote ya kusukuma kete ila hapana mambo mengine yapo dhahiri shahiri bila hata cheti cha darasa la saba unayang'amua.
 
Huu mchezo nimeusoma na kuelewa sana, kuna wakati wanasiasa wao kwa wao wanakuwa wajinga ukiangalia hata kiongozi wa nchi naye anashindwa kujiongeza kwa vitu vidogo ambavyo vinaenda kumuharibia.

CCM huko ndani wanaogopana na mbaya zaidi ni kutokana na nafasi ya mwenyekiti kuwa na nguvu kubwa sana, kisiasa na kiserikali, kisheria na kitamaduni.

Na hatimaye nyani anarukia miti ingawa kila anaorukia unateleza!.
Wausuke tu naipasuke tu. Kujiona miungu watu ifikie mwisho. Japo siegemei chama chochote ila aman itakuepo ikiwa mambo ya kinyama hatuyasikii na kuyaona.
 
Kama kawaida si kila kitu lazima kiandikwe Ila kuna ya msingi ya kuandikwa ambayo yana toa ushauri na kuwezesha kurekebisha panapotakiwa kurekebishwa.

Wengi tuliamini na kuamini kwamba kuna Mpasuko ndani ya Upinzani, hii ni Kwakuwa tuliamini upande wa Mbowe na Lissu hazipatani, Lakin nikakaa chini hasa kwa wale watu waliosomea intelligence na psychology watanielewa , mpasuko uko CCM.

Mpasuko ndani ya CCM usabababishwa na kambi za chaguzi kuu, kwa bahati mbaya 2015 Uchaguzi ule uliiacha CCM ilogawanyika sana na ikashindwa kurejea kuwa moja, na hata kama walirejea ni kwa unafiki wa juu juu tu! Ndo maana hata leo hii haya mnayoyaona anayakoroga Samia ni matokeo ya kambi za ccm

Naeleza sasa!

Kuna kundi linalosababishwa na kuumizwa Mwaka 2015, na wengine wamerejeshwa kuokoa jahazi muda huu Ila mbaya zaidi nao wameanza kubezwa na toto pendwa!

Balozi alikuwa kambi ya Lowassa na Toto pendwa alikuwa ni mmoja wa watu waliopinga sana Lowassa kwa mgongo wa JK, na sasa hivi wote wako pamoja japo hawapikiki. Mtoto pendwa kapika ushahidi feki wa mambo mbali mbali na kumpelekea Rais kwamba kuna mpango fulan na Fulan na wewe unaondoka muda si mrefu! Na mheshimiwa akapanik sana akaagiza Polisi waingie barabarani.

Wanaomshauri Rais ndo wanafuma vema Mpasuko kisayansi sana ili apuyange kwa wananchi na kwenye chama chao ili kutimiza lengo lake kuwekwa pembeni,

Samia amekosea wapi?
1. Baada ya kurithi kiti hakupaswa kuwa social sana kwa anaowateua na Kama hajui wanaomwangusha soon si mbowe wala lissu bali ni walioko ndani ya CCM ambao walishamdharau akiwa makamu, Alipaswa baada ya kurithi kiti angetaka nguvu asingekimbilia kufanya teuzi muda huo huo, angevunja Baraza la Mawaziri alafu akakaa Kama mwezi bila kufanya teuzi, ili kisaikolojia hawa wabunge wawe attention kuwa na adabu kwa Katiba na President na pia angechukua muda huo kujua nani Anafaa wapi na Nani hafai wapi! Hivo zile dharau walizokuwa wamejenga kwake akili zingewakaa Sawa kwanza hawa wanasiasa kwa kusibiria kwa shahuku Nani anateuliwa Nani hateuliwi. Ingempa heshima sana, na pia angejenga nguvu ya KAULI YA KIMAMLAKA, kwa sasa Rais anategemea na hao watoto pendwa ndo wamwambie sema hiki sema kile.

Nilitegemea kwenye masuala ya mauaji angetoa kauli ya KIMAMLAKA Lakin haikuwa hivo Aliishia kulaani tu!

Pili angetaka atawale vema asingekataza maandamano ya CHADEMA ya leo! Swali la kwanza je wakiandamana wanaelekea wapi? Uoga wa nini? Aliyemshauri jambo hili anausuka mpasuko vema sana ndani ya CCM, maandamano ya CHADEMA yangefanyika yangeimarisha zaidi CCM kuliko CHADEMA, na yangempa credit Samia kuliko mbowe au lissu.

Ninamlaumu Mbowe kwa kutoa tarehe ya mbele sana ya maandamano badala ya maandamano kuanza siku hiyo Hiyo!

Watanzania ni watu wa kuvaa suala likiwa hot sana!

Ushauri kwa CHADEMA NA UPINZANI
1. Maandamano inabidi yawe organized tofauti , fanya Kama akina Nyerere walivyojificha katika shughuli fulan kumbe ndo wanaandamana hivo!

2. Viongozi wasiwe wanatoa location zao wanapojua kesho au keshokutwa kuna jambo la ku organize, wasiwe rahis kukamatwa ili ku destabilize mipango.

3. Maandamano yasitangazwe Kama ya chama Bali ya wanamchi! Ili imguse kila mtu.

Nitaandika Tena sijapangilia vema Bali ntaeleweka.

Britanicca
Ccm ingenufaika vipi na hayo maandamano!??
Kauli mbiu ndo inawaangusha hao chadema!!

Maandamano hayatabiriki hata siku Moja!!, Sumu haionjwi?!! Hata kina Nyerere hawakuwahi kuyakubali!!
 
Usikiamini kila unachoona kimeandikwa wengine ni maagent wametumwa kwa kazi hio tu kuwapumbaza wajinga wajinga msiojua kitu sio kila unachoona kimeandikwa unaamini hususani fake ID sura haipo hayupo verified Jina la utani unapumbazwa
Hapana kabla hajaandika nilisha jua hili jambo!!

Mama hatogombea kabisa!wamemchezesha boko sana!
 
Yani leo nataka nipost kwa kizungu zungu tuu haya twende kazi " THIS IS VERY VERY TACTICAL MOVES" nimekumbuka ada yangu sana.
 
Hapa umepuyanga, mwenyewe ndio anajiua niambie wapi alifanya sahihi kabla ya makonda kurudi?

Kipindi anatoa kauli kila mtu apige kwa urefu wake? Makonda alikuwepo? Mama anatakiwa asimame kimamlaka siyo kusilikiza umbea.
 
Mimi niliogopa sana Mheshimiwa Rais aliposema AMETUMIWA CLIP YA KATIBU MKUU WA CCM na kaisikiliza...

Unajua Nani alimtumia na kwanini Amtumie??

Uking’amua hili basi
Mimi pia ilinifikrisha mno kauli hiyo.Kwamba Katibu Mkuu anaweza kwenda kutoa Tamko nzito kama lile halafu Mwenyekiti wake hajui nini kinaenda kusemwa.
 
Kuna kitu kimoja pengine wengi hawakioni, ni kuwa toka Rais Samia amuweke karibu Zero brain Makonda aka Bashite mambo yake ndani ya CCM na serikalini yamekuwa yakienda hovyo mno na wengi wanasema amekuwa mshauri wake mkuu.
Sasa Bashite huyu kweli kuwa mshauri wa #1 hiyo ni hasara kuliko zote.
 
Kama kawaida si kila kitu lazima kiandikwe Ila kuna ya msingi ya kuandikwa ambayo yana toa ushauri na kuwezesha kurekebisha panapotakiwa kurekebishwa.

Wengi tuliamini na kuamini kwamba kuna Mpasuko ndani ya Upinzani, hii ni Kwakuwa tuliamini upande wa Mbowe na Lissu hazipatani, Lakin nikakaa chini hasa kwa wale watu waliosomea intelligence na psychology watanielewa , mpasuko uko CCM.

Mpasuko ndani ya CCM usabababishwa na kambi za chaguzi kuu, kwa bahati mbaya 2015 Uchaguzi ule uliiacha CCM ilogawanyika sana na ikashindwa kurejea kuwa moja, na hata kama walirejea ni kwa unafiki wa juu juu tu! Ndo maana hata leo hii haya mnayoyaona anayakoroga Samia ni matokeo ya kambi za ccm

Naeleza sasa!

Kuna kundi linalosababishwa na kuumizwa Mwaka 2015, na wengine wamerejeshwa kuokoa jahazi muda huu Ila mbaya zaidi nao wameanza kubezwa na toto pendwa!

Balozi alikuwa kambi ya Lowassa na Toto pendwa alikuwa ni mmoja wa watu waliopinga sana Lowassa kwa mgongo wa JK, na sasa hivi wote wako pamoja japo hawapikiki. Mtoto pendwa kapika ushahidi feki wa mambo mbali mbali na kumpelekea Rais kwamba kuna mpango fulan na Fulan na wewe unaondoka muda si mrefu! Na mheshimiwa akapanik sana akaagiza Polisi waingie barabarani.

Wanaomshauri Rais ndo wanafuma vema Mpasuko kisayansi sana ili apuyange kwa wananchi na kwenye chama chao ili kutimiza lengo lake kuwekwa pembeni,

Samia amekosea wapi?
1. Baada ya kurithi kiti hakupaswa kuwa social sana kwa anaowateua na Kama hajui wanaomwangusha soon si mbowe wala lissu bali ni walioko ndani ya CCM ambao walishamdharau akiwa makamu, Alipaswa baada ya kurithi kiti angetaka nguvu asingekimbilia kufanya teuzi muda huo huo, angevunja Baraza la Mawaziri alafu akakaa Kama mwezi bila kufanya teuzi, ili kisaikolojia hawa wabunge wawe attention kuwa na adabu kwa Katiba na President na pia angechukua muda huo kujua nani Anafaa wapi na Nani hafai wapi! Hivo zile dharau walizokuwa wamejenga kwake akili zingewakaa Sawa kwanza hawa wanasiasa kwa kusibiria kwa shahuku Nani anateuliwa Nani hateuliwi. Ingempa heshima sana, na pia angejenga nguvu ya KAULI YA KIMAMLAKA, kwa sasa Rais anategemea na hao watoto pendwa ndo wamwambie sema hiki sema kile.

Nilitegemea kwenye masuala ya mauaji angetoa kauli ya KIMAMLAKA Lakin haikuwa hivo Aliishia kulaani tu!

Pili angetaka atawale vema asingekataza maandamano ya CHADEMA ya leo! Swali la kwanza je wakiandamana wanaelekea wapi? Uoga wa nini? Aliyemshauri jambo hili anausuka mpasuko vema sana ndani ya CCM, maandamano ya CHADEMA yangefanyika yangeimarisha zaidi CCM kuliko CHADEMA, na yangempa credit Samia kuliko mbowe au lissu.

Ninamlaumu Mbowe kwa kutoa tarehe ya mbele sana ya maandamano badala ya maandamano kuanza siku hiyo Hiyo!

Watanzania ni watu wa kuvaa suala likiwa hot sana!

Ushauri kwa CHADEMA NA UPINZANI
1. Maandamano inabidi yawe organized tofauti , fanya Kama akina Nyerere walivyojificha katika shughuli fulan kumbe ndo wanaandamana hivo!

2. Viongozi wasiwe wanatoa location zao wanapojua kesho au keshokutwa kuna jambo la ku organize, wasiwe rahis kukamatwa ili ku destabilize mipango.

3. Maandamano yasitangazwe Kama ya chama Bali ya wanamchi! Ili imguse kila mtu.

Nitaandika Tena sijapangilia vema Bali ntaeleweka.

Britanicca
Mkuu unakimbilia wapi?
Hujaeleza kinaga ubaga makundi ndani ya CCM yalivyojipanga dhidi ya mama.
Otherwise its wishful thinking!
 
Back
Top Bottom