Kuna Mrembo kutoka Afrika Magharibi anataka kunitapeli huko mjini Gmail. Ngoja tuone

Kuna Mrembo kutoka Afrika Magharibi anataka kunitapeli huko mjini Gmail. Ngoja tuone

Hivi haya mambo bado yapo Tu!

Kuna kipindi nilikutana nayo mdada anasema yupo refugees camp,wazazi wake wameuwawa so anataka kuja tz na vitu kama hivyo,ana pesa mingi,Ila huyu alikuwa kajipanga kinoma akawa ananiunganisha Kwa phone na padri WA camp napiga naye mastory,akatuma na certificate ya bank, bla bla kibao lkn mwisho wa siku nikashtukia mchezo.

Ila bado kidogo niingie line Kwanza Mimi ni mtu mwenye huruma Sana kwahiyo niliguswa Sana na shida zake za camp hlf unajua mambo ya pesa bwana ni shetani Sana.

Nikajisemea hizo hela zilivyo mingi nikifanikiwa kumleta dar tunanunua mlima Kilimanjaro hahaha!
Mimi ameniambia kuna 15% yangu ya $4.5 million dollars 🤣🤣
 
Back
Top Bottom