GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kama kuna Wapiga Kura ambao aina yao ya 'Maamuzi' wakati wa Kupiga Kura huwa naipenda mno ni wa Jimbo la Kawe. Yaani ukiwaona ni kama vile 'Malofa' fulani na unaweza ukadhani kuwa wapo na Wewe kabisa ila kumbe ndani ya Mioyo yao wanasubiri tu Siku ya 'Hukumu' ifike nao 'wamanyooshe' Mtu kama kawaida yao.
Kuna Mtu anadhani anachukiwa tu na Wapiga Kura wa Kawe ila 'kasahau' kuwa hata Wenzake wa Tanganyika Packers na Mwenge hawamtaki sana.
Kuna Mtu anadhani anachukiwa tu na Wapiga Kura wa Kawe ila 'kasahau' kuwa hata Wenzake wa Tanganyika Packers na Mwenge hawamtaki sana.