Uchaguzi 2020 Kuna Mtu 'ameshaaminishwa' kabisa tayari ni Mbunge wa Kawe, ila kuna uwezekano Siku ya Matokeo 'akafa' pia

Uchaguzi 2020 Kuna Mtu 'ameshaaminishwa' kabisa tayari ni Mbunge wa Kawe, ila kuna uwezekano Siku ya Matokeo 'akafa' pia

Unakauli chafu, yaani unamtabilia mwenzio kifo kisa tuu mambo ya siasa, kumbuka kunamaisha baada ya siasa. Tuongelee maswala ya siasa habari za vifo tuweke pembeniiii.


Ila wewe naye mzito kichwani...kwani alivyoandika kufa amemanisha kifo hicho? Mie nimeelewa amemanisha kifo means kushindwa.....
 
Unakauli chafu, yaani unamtabilia mwenzio kifo kisa tuu mambo ya siasa, kumbuka kunamaisha baada ya siasa. Tuongelee maswala ya siasa habari za vifo tuweke pembeniiii.

Wewe hutokufa? Mimi sitokufa? Wengine nao hawatokufa? Hata Vitabu vya Dini vinasema sana anayeogopa Kufa ni 'Mpumbavu' zaidi tu wa Kiroho.
 
Ila wewe naye mzito kichwani...kwani alivyoandika kufa amemanisha kifo hicho? Mie nimeelewa amemanisha kifo means kushindwa.....

Naendelea Kusisitiza kuwa GENTAMYCINE huwa ninaeleweka na 'Werevu' kama Wewe hapa JamiiForums ila 'Wapumbavu' kama huyo hawanielewi.
 
Wewe hutokufa? Mimi sitokufa? Wengine nao hawatokufa? Hata Vitabu vya Dini vinasema sana anayeogopa Kufa ni 'Mpumbavu' zaidi tu wa Kiroho.
Huna lolote. Mwanzoni nilikuona wa heshima, hizi kauli zako za vifo zinakudidimiza. Hata kama mtu atakufa ila wewe sio nabiii wa kutabilia watu vifo. Ila kama wewe ni mchawi uko sahihi maana unatekereza kibarua chako.
 
Naendelea Kusisitiza kuwa GENTAMYCINE huwa ninaeleweka na 'Werevu' kama Wewe hapa JamiiForums ila 'Wapumbavu' kama huyo hawanielewi.
Hakuna mwelevu wa kufuatilia wewe labda vichaaa na wavuta sigara Kali ndo mnaelewanaaa.
Mtu mzima hovyo kabisaaaa.
 
Huna lolote. Mwanzoni nilikuona wa heshima, hizi kauli zako za vifo zinakudidimiza. Hata kama mtu atakufa ila wewe sio nabiii wa kutabilia watu vifo. Ila kama wewe ni mchawi uko sahihi maana unatekereza kibarua chako.

Naona 'Dozi' yangu 'imeshakuingia' vilivyo hadi 'unaweweseka' hivi. Siku zingine ukijua unataka Kuchangia 'Threads' zangu uwe na 'Akili' pia sawa?
 
Hakuna mwelevu wa kufuatilia wewe labda vichaaa na wavuta sigara Kali ndo mnaelewanaaa.
Mtu mzima hovyo kabisaaaa.

Hakuna Kiswahili cha neno 'Mwelevu' kama uliloliandika hapa bali kuna neno sahihi ( fasaha ) la Kiswahili la 'Mwerevu' sawa? Juha Mkubwa Wewe!
 
Aka paue kwanza kanisa linalo vujia waumini wakati wa mvua

Haiwezekani mbona tulizindua ‘picha’ (sio ujenzi😀) ya kanisa jipya hili hapa miaka minne iliyopita,tutakuwa tumeshajenga bwanaa
1599811879840.jpeg


 

Attachments

  • 1599811778124.jpeg
    1599811778124.jpeg
    52.1 KB · Views: 1
Najiuliza "Mtumishi" wa Magu ndg. Gwajima atakuwa tayari Kawe inuke damu ili yeye Mbunge? Shetani huyu dah

Kuna siku aliongea akiwa jukwaani kwamba ikibidi mtu achechemee, au awe chochote, CCM inachukua jimbo.

Hapo unadhani alimaanisha nini?
 
Gwajima alisema kazi ya ubunge ni ndogo iweje sasa anaenda kuitafuta hiyo kazi ndogo?
 
Gwajima japo ana viashilia vyote vya utahil lakini nadhani yeye na nyinyiemu yake wana mikakati mbadala na sio kutegemea kura za wana kawe
 
Kabla hajafa yeye wewe nina uhakika wewe utakuwa umetangulia.
 
Back
Top Bottom